ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Haka kajamaa kaliingia Kwa hia ya kurejesha usalama baada ya Mwenzie kaliuempindua Kushindwa.
Kajamaa kalisema ndani ya miezi 4 katarejesha Usalama lakini mwaka Sasa imeisha usalama ni shida , wanajeshi wanauwawa na wanamgambo na juzi kati kameponea mapinduzi ya Kijeshi.
Baada ya ku survive mapinduzi Sasa kamesema hakuna Cha uchaguzi na usalama ndio kipaombele 😁😁
View: https://www.instagram.com/p/Cxzz1UrtNFT/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Kama nilivyosema hapo awali hakuna Cha maana watu wa Burkinabe watapata zaidi ya kuambulia propaganda na maigizo sana sana wajiandae Kwa kuhaso.
Pili haka kataondolewa kama kalivyoingia maana maigizo yamezidi.
Kajamaa kalisema ndani ya miezi 4 katarejesha Usalama lakini mwaka Sasa imeisha usalama ni shida , wanajeshi wanauwawa na wanamgambo na juzi kati kameponea mapinduzi ya Kijeshi.
Baada ya ku survive mapinduzi Sasa kamesema hakuna Cha uchaguzi na usalama ndio kipaombele 😁😁
View: https://www.instagram.com/p/Cxzz1UrtNFT/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Kama nilivyosema hapo awali hakuna Cha maana watu wa Burkinabe watapata zaidi ya kuambulia propaganda na maigizo sana sana wajiandae Kwa kuhaso.
Pili haka kataondolewa kama kalivyoingia maana maigizo yamezidi.