Raisi Mstaafu wa Zanzibar Dr Shein akitoa salamu Kuaga Mwili wa Raisi Mstaafu wa Mwinyi uwanja wa Amani Zanzibar asema Mwinyi alipangiwa kufundisha shule haina wanafunzi ikabidi awe anapita mitaani kutafuta wanafunzi wa kufundisha
Kweli marehemu Mwinyi alipenda sana kazi yake ya ualimu tofauti na walimu wa sasa anakwambia sio kazi yangu kutafuta wanafunzi kama hawapo sio kazi yangu kuwatafuta mimi kazi yangu kufundisha basi
Kweli marehemu Mwinyi alipenda sana kazi yake ya ualimu tofauti na walimu wa sasa anakwambia sio kazi yangu kutafuta wanafunzi kama hawapo sio kazi yangu kuwatafuta mimi kazi yangu kufundisha basi