Freeman Mbowe afika Uwanja wa Amani kumuaga Mzee Mwinyi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,248
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili , Ally Hassan Mwinyi .

Mbowe ambaye pia huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Ameambatana na Naibu Katibu Mkuu wa chama chake Salum Mwalimu

Screenshot_2024-03-02-11-49-54-1.png
Screenshot_2024-03-02-11-50-03-1.png
 
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili , Ally Hassan Mwinyi .

Mbowe ambaye pia huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Ameambatana na Naibu Katibu Mkuu wa chama chake Salum Mwalimu

View attachment 2922096View attachment 2922097
Huyu Mwamba huyu
 
Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?

Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu
Ni busara kukaa kimya wakati mwingine ili kuacha shaka juu ya upumbavu wako kuliko kufungua kinywa chako na kuondoa hata ile punje ya shaka ya kuwa upumbavu.

Kanzu ni vazi tu na si uwakilishaji wa kidini kama unavyotaka kumaanisha, hivyo hakuna maigizo bali usahihi wa vazi husika kwa hafla/shughuli husika. Ingekuwa kichekesho endapo angevaa tracksuit ama kipensi ikiwa amekwenda msibani.

Siku nyingine tafakari kabla ya kuandika.
 
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili , Ally Hassan Mwinyi .

Mbowe ambaye pia huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Ameambatana na Naibu Katibu Mkuu wa chama chake Salum Mwalimu

View attachment 2922096View attachment 2922097
Huyo nyuma yake ni Adamoo au Bwire?
 
Ni busara kukaa kimya wakati mwingine ili kuacha shaka juu ya upumbavu wako kuliko kufungua kinywa chako na kuondoa hata ile punje ya shaka ya kuwa upumbavu.

Kanzu ni vazi tu na si uwakilishaji wa kidini kama unavyotaka kumaanisha, hivyo hakuna maigizo bali usahihi wa vazi husika kwa hafla/shughuli husika. Ingekuwa kichekesho endapo angevaa tracksuit ama kipensi ikiwa amekwenda msibani.

Siku nyingine tafakari kabla ya kuandika.
Hii ndio busara yako?
Hapa nfio umetumia akili yako yote?
Basi sawa😁
 
Kanzu vazi la heshima waulize kwann maaskofu wanavaa kanzu ndo utajua hujui
Kanzu za kizimkazi na kanzu za maaskofu ni tofauti kimuonekano usichanganye.

Kama ni vazi la kawaida kwanini Mbowe avae tu kwenye mikusanyiko ya kidini ya kiislam na sio kwenye kampeni au kanisani?
 
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili , Ally Hassan Mwinyi .

Mbowe ambaye pia huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Ameambatana na Naibu Katibu Mkuu wa chama chake Salum Mwalimu

View attachment 2922096View attachment 2922097
Mungu Ibariki CHADEMA
 
Mkuu acha ukauzu kwenye maisha.

Tunaenda na mazingira, mila na tamaduni.

Ndio maana Makonda akienda umasaini anavaa Shuka begani.

Sio maigizo bali ni kushiriki mila na desturi za watu wa hapo ni furaha na inaleta raha.
Mimi nimechokoza nilitegenea jibu la akili na sio mkurupuko na mastress
 
Back
Top Bottom