CCM mnasema IGA sio mkataba bali mikataba itakuwa ni HGA, sasa wajibuni Watanzania swali hili

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Dec 10, 2016
1,651
5,126
Tumesikiliza blah blah nyingi tu kutoka kwa viongozi wa CCM wanaozunguka nchini kuelezea sakata la Bandari.

Wanasema IGA siyo mkataba bali HGA ndizo zitakuwa mikataba, wakati huo huo wanasema HGA zitasainiwa kwa kuzingatia sheria za ndani (Tanzania) na IGA iliyoridhiwa na Bunge inasema sheria itakayotumika ni ya Uingereza!

Swali Kukitokea dispute (kutokuelewana) katika utekelezaji wa mikataba ni nyaraka ipi itakayotumika katika kutatua mgogoro huko Afrika kusini ni IGA au HGA?

Prof. Kitila Mkumbo, Wassira, Sofia Mjema na Chongolo tunaomba ufafanuzi.
 
Wanaposema sheria za U.K. zitatumika huko arbitration for the most part ni kwenye definitions.


Nadhani ndio standard practice kutumia English law angalia ata kwenye sakata la kesi husika hapo juu kuna mdau kaweka video zake ni ndefu kidogo.

Katika opening statement ya claimant anadai serikali baada ya kutaifisha eneo lao in 2021 wanadai waliwapa ‘offer’ ya kuchukua tena eneo; wao wanadai it was more like an ‘invitation to treat’ and not inclined to accept it.

Sasa lazima ujue difference between an ‘offer’ and ‘invitation to treat’ as defined in English law (mainly they derive from precedents); I don’t even know utasoma vipi contract law na kuelewa definitions bila ya kutumia English law.
 
Tumesikiliza blah blah nyingi tu kutoka kwa viongozi wa CCM wanaozunguka nchini kuelezea sakata la Bandari.

Wanasema IGA siyo mkataba bali HGA ndizo zitakuwa mikataba, wakati huo huo wanasema HGA zitasainiwa kwa kuzingatia sheria za ndani (Tanzania) na IGA iliyoridhiwa na Bunge inasema sheria itakayotumika ni ya Uingereza!

Swali; je kukitokea dispute ( kutokuelewana) katika utekelezaji wa mikataba ,ni nyaraka ipi itakayotumika katika kutatua mgogoro huko Afrika kusini ni IGA au HGA?

Prof.Kitila Mkumbo,Wassira, Sofia Mjema na Chongolo tunaomba ufafanuzi.
Rushwa hupofusha macho ya wenye akili. Wamehongwa hanna atakaye weza kujibu
 
INTER REGION AGREEMENT
INTER GOVT AGREEMENT
INTER SCHOOL AGREEMENT
INTER CHURCH AGREEMENT
Hii kitu si chochote,ni makubaliano ya kushirikiana kwa ukaribu Fulani wa kipekee!,and it's quiet different na mkataba Fulani wa kiutendaji JUU ya suala Fulani.
#mtoa mada CCM IPO sahihi kabisa.
 
INTER REGION AGREEMENT
INTER GOVT AGREEMENT
INTER SCHOOL AGREEMENT
INTER CHURCH AGREEMENT
Hii kitu si chochote,ni makubaliano ya kushirikiana kwa ukaribu Fulani wa kipekee!,and it's quiet different na mkataba Fulani wa kiutendaji JUU ya suala Fulani.
#mtoa mada CCM IPO sahihi kabisa.
Jibu swali sasa! Wewe unadhani mimi sijui maana ya neno " inter" ?! Najua wewe ndo hujui kuna hadi " intra" ! Jibu swali langu na uache kukaririshwa na CCM upupu!

Wewe pia eleza usahihi wa CCM uko wapi au kwenye nini!

Nyie ndo mnaaminishwa na Sofia Mjema kwamba Bandari haijauzwa kwa kuwa haijawekwa kwenye kiroba!
 
Jibu swali sasa! Wewe unadhani mimi sijui maana ya neno " inter" ?! Najua wewe ndo hujui kuna hadi " intra" ! Jibu swali langu na uache kukaririshwa na CCM upupu!

Wewe pia eleza usahihi wa CCM uko wapi au kwenye nini!

Nyie ndo mnaaminishwa na Sofia Mjema kwamba Bandari haijauzwa kwa kuwa haijawekwa kwenye kiroba!
(Running mutual agreement)
-kinachovunja hii huwa {physical faul,ujanja ujanja wa mmoja wao} ,among partners! (Ndio maana tra atarekodi na Dpw atarekodi kila aina ya entry!, then wata-reconcile migao yao,huku fedha zikiwa kibindoni BOT.
NOTA BENE:,
KUELEWA HAYA INAHITAJI UBONGO MPANA NA SIO VIAKILI VYA KITOTO VYA KINA MBOWE!
 
Tumesikiliza blah blah nyingi tu kutoka kwa viongozi wa CCM wanaozunguka nchini kuelezea sakata la Bandari.

Wanasema IGA siyo mkataba bali HGA ndizo zitakuwa mikataba, wakati huo huo wanasema HGA zitasainiwa kwa kuzingatia sheria za ndani (Tanzania) na IGA iliyoridhiwa na Bunge inasema sheria itakayotumika ni ya Uingereza!

Swali Kukitokea dispute (kutokuelewana) katika utekelezaji wa mikataba ni nyaraka ipi itakayotumika katika kutatua mgogoro huko Afrika kusini ni IGA au HGA?

Prof. Kitila Mkumbo, Wassira, Sofia Mjema na Chongolo tunaomba ufafanuzi.
Vyote viwili
 
Swali Kukitokea dispute (kutokuelewana) katika utekelezaji wa mikataba ni nyaraka ipi itakayotumika katika kutatua mgogoro huko Afrika kusini ni IGA au HGA?
Kinafanya agreement isiwe contract ndio hiki, agreement haina wajibu wa kisheria, mkataba ndio wenye wajibu
Prof. Kitila Mkumbo, Wassira, Sofia Mjema na Chongolo tunaomba ufafanuzi.
Haya mambo ya kuomba ufafanuzi kwa watu wasio members humu sio poa!.
Wenye majibu wanaweza wasijitokeze kwasababu wewe umewauliza kina fulani!.
P
 
Kinafanya agreement isiwe contract ndio hiki, agreement haina wajibu wa kisheria, mkataba ndio wenye wajibu

Haya mambo ya kuomba ufafanuzi kwa watu wasio members humu sio poa!.
Wenye majibu wanaweza wasijitokeze kwasababu wewe umewauliza kina fulani!.
P
P kua muelewa basi! Wapo think tank wao humu juu ya suala la DP world lkn hua hawatupi ufafanuzi. Waje hapa watoe majibu.... Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS Lord denning The boss
 
Tumesikiliza blah blah nyingi tu kutoka kwa viongozi wa CCM wanaozunguka nchini kuelezea sakata la Bandari.

Wanasema IGA siyo mkataba bali HGA ndizo zitakuwa mikataba, wakati huo huo wanasema HGA zitasainiwa kwa kuzingatia sheria za ndani (Tanzania) na IGA iliyoridhiwa na Bunge inasema sheria itakayotumika ni ya Uingereza!

Swali Kukitokea dispute (kutokuelewana) katika utekelezaji wa mikataba ni nyaraka ipi itakayotumika katika kutatua mgogoro huko Afrika kusini ni IGA au HGA?

Prof. Kitila Mkumbo, Wassira, Sofia Mjema na Chongolo tunaomba ufafanuzi.
Ukiuliza hili swali kwenye mikutano yao utaambulia kipigo.
 
Swali Kukitokea dispute (kutokuelewana) katika utekelezaji wa mikataba ni nyaraka ipi itakayotumika katika kutatua mgogoro huko Afrika kusini ni IGA au HGA?
Kamwe hakuna CCM wa kujibu kuhusu huu wizi waliofanya hawa watu!
Ukiwaamini hawa watu hata shetani utamwamini bila shida yoyote hadi kuishi nae!
 
Tumesikiliza blah blah nyingi tu kutoka kwa viongozi wa CCM wanaozunguka nchini kuelezea sakata la Bandari.

Wanasema IGA siyo mkataba bali HGA ndizo zitakuwa mikataba, wakati huo huo wanasema HGA zitasainiwa kwa kuzingatia sheria za ndani (Tanzania) na IGA iliyoridhiwa na Bunge inasema sheria itakayotumika ni ya Uingereza!

Swali Kukitokea dispute (kutokuelewana) katika utekelezaji wa mikataba ni nyaraka ipi itakayotumika katika kutatua mgogoro huko Afrika kusini ni IGA au HGA?

Prof. Kitila Mkumbo, Wassira, Sofia Mjema na Chongolo tunaomba ufafanuzi.
Wala tusiwe na shaka tena maana hila zao zimeshafeli. IGA waliyosaini na kuidhinishwa na bunge kijinga ni non and void kwa sababu imevunja sheria ya mali asili sheria ile waliyoghairi kubadilisha. Hata wangebadilisha ingekua non and void maana mkataba uliingiwa kinyume na sheria sema wangeweza kujenga hoja za kibabaishaji.
 
Back
Top Bottom