Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,391
- 1,259
SALAAM!
Hapa niko Kakonko - Kigoma kusema kweli ukosefu wa mafuta umekwamisha shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi.
Nachotaka kufahamu ukosefu wa mafuta nchini Serikali ndiyo ilaumiwe?
Wabobevu wa Masuala ya nishati mnashauri kipi ili kurejesha matumaini ya kuporomoka kwa sekta ya usafirishaji;
Wasilisho!
Ngaika Ndenda
Hapa niko Kakonko - Kigoma kusema kweli ukosefu wa mafuta umekwamisha shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi.
Nachotaka kufahamu ukosefu wa mafuta nchini Serikali ndiyo ilaumiwe?
Wabobevu wa Masuala ya nishati mnashauri kipi ili kurejesha matumaini ya kuporomoka kwa sekta ya usafirishaji;
Wasilisho!
Ngaika Ndenda