Nchi inaliwa bila uoga, Tsh bil.661 zimepigwa na wajanja kwa stakabadhi za kughushi

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.

Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote kwani HAKUNA anayekemea wala Kuchukua Hatua.

JUMLA ya BIL. 661 ZIMEPIGWA kwa kutumia NYARAKA za KUGUSHI Fedha ambazo ni KODI, MATOZO wanayokatwa MASIKINI wa Nchi hii pia MIKOPO toka NJE itakayolipwa na Watoto wa hao hao MASIKINI
TANZANIA kweli ni Shamba la BIBI.Wajanja wameamua KULA kwa UREFU wa KAMBA zao.

Nawataka Jumamosi TULIVU.

20230930_072143.jpg
 
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.
Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote kwani HAKUNA anayekemea wala Kuchukua Hatua.
JUMLA ya BIL.661 ZIMEPIGWA kwa kutumia NYARAKA za KUGUSHI Fedha ambazo ni KODI , MATOZO wanayokatwa MASIKINI wa Nchi hii pia MIKOPO toka NJE itakayolipwa na Watoto wa hao hao MASIKINI
TANZANIA kweli ni Shamba la BIBI.Wajanja wameamua KULA kwa UREFU wa KAMBA zao.
Nawataka Jumamosi TULIVU.View attachment 2766848
Leta chanzo cha habari hii.
 
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.
Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote kwani HAKUNA anayekemea wala Kuchukua Hatua.
JUMLA ya BIL.661 ZIMEPIGWA kwa kutumia NYARAKA za KUGUSHI Fedha ambazo ni KODI , MATOZO wanayokatwa MASIKINI wa Nchi hii pia MIKOPO toka NJE itakayolipwa na Watoto wa hao hao MASIKINI
TANZANIA kweli ni Shamba la BIBI.Wajanja wameamua KULA kwa UREFU wa KAMBA zao.
Nawataka Jumamosi TULIVU.View attachment 2766848
 

Attachments

  • 3CB9F249-E459-4A85-911B-7C4C93F8F1D6.jpeg
    3CB9F249-E459-4A85-911B-7C4C93F8F1D6.jpeg
    31.4 KB · Views: 1
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.
Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote kwani HAKUNA anayekemea wala Kuchukua Hatua.
JUMLA ya BIL.661 ZIMEPIGWA kwa kutumia NYARAKA za KUGUSHI Fedha ambazo ni KODI , MATOZO wanayokatwa MASIKINI wa Nchi hii pia MIKOPO toka NJE itakayolipwa na Watoto wa hao hao MASIKINI
TANZANIA kweli ni Shamba la BIBI.Wajanja wameamua KULA kwa UREFU wa KAMBA zao.
Nawataka Jumamosi TULIVU.View attachment 2766848
Hizi taarifa huwa naazita ni za kufurahisha wanaoandika either PPRA au CAG huwa wanakurupukaga ndio maana PCCB huwa anashindwa kupeleka wahusika mahakamani
 
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.
Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote kwani HAKUNA anayekemea wala Kuchukua Hatua.
JUMLA ya BIL.661 ZIMEPIGWA kwa kutumia NYARAKA za KUGUSHI Fedha ambazo ni KODI , MATOZO wanayokatwa MASIKINI wa Nchi hii pia MIKOPO toka NJE itakayolipwa na Watoto wa hao hao MASIKINI
TANZANIA kweli ni Shamba la BIBI.Wajanja wameamua KULA kwa UREFU wa KAMBA zao.
Nawataka Jumamosi TULIVU.View attachment 2766848
Chanzo cha habari
1754963988.jpg
 
Wewe pia ni part ya tatizo Yaani kwa wewe kuwaona wezi na vibaka ni wajanja badala ya watu wa hatari waapuzi na walafi inaonekana tofauti yako na wao ni opportunity ya kuiba
 
Sasa hata kama kuna ukweli hilo karatasi ulilobandika hapa si sawa na la kufungia vitumbua nani atakuamini na hii habari yako isiyo na kichwa wala miguu?
 
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.
Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote kwani HAKUNA anayekemea wala Kuchukua Hatua.
JUMLA ya BIL.661 ZIMEPIGWA kwa kutumia NYARAKA za KUGUSHI Fedha ambazo ni KODI , MATOZO wanayokatwa MASIKINI wa Nchi hii pia MIKOPO toka NJE itakayolipwa na Watoto wa hao hao MASIKINI
TANZANIA kweli ni Shamba la BIBI.Wajanja wameamua KULA kwa UREFU wa KAMBA zao.
Nawataka Jumamosi TULIVU.View attachment 2766848
Andika vizuri mbona unaandika.kama mnasimuliana umbea?
 
Hizi taarifa huwa naazita ni za kufurahisha wanaoandika either PPRA au CAG huwa wanakurupukaga ndio maana PCCB huwa anashindwa kupeleka wahusika mahakamani
Harafu namna wanavyoeleza zimepigwa ni indirect mfano wanaodai kama lowest bidder angepewa tender eti pesa zingeokolewa kadhaa kama hizo hapo Sasa waandisha wanadakia tuu bila kujua scenario ilivyo.

Technically hii ni ngumu kusema ni wizi.
 
Sasa hata kama kuna ukweli hilo karatasi ulilobandika hapa si sawa na la kufungia vitumbua nani atakuamini na hii habari yako isiyo na kichwa wala miguu?
Ni chizi pekee atakayeamini kwamba hii nchi haina Upigaji..., Upigaji na walamba Asali ni kama Pete ni Kidole...; Hawa jamaa ni Makupe yaliyokubuhu
 
Hakika Wajanja Wameamua.Pamoja na Vyombo vilivyopo vya Kudhibiti Wizi lakini WAJANJA bado Wanajipigia MABILIONI ya FEDHA za UMMA.
Kuna WAJANJA wamejipigia MABILIONI ya Shillingi bila UOGA wowote kwani HAKUNA anayekemea wala Kuchukua Hatua.
JUMLA ya BIL.661 ZIMEPIGWA kwa kutumia NYARAKA za KUGUSHI Fedha ambazo ni KODI , MATOZO wanayokatwa MASIKINI wa Nchi hii pia MIKOPO toka NJE itakayolipwa na Watoto wa hao hao MASIKINI
TANZANIA kweli ni Shamba la BIBI.Wajanja wameamua KULA kwa UREFU wa KAMBA zao.
Nawataka Jumamosi TULIVU.View attachment 2766848
Na bado waliopiga wako kazini hawana hofu .. Kweli nimeamini bi mkubwa anaupiga mwingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni chizi pekee atakayeamini kwamba hii nchi haina Upigaji..., Upigaji na walamba Asali ni kama Pete ni Kidole...; Hawa jamaa ni Makupe yaliyokubuhu
Mkiwa mnaongea bila ushahidi mnaonekana kama watu waliochanganyikiwa na maisha tu
Weka facts mezani tutaona nguvu ya umma na hatimae serikali itasukumwa kachukua hatua.
 
Harafu namna wanavyoeleza zimepigwa ni indirect mfano wanaodai kama lowest bidder angepewa tender eti pesa zingeokolewa kadhaa kama hizo hapo Sasa waandisha wanadakia tuu bila kujua scenario ilivyo.

Technically hii ni ngumu kusema ni wizi.
Tatizo ni kubwa sana ,wanafanya audit za issue za procurement pale CAG na PPRA ya maswi sio wanataaluma ya ugavi.Imagine leo hii PPRA ya maswi kutumia Restricted tendering imekuwa ni hoja hata kama unazo sababu za msingi
 
Back
Top Bottom