Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siyo rahisi kuwatumia Kadi mmoja mmoja hivyo nawaomba mzipokee tu salamu zangu za Pasaka kupitia Uzi huu Itikadi ni Njia tu kutafuta maendeleo kwenye jamii lakini sisi ni Wamoja Mungu wa...
1 Reactions
1 Replies
348 Views
Ni katika mikakati ya Chama hicho kujiweka sawa kwa ajili ya chaguzi zijazo Taarifa kamili hii hapa
5 Reactions
7 Replies
754 Views
Kumekuwa na wimbi la walimu kulawiti watoto na kubaka kitendo ambacho huwa kinaleta picha mbaya zaid kuliko hata wabakaji wa mtaani! Shuleni tunategemea malezi yawe yenye umakini. Na ya...
0 Reactions
9 Replies
625 Views
Kuna zoezi linaendelea nchi nzima kwa wastaafu kuripoti ofisi za NHIF zilizo karibu yao ili wabadilishiwe kadi zao za bima ya afya. Nilipokea taarifa hii juzi kabla hata ya ripoti ya CAG kuhusu...
1 Reactions
1 Replies
971 Views
TBC wamekuwa reporter kwa muda mrefu. Madhara yake kila wanachoambiwa na viongozi wa nakipeleka hewani kama walivyoambiwa hakuna kuongeza wala kupunguza. Hakuna analysis wanaoruhusiwa kufanya...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Umeelewaje katuni hii Mdau?
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
32 Reactions
535 Replies
22K Views
Sifurahishwi na ubadhirifu unaoonyeshwa kwenye ripoti za CAG wala siutetei kwa namna yoyote ile Lakini nataka kusema tuache siasa na unafiki, ama hata ripoti za CAG zinaweza kuwa zinatolewa...
13 Reactions
50 Replies
4K Views
ACT-Wazalendo wataka uchunguzi ufanyike. Chama Cha ACT Wazalendo, Tunalitaka Jeshi la Polisi Kuhakikisha, Linawakamata na Kuwafikisha Katika Vyombo Vya Sheria, Wote Waliohusika na Kifo Cha Katibu...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mbunge wa Simanjiro Mheshimiwa Christopher Ole Sendeka akizungumza na ayo kwa njia ya simu amesema ya kuwa kujibu mapigo kwa risasi kutumia bastola yake kumemsaidia kuokoa...
7 Reactions
103 Replies
6K Views
Wakuu, Chaguzi zimekaribia kuanza na tayari Wabunge wetu wameshaanza kurejea majimboni kushirikiana na wapiga kura wao kwenye masuala mbalimbali. Binafsi naona hizi ni sarakasi tu na uzi huu...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari ya Jumamosi. Ninayoheshima kubwa kukuandikia mama kukuambiatu kwa ufupi sana. Mama wewe haya yanayofanyika unayaona na unajua mengi kuliko sisi raiya wako. Hilo lipo wazi Ninachoweza...
3 Reactions
15 Replies
876 Views
Mzuka wanajamvi! Kati ya marais wanyenyekevu, honest, waelewa, wawazi na wenye hekima ni rais wetu wa Jamhuri ya muungano Tanzania Dkt Samia Hassan. Nampongeza kwa kuwa muwazi na kuweka wazi...
11 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwa sauti ya unyenyekevu kabisa niiombe serikali iwe na huruma kwa wananchi wake. Nia ya kuanzishwa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na bima ya afya ya taifa ni njema. Ila kinachoendelea...
3 Reactions
11 Replies
533 Views
Kwa dhati kabisa nampongeza mfuasi wa Mbowe, ndugu Yeriko kwa kutambua juhudi zinazofanya na serikali ya CCM chini ya Mama Samia Hassan Suluhu. Kaandika hivi kwenye ukurasa wake wa Facebook...
9 Reactions
65 Replies
5K Views
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Katazo la kutumia Kuni na Mkaa kuanzia January linahusu Taasisi zinazolisha zaidi ya Watu 100 na siyo Watu wote. Awali Waziri wa Mazingira Dr Jaffo...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Salaam,Shalom. Nadhani swali linajieleza. Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini? Ikiwa Ina dini, dini Gani? Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara? Karibuni🙏
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Napongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar KULAANI waliojichukilia sheria mikononi wakidai kupiga marufuku kula adharani Ningependa pia yule mtalii aliyetuzwa fedha arejeshewe fedha zake na wale...
9 Reactions
12 Replies
1K Views
Taasisi zetu hasa mashule na magereza zimejiandaaje na hili katazo?
9 Reactions
49 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…