johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Kwa Africa Kura ni kitu temporary ndio sababu hata kura zikiibwa Watu hawashughuliki kuzipigania
Hata Watu wakijitangaza Kupita Bila Kupingwa hakunaga anayejali na kuhoji
Ila huko Duniani kila Mtu kura yake ameithamanisha ndio sababu mshindi hujulikana kwa kura za maoni ya Vyombo vya habari na Utafiti kabla ya Uchaguzi rasmi
Imani ya Mtu kwa Mtu ndio muhimu kuliko Tangazo la Mshindi linalotolewa na third party yaani DED ( Msimamizi wa Uchaguzi)
Tukubaliane tu Lema na Sugu Wana KIBALI cha kukubalika mbele ya Jamii yaani hawatumii nguvu kutafuta kukubalika
Hiki KIBALI cha namna hii alikuwa nacho Maalim Seif RIP
Mungu wa Mbinguni awaangazie Nuru yake na Kuwalinda😀
Hata Watu wakijitangaza Kupita Bila Kupingwa hakunaga anayejali na kuhoji
Ila huko Duniani kila Mtu kura yake ameithamanisha ndio sababu mshindi hujulikana kwa kura za maoni ya Vyombo vya habari na Utafiti kabla ya Uchaguzi rasmi
Imani ya Mtu kwa Mtu ndio muhimu kuliko Tangazo la Mshindi linalotolewa na third party yaani DED ( Msimamizi wa Uchaguzi)
Tukubaliane tu Lema na Sugu Wana KIBALI cha kukubalika mbele ya Jamii yaani hawatumii nguvu kutafuta kukubalika
Hiki KIBALI cha namna hii alikuwa nacho Maalim Seif RIP
Mungu wa Mbinguni awaangazie Nuru yake na Kuwalinda😀