Ili tujiridhishe kama bado wananchi wana Imani na chaguzi za nchi hii, walioko mbarali watupie picha ya misururu ya wapiga kura kwenye vituo vya kupigia kura.
Hiyo pia itatupa picha ya hamasa ya wananchi kwa vyama vinavyoshiriki huo uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.