Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 776
- 924
Waliomwambia JPM kuwa Katiba haileti maendeleo, huenda ni haohao wanaomwambia Samia kuwa Katiba inaweza kuwepo na isifuatwe. Ni aibu kwa viongozi wa CCM walioapa kwa Katiba kutamka maneno haya hadharani. Kimsingi wanapswa kuitetea sana Katiba maana hata Urais wao umetokana na Katiba.
CCM msifiri kwamba mtafanyikiwa kupinga katibampya kwakua hii katiba mbovu inawasaidia kutimiza malengo yenu.
Elimu mika mitatu ya katiba CCM mlikuwa wapi tangu mwaka 1977 kutoa hii elimu? Katiba mpya tutaidai kwanguvu zote kwakua Tanganyia sio mali ya CCM, mbona suala la bandari hatukuoewa elimu ya miaka mitatu kabla ya kumpa mwarabu?.
CCM msifiri kwamba mtafanyikiwa kupinga katibampya kwakua hii katiba mbovu inawasaidia kutimiza malengo yenu.
Elimu mika mitatu ya katiba CCM mlikuwa wapi tangu mwaka 1977 kutoa hii elimu? Katiba mpya tutaidai kwanguvu zote kwakua Tanganyia sio mali ya CCM, mbona suala la bandari hatukuoewa elimu ya miaka mitatu kabla ya kumpa mwarabu?.