Tuhuma hizi za ufisadi wa Karne Tanzania, zinahitaji majibu ya kiserikali

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Nafikiri huu ndio ufisadi mkubwa zaidi kuliko hata skendo ya DP World. Inasikitisha nchi inatafunwa na genge liitwalo ccm hadi huruma.

Kwamjibu wa Jarida la The Global Mail linasema kuwa kikosi kilichoundwa na Rais (Task Force) cha Watu 60 waliokuwa na kazi ya kuhakikisha Kampuni ya Madini ya BARRICK GOLD inafuata sheria na kureport kwa Rais, ilikuwa inalipwa mshahara na serikali halafu, hapo hapo walikuwa wanapokea rushwa ya dola milioni 1.2$. Ambayo ni sawa na pesa za Kitanzania shilingi bilioni tatu (3,000,000,000) kutoka kwa kampuni ya BARRICK ili kuficha madudu ya Kampuni hiyo.

Hebu fikiria Wakati wewe unakosa maji safi na salama, unakosa barabara za kufika kwenu, wakati mwanao shuleni anakosa madawati, na pengine mwanao anaambiwa abebe majivu akayatumie kama ubao huko shuleni. Kisha wanasimama hadharani makada wa ccm wanakwambia ccm itatawala milele.

Halafu nchi ina vyombo vya Ujasusi zaidi ya 6, ambavyo ni JWTZ, TISS, POLISI, TAKUKURU, MAGEREZA, UHAMIAJI, JESHI USU, TANAPA nk. Lakini wizi kama huu uliofanyikia hapo Tarime na Dar hakuna chombo cha ulinzi kilichukua wajibu wake ama kwakutojua yanayotendeka au kwakujua. Hadi miaka mitatu baadae ndio wizi unafichuliwa na Geoffrey Yorke toka nje ya Tanzania.

Ifahamike na kueleweka wazi kwamba, kwenye Task Force hiyo ya watu 60 kulikuwa na uwakilishi kamili kwa 100% wa vyombo vyote vya ulinzi na Usalama wa nchi hii vinavyoonekana na visivyoonekana.

Jisomee mwenyewe habari kwa urefu wote.

Endelea kujipatia Kitabu cha Ujasusi kwa bei halisi ya 80,000/= tu popote ulipo.

Nunua kwa 0715865544 au 0755865544 (Yericko Nyerere)

Ndani ya Dar ni free Delivery, Nje ya Dar nauli ni 8,000/=.
Screenshot_20230915-235551.png
 
Acacia ndio waliokuwa wanatoa hio rushwa, washenzi walikuwa kwenye payroll ya Acacia, hii ni vita ya TISS Kwa TISS hasa TISS wanaotaka DP World ikubalike, kuna washenzi wanafukua makaburi ila hawatashinda hao ni vidagaa tu
Kanisani kumeshachanyikana ila anaetafutwa ni mmoja tu na hatoboi
 
Nafikiri huu ndio ufisadi mkubwa zaidi kuliko hata skendo ya DP World. Inasikitisha nchi inatafunwa na genge liitwalo ccm hadi huruma.

Kwamjibu wa Jarida la The Global Mail linasema kuwa kikosi kilichoundwa na Rais (Task Force) cha Watu 60 waliokuwa na kazi ya kuhakikisha Kampuni ya Madini ya BARRICK GOLD inafuata sheria na kureport kwa Rais, ilikuwa inalipwa mshahara na serikali halafu, hapo hapo walikuwa wanapokea rushwa ya dola milioni 1.2$. Ambayo ni sawa na pesa za Kitanzania shilingi bilioni tatu (3,000,000,000) kutoka kwa kampuni ya BARRICK ili kuficha madudu ya Kampuni hiyo.

Hebu fikiria Wakati wewe unakosa maji safi na salama, unakosa barabara za kufika kwenu, wakati mwanao shuleni anakosa madawati, na pengine mwanao anaambiwa abebe majivu akayatumie kama ubao huko shuleni. Kisha wanasimama hadharani makada wa ccm wanakwambia ccm itatawala milele.

Halafu nchi ina vyombo vya Ujasusi zaidi ya 6, ambavyo ni JWTZ, TISS, POLISI, TAKUKURU, MAGEREZA, UHAMIAJI, JESHI USU, TANAPA nk. Lakini wizi kama huu uliofanyikia hapo Tarime na Dar hakuna chombo cha ulinzi kilichukua wajibu wake ama kwakutojua yanayotendeka au kwakujua. Hadi miaka mitatu baadae ndio wizi unafichuliwa na Geoffrey Yorke toka nje ya Tanzania.

Ifahamike na kueleweka wazi kwamba, kwenye Task Force hiyo ya watu 60 kulikuwa na uwakilishi kamili kwa 100% wa vyombo vyote vya ulinzi na Usalama wa nchi hii vinavyoonekana na visivyoonekana.

Jisomee mwenyewe habari kwa urefu wote.

Endelea kujipatia Kitabu cha Ujasusi kwa bei halisi ya 80,000/= tu popote ulipo.

Nunua kwa 0715865544 au 0755865544 (Yericko Nyerere)

Ndani ya Dar ni free Delivery, Nje ya Dar nauli ni 8,000/=.View attachment 2750579
Wacha ujinga wa kutafuta huruma ya madeski.


Hizo pesa walikuwa wanatowa Barick kulipia ulinzi kwa polisi na kikosi maalum. Hakihusiani kabisa na "task force" ya Rais.


Na hizo habari wanalaumiana wenyewe Barick kwanini walikuwa wanalipa hizo pesa, na email zao zimeonesha wao wenyewe waki justify kuzilipa hizo kwa ulinzi.

Tusidanganyane.

Na hilo limezuka baada ya Watanzania kuwashitaki Barick, huko UK na Canada. Walikuwa wapi kabla ya kushitakiwa?

Wapigaji tu hao sasa wanajitetea, wamepigana wenyewe kwa wenyewe sasa wanachomeana.
 
Wacha ujinga wa kutafuta huruma ya madeski.


Hizo pesa walikuwa wanatowa Barick kulipia ulinzi kwa polisi na kikosi maalum. Hakihusiani kabisa na "task force" ya Rais.


Na hizo habari wanalaumiana wenyewe Barick kwanini walikuwa wanalipa hizo pesa, na email zao zimeonesha wao wenyewe waki justify kuzilipa hizo kwa ulinzi.

Tusidanganyane.

Na hilo limezuka baada ya Watanzania kuwashitaki Barick, huko UK na Canada. Walikuwa wapi kabla ya kushitakiwa?

Wapigaji tu hao sasa wanajitetea, wamepigana wenyewe kwa wenyewe sasa wanachomeana.
Wewe unafikiri BARRICK watashindwa kesi?.
 
Nafikiri huu ndio ufisadi mkubwa zaidi kuliko hata skendo ya DP World. Inasikitisha nchi inatafunwa na genge liitwalo ccm hadi huruma.

Kwamjibu wa Jarida la The Global Mail linasema kuwa kikosi kilichoundwa na Rais (Task Force) cha Watu 60 waliokuwa na kazi ya kuhakikisha Kampuni ya Madini ya BARRICK GOLD inafuata sheria na kureport kwa Rais, ilikuwa inalipwa mshahara na serikali halafu, hapo hapo walikuwa wanapokea rushwa ya dola milioni 1.2$. Ambayo ni sawa na pesa za Kitanzania shilingi bilioni tatu (3,000,000,000) kutoka kwa kampuni ya BARRICK ili kuficha madudu ya Kampuni hiyo.

Hebu fikiria Wakati wewe unakosa maji safi na salama, unakosa barabara za kufika kwenu, wakati mwanao shuleni anakosa madawati, na pengine mwanao anaambiwa abebe majivu akayatumie kama ubao huko shuleni. Kisha wanasimama hadharani makada wa ccm wanakwambia ccm itatawala milele.

Halafu nchi ina vyombo vya Ujasusi zaidi ya 6, ambavyo ni JWTZ, TISS, POLISI, TAKUKURU, MAGEREZA, UHAMIAJI, JESHI USU, TANAPA nk. Lakini wizi kama huu uliofanyikia hapo Tarime na Dar hakuna chombo cha ulinzi kilichukua wajibu wake ama kwakutojua yanayotendeka au kwakujua. Hadi miaka mitatu baadae ndio wizi unafichuliwa na Geoffrey Yorke toka nje ya Tanzania.

Ifahamike na kueleweka wazi kwamba, kwenye Task Force hiyo ya watu 60 kulikuwa na uwakilishi kamili kwa 100% wa vyombo vyote vya ulinzi na Usalama wa nchi hii vinavyoonekana na visivyoonekana.

Jisomee mwenyewe habari kwa urefu wote.

Endelea kujipatia Kitabu cha Ujasusi kwa bei halisi ya 80,000/= tu popote ulipo.

Nunua kwa 0715865544 au 0755865544 (Yericko Nyerere)

Ndani ya Dar ni free Delivery, Nje ya Dar nauli ni 8,000/=.View attachment 2750579
Mkuu,

Sitaki kutetea rushwa, sitaki kumaanisha hizo hela ni ndogo kwa viwango vya Mtanzania wa kawaida.

Lakini, unaposema hiyo ndiyo rushwa kubwa zaidi kutokea kuliko skendo ya DP World, halafu unaongelea 1.2 million USD, mkuu unanipa shaka kama unaelewa rushwa za Tanzania au unaelewa USD 1.2 million ni pesa gani.

Kwangu mimi watu 60 wakigawana 1.2 million USD wanagawana $20,000 each.

That is peanuts, Rugemalira made it rain better than that.
 
Halafu nchi ina vyombo vya Ujasusi zaidi ya 6, ambavyo ni JWTZ, TISS, POLISI, TAKUKURU, MAGEREZA, UHAMIAJI, JESHI USU, TANAPA nk
Mgambo, hujawataja.

Umoja wa vijana, hujawataja

UWT, hujawataja

Umoja wa Wazee (eti wanajiita wazazi?), hujawataja

CHAWA, hujawataja.

Wewe Yericko habari zako huwa sizielewi zinasimamia wapi hasa!

Hata hivyo, mfano wa "RUSHWA KUBWA" uliyoitaja hapo, ni kama hujui maana ya rushwa zinazotembea humo serikalini zilivyo.

Halafu unalinganisha na DP World. DP World haina mfano wa kulinganishwa nayo kwa namna yoyote. DP World yuko kwenye ligi yake pekee, jambo kama hilo halijapata kutokea hapa kwetu tokea uhuru upatikane. Hilo ni tukio la kipekee kabisa.
 
Nafikiri huu ndio ufisadi mkubwa zaidi kuliko hata skendo ya DP World. Inasikitisha nchi inatafunwa na genge liitwalo ccm hadi huruma.

Kwamjibu wa Jarida la The Global Mail linasema kuwa kikosi kilichoundwa na Rais (Task Force) cha Watu 60 waliokuwa na kazi ya kuhakikisha Kampuni ya Madini ya BARRICK GOLD inafuata sheria na kureport kwa Rais, ilikuwa inalipwa mshahara na serikali halafu, hapo hapo walikuwa wanapokea rushwa ya dola milioni 1.2$. Ambayo ni sawa na pesa za Kitanzania shilingi bilioni tatu (3,000,000,000) kutoka kwa kampuni ya BARRICK ili kuficha madudu ya Kampuni hiyo.

Hebu fikiria Wakati wewe unakosa maji safi na salama, unakosa barabara za kufika kwenu, wakati mwanao shuleni anakosa madawati, na pengine mwanao anaambiwa abebe majivu akayatumie kama ubao huko shuleni. Kisha wanasimama hadharani makada wa ccm wanakwambia ccm itatawala milele.

Halafu nchi ina vyombo vya Ujasusi zaidi ya 6, ambavyo ni JWTZ, TISS, POLISI, TAKUKURU, MAGEREZA, UHAMIAJI, JESHI USU, TANAPA nk. Lakini wizi kama huu uliofanyikia hapo Tarime na Dar hakuna chombo cha ulinzi kilichukua wajibu wake ama kwakutojua yanayotendeka au kwakujua. Hadi miaka mitatu baadae ndio wizi unafichuliwa na Geoffrey Yorke toka nje ya Tanzania.

Ifahamike na kueleweka wazi kwamba, kwenye Task Force hiyo ya watu 60 kulikuwa na uwakilishi kamili kwa 100% wa vyombo vyote vya ulinzi na Usalama wa nchi hii vinavyoonekana na visivyoonekana.

Jisomee mwenyewe habari kwa urefu wote.

Endelea kujipatia Kitabu cha Ujasusi kwa bei halisi ya 80,000/= tu popote ulipo.

Nunua kwa 0715865544 au 0755865544 (Yericko Nyerere)

Ndani ya Dar ni free Delivery, Nje ya Dar nauli ni 8,000/=.View attachment 2750579
ccm tena ?!!!

Yericko hebu kuwa "serious" mkuu....

Mbona unatengeneza "propaganda" nyepesi namna hiyo ?!!!

Chama kinahusika nini na tuhuma hizo ulizitoa?!!!

Hata kama ni CHUKI si kuja kiwepesi namna hiyo
 
Wacha ujinga wa kutafuta huruma ya madeski.


Hizo pesa walikuwa wanatowa Barick kulipia ulinzi kwa polisi na kikosi maalum. Hakihusiani kabisa na "task force" ya Rais.


Na hizo habari wanalaumiana wenyewe Barick kwanini walikuwa wanalipa hizo pesa, na email zao zimeonesha wao wenyewe waki justify kuzilipa hizo kwa ulinzi.

Tusidanganyane.

Na hilo limezuka baada ya Watanzania kuwashitaki Barick, huko UK na Canada. Walikuwa wapi kabla ya kushitakiwa?

Wapigaji tu hao sasa wanajitetea, wamepigana wenyewe kwa wenyewe sasa wanachomeana.
 
Mgambo, hujawataja.

Umoja wa vijana, hujawataja

UWT, hujawataja

Umoja wa Wazee (eti wanajiita wazazi?), hujawataja

CHAWA, hujawataja.

Wewe Yericko habari zako huwa sizielewi zinasimamia wapi hasa!

Hata hivyo, mfano wa "RUSHWA KUBWA" uliyoitaja hapo, ni kama hujui maana ya rushwa zinazotembea humo serikalini zilivyo.

Halafu unalinganisha na DP World. DP World haina mfano wa kulinganishwa nayo kwa namna yoyote. DP World yuko kwenye ligi yake pekee, jambo kama hilo halijapata kutokea hapa kwetu tokea uhuru upatikane. Hilo ni tukio la kipekee kabisa.
Kwako kila jambo unalifanya ni siasa koko tu.....

Umesikia ya mchungaji wako Mbarikiwa Mwakipesile?!!!

Dr.D...... Z.......anasema kuwa ni mgonjwa wa afya ya akili....vilimkataa vidonge ,sasa hivi yuko kwenye sindano iitwayo MODECATE wataalamu watatueleza ni ya nini haswa.....

Kumbe ni tatizo lake sugu na huwa anadungiwa nyumbani kwake kila mwezi......

Tumuonee huruma tu
 
Na ndiyo maana yule Profesor Kinyesi alikuja na report ile ya uchafuzi wa mto Mara
 
Ambayo ni sawa na pesa za Kitanzania shilingi bilioni tatu (3,000,000,000) kutoka kwa kampuni ya BARRICK ili kuficha madudu ya Kampuni hiyo.
Si mlisema report ya Prof. Mruma ni "professional rubbish ", sugueni kidonda chenu Sasa kwa chumvi ya Mawe iliyochanganywa na pilipili ya mwendo kasi mpate furaha!
====
Nadhani hizi ni juhudi za kufifisha suala la Bandari...! Hatujasahau.
 
Mbona mnarudia threads za watu kwa paraphrasing, endeleeni kumute kuliko kuja na copy and paste, acheni hizo hii habari ipo humu na aloileta Yuko detailed na katupia kila kitu
Wanakuja na gia ya kuuza kitabu ,yaani unatishiwa ama unaburudishwa ili ununue kitabu utadhani Kama kipato chako kitaongezeka. Na mdude naye akatoa Cha mateso aliyoyapitia. Ngoja namie nikamatwe nije niandike kitabu niliyoyapitia Kama mateka wa kivita
 
Acacia ndio waliokuwa wanatoa hio rushwa, washenzi walikuwa kwenye payroll ya Acacia, hii ni vita ya TISS Kwa TISS hasa TISS wanaotaka DP World ikubalike, kuna washenzi wanafukua makaburi ila hawatashinda hao ni vidagaa tu
kwa hiyo kuna ulaji rushwa wa kutisha ndani ya hiki chombo kiasi cha kufumbia macho ufisadi unaofanywa na genge la kijani
 
Back
Top Bottom