Nyanswe Nsame
Senior Member
- Jul 9, 2019
- 158
- 175
Katibu UVCCM azuia mkutano wa vijana uliokusudia kumpongeza Rais
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Ramadhani Omary amezuia mkutano wa chama hicho wenye lengo la kuipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongizwa na Mheshimiwa Rais Samua Suluhu Hassan ambapo akuweza kutoa sababu hasa za kuweza kuzuia mkutano huo.
Kwa mjibu wa aliyekuwa Mwenyekiti wa vijana wa Chama hicho wilaya ya Nyamagana na mratibu wa mkutano huo, Boniphace Zephaniah, amesema wametii maelekezo ya katibu huyo na kueleza watayahoji kwa mamlaka yake ya uteuzi.
"Sisi tumetii maelekezo yake na mkutano wetu ulitarajia kufanyika leo lakini unezuiliwa bila sababu za msingi zaidi tutahoji kwa mamlaka yake ya uteuzi na lengo letu halikuwa na nia mbaya zaidi ya kumpongeza mheshimiwa Rais," amesema Zephaniah.
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Ramadhani Omary amezuia mkutano wa chama hicho wenye lengo la kuipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongizwa na Mheshimiwa Rais Samua Suluhu Hassan ambapo akuweza kutoa sababu hasa za kuweza kuzuia mkutano huo.
Kwa mjibu wa aliyekuwa Mwenyekiti wa vijana wa Chama hicho wilaya ya Nyamagana na mratibu wa mkutano huo, Boniphace Zephaniah, amesema wametii maelekezo ya katibu huyo na kueleza watayahoji kwa mamlaka yake ya uteuzi.
"Sisi tumetii maelekezo yake na mkutano wetu ulitarajia kufanyika leo lakini unezuiliwa bila sababu za msingi zaidi tutahoji kwa mamlaka yake ya uteuzi na lengo letu halikuwa na nia mbaya zaidi ya kumpongeza mheshimiwa Rais," amesema Zephaniah.