Jibu hoja za Prof Tibaijuka, wacha makelele yako yasiyo na maana yaliyochanganyika na hasira.Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
hana hoja huyo mwizi bali ana vioja km wewe zuzuzJibu hoja za Prof Tibaijuka, wacha makelele yako yasiyo na maana yaliyochanganyika na hasira.
Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Prof. Issa Shivji naye ana hisa Ticts?, Mzee Joseph Butibu naye ana hisa Tcts?, Mzee Joseph Sinde Warioba naye ana hisa TICTS?, Kadinali Pengo naye ana hisa TICTS?, Father Kitima naye ana hisa TICTS?, Dk. Nshala naye ana hisa?, Wakili Boniface Mwabukusi naye ana hisa?, Adam Malima naye ana hisa?, TLS, LHRC nao wana hisa?Askofu Mwamakula, Askofu Mwamalanga, Askofu Maxmilian Machumu Mwanamapinduzi wote wana HISA?Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICT
Samia lazima atambue watanganyika wamegoma kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yao, hata kama wakitumia jeshi la polisi kutulazimisha, the fact is very simple and clear, tumegoma.
Karne hii ya sasa kitendo chochote cha kuwafunga watu midomo kinakuonesha vile ulivyo mjinga, unaanzia wapi?
Tuna wasomi wa kila aina, tena wanaokuuliza maswali ya ujinga wako mpaka unashindwa kuwajibu, heshima tuliyonayo sharti tuilinde siku zote, tukiichezea tukaipoteza asilaumiwe mtu kwa ujinga wa mwingine, imeandikwa kila mmoja ataubeba msalaba wake.
Faiza unaweza kuwa na kaushahidi kidogo kuwa mama bwenga huyu aliweka ka mtaji kwa muhaya mwenzieHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Wewe comment positive, ok?Mkuu hivi huwa huna kazi ya kufanya? Kila muda lazima ukomment tena negative comments?
Muogope Allah dadangu!!!Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia