Kuendelea kumkashifu Magufuli ambaye hayupo Duniani kuja kujitetea!
Ambaye pia huna uhakika ana wafuasi wangapi katika halaiki inayokuwa mbele yako Lissu!bila kujua kwamba unawatonesha kidonda...
Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:
Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi...
Kiukweli hiyo timu ya kutoa Elimu kuhusu Mkataba wa Bandari na DP World ije haraka kutuelimisha
Nimemsoma Wakili msomi mmoja ndio kazidi kunichanganya, amedai ile IGA ya Bandari iliyopitishwa...
Tumesikiliza blah blah nyingi tu kutoka kwa viongozi wa CCM wanaozunguka nchini kuelezea sakata la Bandari.
Wanasema IGA siyo mkataba bali HGA ndizo zitakuwa mikataba, wakati huo huo wanasema HGA...
Dar es Salaam, Tanzania
https://m.youtube.com/watch?v=8lpvucBPT9I
Profesa Anna Tibaijuka anafahamika zaidi kama mwanamke wa pili Mwafrika kushikilia wadhifa wa juu katika Umoja wa mataifa...
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi...
Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.
Akijibu swali la...
Ndugu Watanzania kama mnavyoona baada ya zaidi ya miaka 60 ya uhuru hali ya huduma za kijamii bado ni mbovu.
Baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado tunaongelea huduma mbovu ya umeme.
Hamna...
Picha ya antena za Vodacom, Tigo, Airtel na TTCL zikiwa zimesimikwa kwenye mnara wa Helios baada ya makampuni haya kusaini mkataba wa upangishaji na Helios
I. Utangulizi
Makubaliano ya...
Sasa ninaamini CCM inaweza kuondoka madarakani. Juhudi za Chadema kupeleka salamu Vijijini siyo Bure Bali matunda yake yameanza kuonekana.
Jeshi la mageuzi Sasa naona wameanza kuhamasika. Jeshi...
Habari hii ni kwa mujibu wa Martin Maranja Masese kupitia mtandao wa X.
-
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limempatia dhamama Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na viongozi wengine wa...
YALIYOJIRI KIKAO CHA MBUNGE CHEGE NA VIJANA WA MAKAMBI WA CCM WILAYA YA RORYA KATA YA KIROGO
- Mbunge katoa Ng’ombe kwa ajili ya shughuli ya vijana.
- Mbunge kachangia laki 5 kwa ajili ya kuunda...
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita ameendelea na ziara yake Kata ya Partimbo kutembelea eneo la ujenzi wa Chuo cha VETA kukagua maendeleo yake. Amewapongeza wasimamizi na...
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa...
Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi.
Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini...
Huko kwenye Nishati wala sijautafuta sababu kinachoendelea hata kipofu asiyeona anasikia...
Nikajaribu kuutafuta kwenye Kilimo; ila sintofahamu za kuuza na kutokuuza, vyakula kupanda bei na hali...
Akizungumza katika Mkutano wa kujadili Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini, Rais Samia amesema
Kuna uhuru wa Maoni, lakini Uhuru wa maoni una mipaka yake, siyo tu kisheria hata...
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ahutubia Kamati ya Vyama vya Siasa Jijini Dar es Salaam
Dar es Salaam, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitoa hotuba...