Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema chama hicho kilifahamu kuwa Lazaro Nyalandu na Seleman Mathew, ambao wote walikuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho, wangeondoka kutokana na...
Waziri wa Mambo ya nje wa Afrika Kusini Naledi Pandor amesema kuwa raia wa taifa hilo wanaopigania Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) huko Gaza watakamatwa watakaporejea nchini humo, shirika la...
Na. M. M. Mwanakijiji...
Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na...
Akiwaapisha Viongozi aliowateua Rais Samia amesikika akisema Kwa miaka hii 3 Serikali yake imekopa sana Kwa Ajili ya Huduma za jamii ila Sasa wanaenda kupunguza kukopa.
Kwa haraka haraka Kwa mtu...
Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema tukiruhusu gharama za Uchaguzi zibebwe na mgombea peke yake basi Matajiri wenye fedha watanunua uongozi.
Tena Watu Wenye Fedha na Marafiki zao ndio...
ACT Wazalendo tumeguswa na taharuki za wananchi kutokana na taarifa za utata juu ya upatikanaji wa huduma za afya kupitia Mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF). Wiki ya kwanza ya mwezi Machi, 2024...
TAFAKURI KWA WANAWAKE WOTE JESHI LA DR SAMIA
📌 Dar es salaam, 📝 29/01/2024
Wanawake wa mkoa wa Dar es salaam na Tanzania nzima kwa ujumla tunajivunia Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan, Mwanamama...
Na Saidina Msangi na Joseph Mahumi, WF, Dodoma
Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amesema kuwa Tanzania ni nchi ya mfano Afrika kwa kutimiza viashiria vya Malengo ya Milenia...
Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Mheshimiwa Florent Kyombo, akabidhi kompyuta Mbili shule ya Sekondari Bwabuki Ya Kata Kitobo na Shule ya Msingi Lukurungo Kata Bugandika
Ofisi ya Mbunge wakikabidhi...
Ndugu zangu Watanzania,
Nilishawaambieni sana humu jukwaani na hata mitaani kuwa Rais Samia anafuatilia sana kila kinachokuwa kinaendelea katika ziara za Mheshimiwa Makonda kijana jasiri kusini...
Mheshimiwa Rais, nimekusikia ukisema unaweka pembeni wazembe na wale wasiowatumikia wananchi ipasavyo, hadi pale watakapojirekebisha ndio unawarudisha!
Sasa mzembe asipochukuliwa hatua za...
Wote tunakumbuka Daniel Yona alifungwa Jela kwa Ufisadi aliofanya akiwa Waziri
Basil Mramba alifungwa Jela kwa Ufisadi aliofanya akiwa Waziri
Rajab Marandu alifungwa Jela kwa Ufisadi wa EPA
Hii...
Awamu ya pili ilileta fujo za daladala kwa mara ya kwanza Tanzania, iliruhusu fujo, iliondoa usafiri wa kimpangilio uliokuwepo wa UDA na kuruhusu fujo za daladala.
Awamu ya 4 iliruhusu bodaboda...
Ukweli mchungu kwa ma CCM na vibaraka wao:
“Mkitaka kufika mbali lazima muwe na sauti ya pamoja hata kama munatofautiana kwa itikadi ya vyama vyenu lakini linapokuja suala la kutetea maslahi ya...
Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezungumzia kupanda kwa bei ya mafuta ya petrol, dezeli na mafuta ya taa huku akisema hali hiyo haikwepeki Tanzania.
Nyalandu amesema...
Pangekuwepo Serikali 3 hii mjadala ya leo isingekuwepo kwa Maamuzi haya haya ya Bandari
Ni Maalim Seif na Mchungaji Mtikila tu ndio walielewa maana halisi ya Serikali 3!
Mchengerwa anaongelea kushughulikia kerozipi kubwa wakati Mwenezi Makonda anakutana na watu kadha wa kadha wakiwa na kero lukuki mpaka zinaanzishwa kliniki za kusikiliza kero hizo?
Sekta zote...
Rushwa katika Vyama vya Siasa ni tatizo katika Nchi nyingi Duniani na inaathiri Demokrasia kwa kudhoofisha Uwajibikaji, Usawa, na Uaminifu katika Mifumo ya Kisiasa
Katika baadhi ya maeneo, Watu...
Nadhani wananchi wenyewe mngewapa mbinu, maoni viongozi wenu kupitia platform mbalimbali ili wajue mnahitaji nini kulikoni kukaa na kuwa dislike, ninachojua mpaka sasa na ninaamini hilo ya kuwa...
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye...