Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo
Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu...
Utawala wa Mabavu ni Ule unaoingia madarakani kwa Nguvu na kutupilia Mbali misingi ya Demokrasia na Utawala bora
Tanzania hatujawahi kupitia Utawala wa namna hiyo
Nawatakia Dominica Njema 😄
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akutana Na Profesa J Nyumbani Kwake KaweHomeHabari
HABARI
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akutana Na Profesa J Nyumbani Kwake Kawe
LAST UPDATED...
Habari wana JF.
Huyu wakili msomi Mwabukusi namwona kama mbadala wa Hayati JPM.
Japo tofauti na Magufuli, Mwabukusi ni mkali zaidi halafu wakati huo huo ni mpole, mnyenyekevu na mwenye huruma...
Kama ni kusali nenda kasali ukipewa nafasi ya kusalimia waumini toa fungu la biblia au msitari wa Quran lkn ukianza kuongelea siasa au kuwananga wanasiasa kwenye kibweta na wewe unaingiza siasa...
Ndugu zangu Watanzania,
Leo Rais wetu mpendwa jasiri muongoza njia ,shujaa wa Afrika,Nuru ya wanyonge, Taa ya Taifa,mboni ya nchi,komandoo imara,Jasusi aliyetukuka ,Simba wa Vita ,mama Wa...
Tatizo kubwa kwa sasa nchini Tanzania ni uhaba wa wanasiasa wakweli, waadilifu na wazalendo kwa nchi yao.
Hivyo kuna kundi kubwa sana la watanzania ambao hawajui hata washike wapi au wamuamini...
Sheikh Mussa Kundecha asimulia kashikashi nyingi alizopitia akiwa mwanaharakati Tanzania
https://m.youtube.com/watch?v=rDaa_3GLI2Y&
Kiongozi wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu...
Na mimi nikiwemo,Watanzania sisi ni waoga sana aisee,Uoga wetu siufananishi na chochote kile ila ni ni uoga wa kiwango hasa,Uoga wetu ni advantage kubwa sana kwa watesi na waonevu.
Hakuna kitu...
Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.
Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani...
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni...
Nchi ya Nambara ilikuwa na historia ya kipekee. Iliyokuwa mara moja nchi yenye changamoto nyingi za kiuchumi, sasa ilikuwa nchi inayojulikana kwa maendeleo na ustawi wa kijamii. Kauli mbiu ya nchi...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba (Mb.) amekutana na kuzungumza na Waziri wa Viwanda na Tekinolojia ya Juu wa Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu, Sultan...
Mungu wa mbinguni akanena na Mussa akampa Amri 10.
Amri ya 2 inasema Usijifanyie Sanamu ya Kuchonga Ukaiabudu.
Kiukweli pale Lumumba Amri ya 2 inavunjwa zaidi na wale Chawa.
Nawatakia Dominica...
WAKILI MWABUKUSI ANATAKA MKUU WA MAJESHI AZUIE UVUNJIFU WA KATIBA.
"Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria na katiba. Kazi ya kukamata wa halifu ni ya Jeshi la Polisi. Jeshi la wananchi halina...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameshiriki katika mbio za Ruangwa Marathon ambazo ziliongozwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa...
Kuna Kitabu cha Hayati Mwl. Nyerere kinaitwa UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA, 1994.
Inasemekana baada ya Mwl kutokuridhika na Uongozi wa CCM miaka ya 90 wakati wa Rais Mstaafu Ali Hassan...
Mwezi Juni 2023 mafuta kwenye soko la dunia yalikuwa 70 USD, mwanzo wa mwezi Septemba yamefika 90 USD.
Inakadiriwa kufikia mwisho wa mwaka huu pipa litakuwa 120 USD bei iliyokuwepo kabla ya janga...