Mkoa wa Arusha ni mkoa wa kitalii, unapokea maelfu ya watalii kutoka Ulaya na Marekani. Ni vyema basi, kutokana na mabadiliko ya kiutawala, na watalii huwa hawapendi rabsha, wamekuja kupumzika na...
Hawa watu sijui ni wanamdharau mama au ni nini hiki?
Yani inawezekanaje usimjue mdeni wako?
--
Ukaguzi wa CAG umebaini TTCL ina madeni makubwa ya TZS bilioni 21, lakini uongozi haukuweza kutambua...
Toka Rais Samia ameingia madarakani amekuwa na mwendo wa panga pangua nyingi kutoka kwenye Chama hadi kwenye serikali yake, Panga pangua zake amekua akizifanya kwa mantiki ya kufanya maboresho na...
Magazeti yanayoheshimika hapa Tanzania yote yamekuja na habari tajwa hapo juu. Hii inahitimisha ubishi wa jana ya kuwa Zitto ameshindwa kutaja majina ya wahujumu uchumi hao hapo jana Mwembeyanga...
Ndugu zangu Watanzania, uchapakazi wa Mheshimiwa Makonda, ujasiri wake, uzalendo wake, kujitoa kwake kutetea wanyonge, ushupavu na umadhubuti wake umewakosha na kukonga mioyo ya Watanzania...
Utakubaliana na mimi kuwa CCM inayumba sana kwa sasa kutokana na nafasi ya katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo taifa. Kila aliyeshika hiyo nafasi, kama hakupwaya basi aliishia kuwagawa wanaCCM...
Majina ya mmoja wao atakaye teuliwa kuwa katibu mwenezi yametangazwa lakini laa! Orodha iliyotolewa inasikitisha sana kwani haifsnani na CCM tuijuayo, hii imepwaya haina wanasiasa.
Bila kuwa...
Huyu jamaa anafanya Micromanagement, ukiwa na kiongozi mwenye hizi Character, ngumu kutoboa.
Nilidhan Biteko ni akili kubwa angedeal na tatizo once and for all kutatua tatizo la umeme.
Tangu...
Mshirika wa karibu na Waziri wa zamani wa mipango madam Judith Tuluka ameteuliwa na Rais Felix Tchisekedi kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Mwanamke Nchini DRC.
Madam Tuluka ataunga Baraza la Mawaziri...
Ndugu zangu nimeona nianze kwa kuweka mstari huu wa Biblia kwa kuwa Magufuli anamweshimu Mungu na kwa kinywa chake amekuwa akikiri kuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mimi pia nimependa niendelee...
"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
Hebu msome hapa halafu Tafakari
Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara...
Mkurugenzi wa Bar Maarufu ya Kipong ya jijini Arusha ,John Casian bado anashikiliwa na polisi Arusha, kwa kosa la kutengeneza na kuuza vinywaji feki aina ya Konyagi kinyume cha sheria huku kimada...
Alipokuwa waziri Singida United iling'ara, alipotolewa uwaziri Singida ilishuka daraja, ikapigwa faini kwa kukosa hela hadi ikaenda daraja la 2 la 3 au la 4 timu ilifilisika, mara ikaibuka timu...
Kwenye masuala ya management, tunasema mafanikio yoyote yanategemea aina watu ulio nao. People are the hub of the success wheel.
Aina ya watu ulio nao ndio wanaamua kampuni/taasisi/serikali...
Tunakumbuka miaka mitano iliyopita mfalme wa Morocco alitoa pesa ylza kujenga msikitini na pia uwanja wa mpira pale Dodoma. Zikaandaliwa ramani za uwanja huo na Rais Magufuli akapelekewa ramani...
Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi...
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa...
Msemaji wa CCM ametoa kauli hiyo wakati akiwajibu viongozi wa Chadema waliojifungia siku 3 wakijadiliana kuanzishwa kwa UKUTA.
Amesema serikali ya Magufuli haitarudi nyuma kwenye mapambano dhidi...