Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuendelea kumkashifu Magufuli ambaye hayupo Duniani kuja kujitetea! Ambaye pia huna uhakika ana wafuasi wangapi katika halaiki inayokuwa mbele yako Lissu!bila kujua kwamba unawatonesha kidonda...
22 Reactions
95 Replies
4K Views
Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa: Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi...
28 Reactions
50 Replies
5K Views
Kiukweli hiyo timu ya kutoa Elimu kuhusu Mkataba wa Bandari na DP World ije haraka kutuelimisha Nimemsoma Wakili msomi mmoja ndio kazidi kunichanganya, amedai ile IGA ya Bandari iliyopitishwa...
20 Reactions
147 Replies
9K Views
Tumesikiliza blah blah nyingi tu kutoka kwa viongozi wa CCM wanaozunguka nchini kuelezea sakata la Bandari. Wanasema IGA siyo mkataba bali HGA ndizo zitakuwa mikataba, wakati huo huo wanasema HGA...
4 Reactions
14 Replies
6K Views
Dar es Salaam, Tanzania https://m.youtube.com/watch?v=8lpvucBPT9I Profesa Anna Tibaijuka anafahamika zaidi kama mwanamke wa pili Mwafrika kushikilia wadhifa wa juu katika Umoja wa mataifa...
0 Reactions
0 Replies
605 Views
Andiko hili alione ndugu yetu bwana ndoto anayejiandaa kuingia ikulu kule Afrika. IKULU ILIYO NDANI YA IKULU INA MFALME ALIYE JUU YA MFALME WETU 💫💫💫💫💫 ©️Mwl Makungu m.s 0743781910 Kila...
15 Reactions
51 Replies
5K Views
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
46 Reactions
217 Replies
19K Views
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi. Akijibu swali la...
40 Reactions
77 Replies
8K Views
Ndugu Watanzania kama mnavyoona baada ya zaidi ya miaka 60 ya uhuru hali ya huduma za kijamii bado ni mbovu. Baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado tunaongelea huduma mbovu ya umeme. Hamna...
1 Reactions
0 Replies
680 Views
Picha ya antena za Vodacom, Tigo, Airtel na TTCL zikiwa zimesimikwa kwenye mnara wa Helios baada ya makampuni haya kusaini mkataba wa upangishaji na Helios I. Utangulizi Makubaliano ya...
39 Reactions
157 Replies
8K Views
Sasa ninaamini CCM inaweza kuondoka madarakani. Juhudi za Chadema kupeleka salamu Vijijini siyo Bure Bali matunda yake yameanza kuonekana. Jeshi la mageuzi Sasa naona wameanza kuhamasika. Jeshi...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari hii ni kwa mujibu wa Martin Maranja Masese kupitia mtandao wa X. - Jeshi la Polisi mkoani Arusha limempatia dhamama Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na viongozi wengine wa...
18 Reactions
146 Replies
17K Views
YALIYOJIRI KIKAO CHA MBUNGE CHEGE NA VIJANA WA MAKAMBI WA CCM WILAYA YA RORYA KATA YA KIROGO - Mbunge katoa Ng’ombe kwa ajili ya shughuli ya vijana. - Mbunge kachangia laki 5 kwa ajili ya kuunda...
0 Reactions
1 Replies
679 Views
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita ameendelea na ziara yake Kata ya Partimbo kutembelea eneo la ujenzi wa Chuo cha VETA kukagua maendeleo yake. Amewapongeza wasimamizi na...
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro, Hata ivyo taarifa...
35 Reactions
164 Replies
20K Views
Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi. Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
Huko kwenye Nishati wala sijautafuta sababu kinachoendelea hata kipofu asiyeona anasikia... Nikajaribu kuutafuta kwenye Kilimo; ila sintofahamu za kuuza na kutokuuza, vyakula kupanda bei na hali...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Akizungumza katika Mkutano wa kujadili Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini, Rais Samia amesema Kuna uhuru wa Maoni, lakini Uhuru wa maoni una mipaka yake, siyo tu kisheria hata...
1 Reactions
1 Replies
462 Views
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ahutubia Kamati ya Vyama vya Siasa Jijini Dar es Salaam Dar es Salaam, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitoa hotuba...
-1 Reactions
0 Replies
793 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…