Hivi Mwingi unapigiwa Wapi?

Logikos

JF-Expert Member
Feb 26, 2014
12,484
19,516
Huko kwenye Nishati wala sijautafuta sababu kinachoendelea hata kipofu asiyeona anasikia...

Nikajaribu kuutafuta kwenye Kilimo; ila sintofahamu za kuuza na kutokuuza, vyakula kupanda bei na hali ya mkulima (peasant kuendelea kushuka) sidhani kama utakuwa huko....

Lakini nadhani upo kwenye Utalii; na matokeo ya Royal Tour yanatakuwa yanajionesha (sadly kwa kutokuwepo dollar nadhani hata huku utakuwa haupo sababu matokeo ya kule tungeyaona huku)

Kwenye michezo labda, hizi faranga za hapa na pale zinazowekwa huenda zinasaidia (lakini nikipikicha macho na kuangalia naona kwamba kuwasaidia Simba na Yanga pekee bila kuwekeza kwenye grassroots ni kuongeza matabaka wala hakukuzi soka; na kama hawa watu wa soka waliweza kula mapesa ya FIFA ya kila mwaka sidhani kama hizi faranga chache zitaleta mabadiliko)

Lakini sikati tamaa huenda tuna undugu na umoja wa kitaifa..., ila nikiona ndugu zangu wa makabila tofauti na Imani tofauti wanabaguana na kuona wenzao duni kuliko hata kabla..., (nadhani huku mwingi ndio haupo kabisa)...

Ngoja lakini..., Madarasa je yale maelfu kwa maelfu yaliyojengwa na Zahanati ? (Nadhani hata mpingaji hawezi kusema huu sio mwingi)..., Lakini najiuliza sasa haya Madarasa na Zahanati mbona haviendani na ongezeko la wataalamu na wakufunzi wa kuweza kuyatumia hayo ? (Sijaona Ajira zinaongezeka)...., Au siku hizi Teknolojia imefanya hadi matofari kuweza kutoa Elimu na Kutoa Tiba ?

Demokrasia Je ? nadhani huko nisipoteze muda kuangalia ingawa tunaambiwa vyombo vimekuwa huru lakini wanachohabarisha ni kama kinatoka sehemu moja (yaani wamekuwa propaganda machines)..

Najiuliza tena huu Mwingi unapigwa wapi ? Binafsi sijauona au umekuwa mwingi hadi hauonekani ?
 
Wacha waupige tu, tutakutana 25....

Sent from my SM-S908E using JamiiForums mobile app
Kana kuna sehemu wana guarantee ya kufanya yao ni huko mtakapokutana (ni historically proof na sioni nini kimebadilika ambacho hapo nyuma kilikuwepo sasa hivi hakipo) Kwa proof fuatilia Saga za Maalim Seif na figisu za huko Zenji
 
Nipo na wewe kwa swali lako,

Pengine chawa wanaweza kuwa na jibu hao huwa hawajui kutofautisha nyeusi na nyeupe!
Wao ni kupamba tu

Lucas Muoshambwa na Sufuri sijui Sufiani wamezidi kwa kupamba mbaya zaidi teuzi zitoka kila leo ila ….
 
Hakuna lolote alilofanya tangu aingie ikulu kazi yake kulala tu.
Nadhani kulala tu unamsingizia labda akiwa kwenye ndege njiani akitoka huku au kwenda kule..., Nadhani hapa kweli kaupiga Mwingi, hata Vasco Da Gama anasubiri.....
 
Huko kwenye Nishati wala sijautafuta sababu kinachoendelea hata kipofu asiyeona anasikia...

Nikajaribu kuutafuta kwenye Kilimo; ila sintofahamu za kuuza na kutokuuza, vyakula kupanda bei na hali ya mkulima (peasant kuendelea kushuka) sidhani kama utakuwa huko....

Lakini nadhani upo kwenye Utalii; na matokeo ya Royal Tour yanatakuwa yanajionesha (sadly kwa kutokuwepo dollar nadhani hata huku utakuwa haupo sababu matokeo ya kule tungeyaona huku)

Kwenye michezo labda, hizi faranga za hapa na pale zinazowekwa huenda zinasaidia (lakini nikipikicha macho na kuangalia naona kwamba kuwasaidia Simba na Yanga pekee bila kuwekeza kwenye grassroots ni kuongeza matabaka wala hakukuzi soka; na kama hawa watu wa soka waliweza kula mapesa ya FIFA ya kila mwaka sidhani kama hizi faranga chache zitaleta mabadiliko)

Lakini sikati tamaa huenda tuna undugu na umoja wa kitaifa..., ila nikiona ndugu zangu wa makabila tofauti na Imani tofauti wanabaguana na kuona wenzao duni kuliko hata kabla..., (nadhani huku mwingi ndio haupo kabisa)...

Ngoja lakini..., Madarasa je yale maelfu kwa maelfu yaliyojengwa na Zahanati ? (Nadhani hata mpingaji hawezi kusema huu sio mwingi)..., Lakini najiuliza sasa haya Madarasa na Zahanati mbona haviendani na ongezeko la wataalamu na wakufunzi wa kuweza kuyatumia hayo ? (Sijaona Ajira zinaongezeka)...., Au siku hizi Teknolojia imefanya hadi matofari kuweza kutoa Elimu na Kutoa Tiba ?

Demokrasia Je ? nadhani huko nisipoteze muda kuangalia ingawa tunaambiwa vyombo vimekuwa huru lakini wanachohabarisha ni kama kinatoka sehemu moja (yaani wamekuwa propaganda machines)..

Najiuliza tena huu Mwingi unapigwa wapi ? Binafsi sijauona au umekuwa mwingi hadi hauonekani ?
Loliondo imekuwa ni miliki halali ya UAE, na Watanganyika akiwemo Lisu wanatakiwa kuingia kule kwa VIZA. Nadhani hapa umepigwa MWINGI
 
Kama kinachoendelea huko Ngorongoro hata wazungu wenyewe walijitia kimbelembele kutaka kujua undani wameangukia pua, mama Abdul hatakagi mchezo ati,2025 ni yeye tu mbele ya mitutu ya bunduki nani atafurukuta?
 
Huko kwenye Nishati wala sijautafuta sababu kinachoendelea hata kipofu asiyeona anasikia...

Nikajaribu kuutafuta kwenye Kilimo; ila sintofahamu za kuuza na kutokuuza, vyakula kupanda bei na hali ya mkulima (peasant kuendelea kushuka) sidhani kama utakuwa huko....

Lakini nadhani upo kwenye Utalii; na matokeo ya Royal Tour yanatakuwa yanajionesha (sadly kwa kutokuwepo dollar nadhani hata huku utakuwa haupo sababu matokeo ya kule tungeyaona huku)

Kwenye michezo labda, hizi faranga za hapa na pale zinazowekwa huenda zinasaidia (lakini nikipikicha macho na kuangalia naona kwamba kuwasaidia Simba na Yanga pekee bila kuwekeza kwenye grassroots ni kuongeza matabaka wala hakukuzi soka; na kama hawa watu wa soka waliweza kula mapesa ya FIFA ya kila mwaka sidhani kama hizi faranga chache zitaleta mabadiliko)

Lakini sikati tamaa huenda tuna undugu na umoja wa kitaifa..., ila nikiona ndugu zangu wa makabila tofauti na Imani tofauti wanabaguana na kuona wenzao duni kuliko hata kabla..., (nadhani huku mwingi ndio haupo kabisa)...

Ngoja lakini..., Madarasa je yale maelfu kwa maelfu yaliyojengwa na Zahanati ? (Nadhani hata mpingaji hawezi kusema huu sio mwingi)..., Lakini najiuliza sasa haya Madarasa na Zahanati mbona haviendani na ongezeko la wataalamu na wakufunzi wa kuweza kuyatumia hayo ? (Sijaona Ajira zinaongezeka)...., Au siku hizi Teknolojia imefanya hadi matofari kuweza kutoa Elimu na Kutoa Tiba ?

Demokrasia Je ? nadhani huko nisipoteze muda kuangalia ingawa tunaambiwa vyombo vimekuwa huru lakini wanachohabarisha ni kama kinatoka sehemu moja (yaani wamekuwa propaganda machines)..

Najiuliza tena huu Mwingi unapigwa wapi ? Binafsi sijauona au umekuwa mwingi hadi hauonekani ?
Unapigwa kote kote si ajabu unapuuzwa
 
Unapigwa kote kote si ajabu unapuuzwa
Kwako wewe unaona huu mgao wa giza ni sawa ?;

Na huu sijui ukosefu wa dollar (kwanza kwanini tuwe tegemezi wa dollar kwa nchi ambayo inabidi tuwe self reliant) anyway sababu tunategemea dollar je zile zilizopatikana kwenye kuupiga mwingi kwenye royal tour zimekwenda wapi (either tumedanganywa au zimeliwa)

Simlaumu Samia nalaumu watu kama wewe ambao mnamwambia all is okay wakati watu kitaa hawaelewi; Jana tu hapa nimejikuta kwa kinyozi wangu wa kila siku ninanyolewa kwa kutumia Mkasi wembe na Kitana after all lazima ale na hakuna umeme amejikuta anakumbushia skills zake alizotumia miaka ishirini iliyopita... Na kwa mwendo huu sijui nani atamlipia Pango la Chumba....

Acheni kumpotosha.....

1694332425442.png
 
Kwako wewe unaona huu mgao wa giza ni sawa ?;

Na huu sijui ukosefu wa dollar (kwanza kwanini tuwe tegemezi wa dollar kwa nchi ambayo inabidi tuwe self reliant) anyway sababu tunategemea dollar je zile zilizopatikana kwenye kuupiga mwingi kwenye royal tour zimekwenda wapi (either tumedanganywa au zimeliwa)

Simlaumu Samia nalaumu watu kama wewe ambao mnamwambia all is okay wakati watu kitaa hawaelewi; Jana tu hapa nimejikuta kwa kinyozi wangu wa kila siku ninanyolewa kwa kutumia Mkasi wembe na Kitana after all lazima ale na hakuna umeme amejikuta anakumbushia skills zake alizotumia miaka ishirini iliyopita... Na kwa mwendo huu sijui nani atamlipia Pango la Chumba....

Acheni kumpotosha.....

Mgao hautakaa uishe na hujawahi kuisha mpaka hapo mtakapolipa Kodi ya kutosha.

Makamba alishawaambia bila til.4 huko Tanesco hakuna siku mgao utaishia
 
Huko kwenye Nishati wala sijautafuta sababu kinachoendelea hata kipofu asiyeona anasikia...

Nikajaribu kuutafuta kwenye Kilimo; ila sintofahamu za kuuza na kutokuuza, vyakula kupanda bei na hali ya mkulima (peasant kuendelea kushuka) sidhani kama utakuwa huko....

Lakini nadhani upo kwenye Utalii; na matokeo ya Royal Tour yanatakuwa yanajionesha (sadly kwa kutokuwepo dollar nadhani hata huku utakuwa haupo sababu matokeo ya kule tungeyaona huku)

Kwenye michezo labda, hizi faranga za hapa na pale zinazowekwa huenda zinasaidia (lakini nikipikicha macho na kuangalia naona kwamba kuwasaidia Simba na Yanga pekee bila kuwekeza kwenye grassroots ni kuongeza matabaka wala hakukuzi soka; na kama hawa watu wa soka waliweza kula mapesa ya FIFA ya kila mwaka sidhani kama hizi faranga chache zitaleta mabadiliko)

Lakini sikati tamaa huenda tuna undugu na umoja wa kitaifa..., ila nikiona ndugu zangu wa makabila tofauti na Imani tofauti wanabaguana na kuona wenzao duni kuliko hata kabla..., (nadhani huku mwingi ndio haupo kabisa)...

Ngoja lakini..., Madarasa je yale maelfu kwa maelfu yaliyojengwa na Zahanati ? (Nadhani hata mpingaji hawezi kusema huu sio mwingi)..., Lakini najiuliza sasa haya Madarasa na Zahanati mbona haviendani na ongezeko la wataalamu na wakufunzi wa kuweza kuyatumia hayo ? (Sijaona Ajira zinaongezeka)...., Au siku hizi Teknolojia imefanya hadi matofari kuweza kutoa Elimu na Kutoa Tiba ?

Demokrasia Je ? nadhani huko nisipoteze muda kuangalia ingawa tunaambiwa vyombo vimekuwa huru lakini wanachohabarisha ni kama kinatoka sehemu moja (yaani wamekuwa propaganda machines)..

Najiuliza tena huu Mwingi unapigwa wapi ? Binafsi sijauona au umekuwa mwingi hadi hauonekani ?
Ajira kila pahala. Vijana waligezwa machinga tu kipindi Cha mwendazake. Now ajira zipo kila pahala
 
Huko kwenye Nishati wala sijautafuta sababu kinachoendelea hata kipofu asiyeona anasikia...

Nikajaribu kuutafuta kwenye Kilimo; ila sintofahamu za kuuza na kutokuuza, vyakula kupanda bei na hali ya mkulima (peasant kuendelea kushuka) sidhani kama utakuwa huko....

Lakini nadhani upo kwenye Utalii; na matokeo ya Royal Tour yanatakuwa yanajionesha (sadly kwa kutokuwepo dollar nadhani hata huku utakuwa haupo sababu matokeo ya kule tungeyaona huku)

Kwenye michezo labda, hizi faranga za hapa na pale zinazowekwa huenda zinasaidia (lakini nikipikicha macho na kuangalia naona kwamba kuwasaidia Simba na Yanga pekee bila kuwekeza kwenye grassroots ni kuongeza matabaka wala hakukuzi soka; na kama hawa watu wa soka waliweza kula mapesa ya FIFA ya kila mwaka sidhani kama hizi faranga chache zitaleta mabadiliko)

Lakini sikati tamaa huenda tuna undugu na umoja wa kitaifa..., ila nikiona ndugu zangu wa makabila tofauti na Imani tofauti wanabaguana na kuona wenzao duni kuliko hata kabla..., (nadhani huku mwingi ndio haupo kabisa)...

Ngoja lakini..., Madarasa je yale maelfu kwa maelfu yaliyojengwa na Zahanati ? (Nadhani hata mpingaji hawezi kusema huu sio mwingi)..., Lakini najiuliza sasa haya Madarasa na Zahanati mbona haviendani na ongezeko la wataalamu na wakufunzi wa kuweza kuyatumia hayo ? (Sijaona Ajira zinaongezeka)...., Au siku hizi Teknolojia imefanya hadi matofari kuweza kutoa Elimu na Kutoa Tiba ?

Demokrasia Je ? nadhani huko nisipoteze muda kuangalia ingawa tunaambiwa vyombo vimekuwa huru lakini wanachohabarisha ni kama kinatoka sehemu moja (yaani wamekuwa propaganda machines)..

Najiuliza tena huu Mwingi unapigwa wapi ? Binafsi sijauona au umekuwa mwingi hadi hauonekani ?
Kama we huoni basi unaathiriwa na the so called hallo effect.
 
Kila mtu na tafsiri yake...unaweza kupiga mwingi lakin usishinde...si unaikumbuka arsenal ya wenger?..kupiga mwing hapa ni matumizi makubwa sio matokeo
 
Jana niliona mwingi unapigwa kwenye ile picha ya ufa wa inayosemekana kwamba ni bwawa la nyerere.
Leo nimeona mwingi unapigwa kule ngorongoro kwenye hotel ya karatu.
 
Back
Top Bottom