Chadema ndio chama kikuu cha upinzani,but they are abdicating their responsibility. Ni kazi yao kuwakaribisha watu wote wanaoipinga serikali. Sasa inawakuwaje Sauti ya Watanganyika inawataka...
Ndugu zangu nadhani wengi mtakuwa mmepumzika. Lakini kwa kuwa nimewekwa katika kundi hili maalum baada ya kutokea mjadala kunihusu, naomba nianzie kujibu kilichoandikwa JF na mengine yatafuata...
Kwanza nianze kwa kuwapa starter moja muhimu sana maana Watanzania tumeumbwa kukumbuka ya leo, ya jana tunayasahau kirahisi sana.
Mnakumbuka Rais Samia alitangaza kuifungua nchi na watu wote...
Haka kajamaa kaliingia Kwa hia ya kurejesha usalama baada ya Mwenzie kaliuempindua Kushindwa.
Kajamaa kalisema ndani ya miezi 4 katarejesha Usalama lakini mwaka Sasa imeisha usalama ni shida ...
"Kwa kweli sikujua kama hizi fedha zina wingu zito juu yake. Mimi nilipokea nikiamini kuwa ni msaada kwa kanisa kama ilivyo misaada mingine kutoka kwa waumini wenye nia ya kuliendeleza...
Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya...
Wakuu Mambo mengi muda ni mchache
Mnamo August 11 tulielezwa na vyombo rasmi kwamba Rais Samia amemteua Balozi meja Jenerali Makanzo kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri.
Taarifa iliongeza kuwa...
Huu ndio ukweli ambao nimekuwa nausema siku zote kwamba hao wanaojiita kudai sijui Katiba Mpya sijui kupiga picha za shida za watu lengo.lao hasa ni kushika madaraka Ili wapate bakshishi...
Kuna maneno kuwa vyama vya upinzani nchini vilianzishwa na vinaongozwa na watu ambao ni Usalama wa Taifa ili kuwafurahishwa wafadhili na kuwaaminisha kuwa Tanzania kuna demokrasia. Watu wanadai...
Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini , Suleiman Kumchaya, ameingia kwenye kashifa nzito ya kumtapeli mama mmoja fedha taslimu kiasi cha Sh. milioni 50.
Kumchaya ambaye alikuwa na uhusiano wa...
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana...
Jeshi la Polisi nchini limezindua Mfumo wa kidijitali wa huduma za kifedha uitwao (URA MOBILE MONEY) utakaotumika na Viongozi pia Wanachama wa URA SACCOS katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Jijini...
Hii ndiyo hali ilivyo katika Stendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika...
Ndg Wapambanaji, Wadau, Wapinga uzarmu na ukandamizaji wa kizazi cha leo na kesho, Wazalendo wa kweli, Wapinga rushwa na dhurma, Tulio kosa Ajira kwa sera mbovu za Taifa hili zuri, Tulio kosa...
Katibu UVCCM azuia mkutano wa vijana uliokusudia kumpongeza Rais
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Ramadhani Omary amezuia mkutano wa chama hicho wenye lengo la...
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.
Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote...
Tangu juzi nimekuwa nikituma hela kwenda kwa wadau wangu kutokea mpesa na tigo pesa kwenda airtel money. Cha ajabu hela upande wangu imekatwa, lskini huko iendako kupitia airtel money hela...
Nakumbuka huko nyuma barabara za mitaa zilipokuwa zinatengenezwa greda ikishachimba zinakuja lori zinamwaga kifusi kutwa,Hadi kazi kukamilika unakuta wiki nzima vifaa vya kazi vipo hapo na...
Hata sakata la umeme wanajua ni mchongo tu wa kihuni.
Wanajua fika huyu mama hana sauti ya kuendesha nchi
Amedhibitiwa na wahuni.
Watanzania wote hawamtaki na wanajua fika hafai ila basi tu.