Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,133
- 20,296
Kila nikitazama jinsi Mchakato wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi inavyosua sua huku muda bado upo nashangaa sana..
Dkt. Samia Suluhu Hassani ni mpenda haki na juu ya yote ni Mwislam anayetii Mafundisho ya Mtume Muhamad Mtume wa Mwenyezi Mungu.
Je, kusua sua kwa jambo hili ndio kusema Rais Samia Hataki ashinde Uchaguzi ujao kwa Haki?
Dkt. Samia Suluhu Hassani ni mpenda haki na juu ya yote ni Mwislam anayetii Mafundisho ya Mtume Muhamad Mtume wa Mwenyezi Mungu.
Je, kusua sua kwa jambo hili ndio kusema Rais Samia Hataki ashinde Uchaguzi ujao kwa Haki?