Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,609
17,801
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...



Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo

images (87).jpeg


Na hii nyingine..
images (86).jpeg
 
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142


Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo

View attachment 2748144

Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Kodi zetu zinatumika kindezi sana.
 
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142


Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo

View attachment 2748144

Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Jiulize Cheo Cha Naibu waziri mkuu Kiko vp kiulinzi protokali,

Kama Unadhani ni Rahisi kujimilikisha ulinzi,

Nenda waite mgambo tu uwaambie umewamiliki wakufuate!!

Anyway, tuandike KATIBA mpya tupate solution.
 
Jiulize Cheo Cha Naibu waziri mkuu Kiko vp kiulinzi protokali,

Kama Unadhani ni Rahisi kujimilikisha ulinzi,

Nenda waite ngambo tu uwaambie umewamiliki wakufuate!!

Anyway, tuandike KATIBA mpya tupate solution.
Waziri mkuu mwenyewe Hana huo ulinzi ana usalama na jeahi hawZidi watano
 
Back
Top Bottom