voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akutana Na Profesa J Nyumbani Kwake KaweHomeHabari
HABARI
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akutana Na Profesa J Nyumbani Kwake Kawe
LAST UPDATED SEP 10, 2023
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Septemba 09, 2023 ametembelewa na aliyekuwa Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni msanii mkongwe wa Bongo Fleva Joseph Haule maarufu kama Profesa J nyumbani kwake Kawe jijini Dar es salaam.
“Ni furaha iliyoje kumuona afya yake imeimarika.Hakika Mungu ni mkubwa”, amesema Dkt Kikwete wakati akiongea na msanii huyo aliyeugua kwa muda mrefu kabla ya kupata nafuu baadae.
Eti huyu mzee alikuwa wapi siku zoote asimkumbuke Prof Jay hadi leo ambapo wamemkamata makamu mwenyekiti wa chama cha Prof Jay Chadema?
HABARI
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akutana Na Profesa J Nyumbani Kwake Kawe
LAST UPDATED SEP 10, 2023
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Septemba 09, 2023 ametembelewa na aliyekuwa Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni msanii mkongwe wa Bongo Fleva Joseph Haule maarufu kama Profesa J nyumbani kwake Kawe jijini Dar es salaam.
“Ni furaha iliyoje kumuona afya yake imeimarika.Hakika Mungu ni mkubwa”, amesema Dkt Kikwete wakati akiongea na msanii huyo aliyeugua kwa muda mrefu kabla ya kupata nafuu baadae.
Eti huyu mzee alikuwa wapi siku zoote asimkumbuke Prof Jay hadi leo ambapo wamemkamata makamu mwenyekiti wa chama cha Prof Jay Chadema?