Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,900
- 944
YALIYOJIRI KIKAO CHA MBUNGE CHEGE NA VIJANA WA MAKAMBI WA CCM WILAYA YA RORYA KATA YA KIROGO
- Mbunge katoa Ng’ombe kwa ajili ya shughuli ya vijana.
- Mbunge kachangia laki 5 kwa ajili ya kuunda ushirika mpya kwa vijana hawa na mchango wa nauli.
- Mbunge kawahamasisha vijana kuunda KIKUNDI CHA USHIRIKA KUJIKITA NA KUFANYA KAZI ZA KILIMO, UFUGAJI NA UVUVI. Kwa kuwa hizi ndo shughuli za kiuchumi zilizopo wilaya ya Rorya, badala ya kuvunja kambi na vijana hawa kurudi Nyumbani bila kuwa na malengo.
- Mhe Mbunge ameshiriki kusimamia zoezi la kupata viongozi wa KIKUNDI HIKI WATAKAO KUWA CHINI YA JUMUIYA YA VIJANA WILAYA.
- Mbunge kawataka vijana kupitia KIKUNDI CHA USHIRIKA KUANZA MAANDALIZI KILIMO ENEO LA MTO MARA.
- Mh Mbunge kawashauri kwa soko la sasa la mahindi kama zao chakula na pia zao kibiashara waanze na hili kwa sasa.
- Mbunge kawaasa vijana wakati wananza zoezi hili waache kuchanganya siasa na kazi ili kuleta Tija zaidi.
Ofisi ya Mbunge
Rorya - Mara.
Attachments
-
WhatsApp Video 2023-09-11 at 09.24.10.mp432 MB
-
WhatsApp Image 2023-09-11 at 09.23.52.jpeg113.2 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-09-11 at 09.23.53(1).jpeg120.4 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-09-11 at 09.23.54(1).jpeg112.8 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-09-11 at 09.23.54.jpeg90.3 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-09-11 at 09.24.10.jpeg95.8 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-09-11 at 09.25.39.jpeg127.7 KB · Views: 1