Dar es Salaam, Tanzania
Profesa Anna Tibaijuka anafahamika zaidi kama mwanamke wa pili Mwafrika kushikilia wadhifa wa juu katika Umoja wa mataifa alipohudumu akiwa mkurugenzi mkuu wa UN-Habitat.
Mbali na hilo ni mwanasiasa mwenye uzoefu nchini Tanzania kwani alihudumu kama Mbunge na waziri. Kadhalika, Profesa Tibaijuka ni mtaalama wa masuala ya Kilimo na uchumi.
Mashirima Kapombe alikutana NAYE jijini Dar es Salaam na alikuwa na mengi ya kusema kuhusu kinachosababisha changamoto za utoshelevu wa chakula barani Afrika. Mashirima alianza kwa kumuuliza, Sasa hivi ana majukumu gani?
Profesa Anna Tibaijuka anafahamika zaidi kama mwanamke wa pili Mwafrika kushikilia wadhifa wa juu katika Umoja wa mataifa alipohudumu akiwa mkurugenzi mkuu wa UN-Habitat.
Mbali na hilo ni mwanasiasa mwenye uzoefu nchini Tanzania kwani alihudumu kama Mbunge na waziri. Kadhalika, Profesa Tibaijuka ni mtaalama wa masuala ya Kilimo na uchumi.
Mashirima Kapombe alikutana NAYE jijini Dar es Salaam na alikuwa na mengi ya kusema kuhusu kinachosababisha changamoto za utoshelevu wa chakula barani Afrika. Mashirima alianza kwa kumuuliza, Sasa hivi ana majukumu gani?