Mbowe: Tunaandamana kupeleka ujumbe kwa watawala

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa lengo la maandamano si machafuko bali ni kupeleka ujumbe kwa watawala.

Akizungumza Katika mkutano wa hadhara uliofanyika baada ya maandamano jijini Arusha, Mbowe aligusia kuwa mpaka sasa hakuna madhara yoyote yaliyojitokeza tangu walipoanza maandamano, huku akisema kuwa ni kielelezo tosha kwamba maandamano hayo lengo lake ni kupeleka ujumbe kwa wahusika waliopo madarakani.
 
View attachment 2918367
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa lengo la maandamano si machafuko bali ni kupeleka ujumbe kwa watawala.

Akizungumza Katika mkutano wa hadhara uliofanyika baada ya maandamano jijini Arusha, Mbowe aligusia kuwa mpaka sasa hakuna madhara yoyote yaliyojitokeza tangu walipoanza maandamano, huku akisema kuwa ni kielelezo tosha kwamba maandamano hayo lengo lake ni kupeleka ujumbe kwa wahusika waliopo madarakani.
Tangia muanze haya maandamano uchwara ni nini kimebadilika?
 
wildebeest-poke.gif
 
Back
Top Bottom