Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,161
- 1,493
Serikali ya CCM imekuwa ikitoa huduma kwa Watanzania wote bila kujali rangi, kabila, dini au eneo hilo viongozi wanatokana na chama gani.
Kuna majimbo mengi Wabunge wake waliwahi toka vyama pinzani lakini maeneo hayo yana vituo vya Afya bora, Shule nzuri, Barabara safi, Maji, Umeme etc.
Rasimali za Tanzania ni za Watanzania wote, mgawanyo wake hufanywa kwa kuzingatia upatikanaji wake, Uhitaji, etc.
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania.
Kuna majimbo mengi Wabunge wake waliwahi toka vyama pinzani lakini maeneo hayo yana vituo vya Afya bora, Shule nzuri, Barabara safi, Maji, Umeme etc.
Rasimali za Tanzania ni za Watanzania wote, mgawanyo wake hufanywa kwa kuzingatia upatikanaji wake, Uhitaji, etc.
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania.