Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhandisi Zena A. Said amesema kuwa APRM Tanzania ni chombo muhimu sana kukitumia kwa wananchi lakini pia...
0 Reactions
0 Replies
355 Views
Waliomwambia JPM kuwa Katiba haileti maendeleo, huenda ni haohao wanaomwambia Samia kuwa Katiba inaweza kuwepo na isifuatwe. Ni aibu kwa viongozi wa CCM walioapa kwa Katiba kutamka maneno haya...
2 Reactions
5 Replies
889 Views
Maridhiano yalitaka kuwatoa kwenye reli ila kwa sasa naona mmerudi kwenye mstari wenu ulionyooka, tunaiona Chadema tuliyoizoea. Hotuba ya jana imedhihirisha hilo, ni hotuba iliyojaa hofu...
22 Reactions
28 Replies
3K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amezindua Bodi ya Hakimiliki Tanzania (COSOSTA) na Bodi ya Bodi ya Filamu Tanzania na kuwataka Wajumbe wa Bodi hizo kuhakikisha sekta...
0 Reactions
3 Replies
744 Views
Wadau habarini (1). aridhiano yanaendelea, Rais Samia ni mwelewa na msikivu huo ndio ukweli. Tume huru ya uchaguzi itapatikana kabla ya 2025 na upinzani tutapata wabunge wengi na madiwani wengi...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Inaonekana CCM haijui kuwa SIASA ni Mfululizo Wa MATUKIO ya KILA SIKU. Huwezi kusema Eti VYAMA vya UPINZANI leo vinapozungumzia KATIBA MPYA kesho BANDARI na Kesho kutwa UFISADI ni KOSA Vyama vya...
0 Reactions
1 Replies
474 Views
Ufanisi huu umetokana na kukamilika Kwa Maboresho yaliyogharimu mabilioni ya Shilingi. Aidha Bandari ya Mtwara imeanza kupokea Shehena ya mafuta yanayotumika Mikoa ya Kusini mwa Nchi. --- Mamlaka...
0 Reactions
1 Replies
681 Views
Bila matukio hakuna Siasa na huo ndio ukweli mchungu Ndio sababu Viongozi wengi wa Afrika huteua Mawaziri wa habari wenye akili za wastani Ili wawatumie kuficha habari na kupunguza matukio kwenye...
10 Reactions
43 Replies
2K Views
Kuna Gari jipya limeingia kwenye msafara kwenye Barabara maarufu ya "DipuWolidi" iliyotengenezwa hivi karibuni na familia ya "Sero-Kali." Tatizo hasa ni Mwanga wa "Full Light" unaotolewa na hili...
1 Reactions
3 Replies
801 Views
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema. Je naye TL mikito yake si mnaijua? Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti...
21 Reactions
78 Replies
7K Views
Tasnia mbili bado zipo nyuma na madhara ya hatua za taratibu za kusogea kwa maendeleo ya tasnia hizo yanaonekana dhahiri kabisa. Tasnia ya polisi na tasnia ya bahari. Polisi wetu mpaka kesho...
0 Reactions
1 Replies
617 Views
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa...
17 Reactions
257 Replies
18K Views
Dkt Slaa kapokwa hadhi ya ubalozi Askofu Niwemugizi alipokwa hadhi ya uraia Askofu Zachary Kakobe akapokwa hadhi ya uraia wake Generali Ulimwengu akapokwa hadhi ya uraia wa nchi yake Sasa hizi...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna watu wamekulia na kulelewa mazingira ambayo wamezoea kuwaona wazaxlzi wao wakiamka na kushinda kwenye bao na kupiga porojo, wakicheka wakati wote na kufurahi. Wakitoka hapo wanaenda kwenye...
12 Reactions
19 Replies
1K Views
Baadhi ya maneno kwenye hotuba yake yanadai kuwa kuna mpasuko ndani ya chama ambacho alikuwa anakinanga na akaenda mbali kuashiria kwenye hicho chama wapo wanao muunga mkono ndiyo maana kuna huo...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Serikali imetwangwa barua Waraka na Maaskofu kupinga mkataba wa bandari. Ingawa Baraza hili haliko kisheria kufanya jambo la nchi kama hilo lakini limefanya hivyo baada ya kujiridhisha kuwa...
7 Reactions
146 Replies
7K Views
Salaam. Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni...
0 Reactions
4 Replies
422 Views
Kwako mheshimiwa Mbowe, Miezi miwili iliyopita, ulitutangazia kuwa Kamati kuu iliyokaa mwezi huo iliazimia mambo mengi, miongoni mwayo ni suala la bandari, Maridhiano na suala la ngorongoro...
1 Reactions
0 Replies
439 Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais anayeshughulikia Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze ameanza ziara ya Mkoa wa Mara kwa kutembelea na kuongea na Watumishi...
0 Reactions
3 Replies
765 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…