"Makamba na Tanesco ni Kero ya kitaifa na Madhara yake ni Makubwa zaidi. hayakupaswa kupuuziwa"
Rais Samia amefanya Utenguzi wa Viongozi waandamizi karibu wote pale Mtwara kasoro Mkuu wa Mkoa...
Tunaambiwa wizara ya nishati iliingia mikataba mingi na waarabu
Ajabu hiyo mikataba inafichwa fichwa kwann waifiche kama wana nia njema?
Walioingia mikataba ni January makamba na Maharage wote...
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.
Maana kila kitu walipinga . Na kauli mbiu ikawa...
Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.
Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika uchaguzi ule utabaki katika historia ya wengi sana,utabaki kama ukumbusho wa kilele cha mafanikio ambayo upinzani ulikuwa umefikia katika kuteka mioyo ya...
Habari wanajamvi, napenda kujua eti baada ya Gerson Msigwa kuteuliwa kuwa katibu mkuu wizara ya habari wakati hapo mwanzo alikuwa msemaje wa serikali yote.
Hapa amepanda kicheo au ameshuka kicheo???
Tangu IPTL, RICHIMOND, DOWANS, PAP, Gesi ya Mtwara na migawo yote unayoijua, lakini bado tatizo halijaisha
Huu ni ushaidi wa wazi wa kushindwa kwa ccm kuwasaidia Wananchi.
Nashauri iondolewe...
Mzee Mbowe baada ya kuuza Mashirika ya Umma akapigwa bench kwa Muda baadae akapelekwa TTCL alikostaafia
Waziri Kindamba alivyofeli Ubunge Shujaa Magufuli akamtupa hapo TTCL
Sasa Maharage baada...
Nakushauri kijana biteko usidanganyishwe na nafasi ya unaibu wa waziri sijui nini hivyo ni vyeo visivyokuwa na mbele wa maana kwa TANGANYIKA kwasababu havitambuliki .
Tunapata taarfa kuwa kuna...
Hapo ndio ujue januari mambo yake ni ya kisanii na fix nyingi. Leo ukienda huku jf habari kuhusu yeye na bodi na management aliyoweka tanesco kutumbuliwa kwa kushindwa kuwapatia wananchi umeme...
Serikali isyoijali hali za wananchi wake ktk huduma mbalimbali kama umeme kukatika Kila mara,dawa hospitali tabu,mabilioni yanaibwa na watendaji wa serikali na serikali haichukiwi hatua ya...
Salaam...
Imetokea Mara nyingi Sana kuona takukuru wanapewa maagizo ya kuchunguza jinsi ufisadi ulivyofanyika
Sasa najiuliza inamaaana hao takukuru ni Hadi wapewe maagizo ndo wachunguze. Ina...
CHAWA anachoangalia ni maslahi ya wakati ULIOPO hawaangaliagi nyuma
Soon Makamba Jr ataanza kuvuna Kejeli na dharau kutoka kwa CHAWA wake aliowaacha pale Nishati
CHAWA ni CHAWA tu dadeki 😂...
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa...
Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia...
Habari wakuu
Naomba msaada wa kufahamu wakuu wa taasisi za serikali hasa mashirika ya umma ambao wamedumu kwenye nafasi zao katika taasisi hizo hizo kwa muda mrefu walau miaka mitano bila...
Je Tundu Lisu Ameenda kutoa ripoti na mrejesho Kwa Wanaomfadhili? Huyu bwana huwa anakuja Tanzania kuchochea chuki na kisha kuondoka, akirudi tena anakuja tena kuchochea vurugu.
Je, Serikali...
Habari Wakuu!
Kwanza ijue nchi yako, waelewe Watu wako. Ifahamu jamii yako.
Sisi ni jamii ambayo mtu ukifanikiwa utaitwa ni Freemasonry,
Tupo kwenye jamii ambayo ukiwa na utajiri unaitwa Fisadi...
Hili ni darasa limejengwa mwaka Jana na mabilioni ya Rais Samia, halijamaliza hata mwaka!
Mkandarasi amepewa cheti Cha ubora na uaminifu! Leo hali yake ipo hivi mwaka haujaisha. Kweli tuseme tuna...
Ni awamu na awamu zimepita sasa na wabunge kadhaa kwa awamu tofauti ili wameshidwa kutegua kkitendawili cha g28.
Hapa karibuni kulikuwa na uchaguzi mdogo wa ubunge na tayari amepatikana ,Ahadi...