Jaribu kutafakari kwanini Fulani anaweza na wewe huwezi ingawa umeenda shule
Tafakari kwanini kutwa nzima unabuni mbinu za kumsifia Sifia mwanamme mwenzio au mwanamke mwenzako Badala ya kumsifia...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Bw. Elikana Balandya awasimamishe kazi watumishi wawili wa Jiji la Mwanza huku akiagiza Kamishna Msaidizi wa Ardhi mkoa huo...
Kina Mwabukusi na wenzake wametokea na inayoaminika kuwa ni agenda muarobaini wa matatizo yetu ya muda mrefu kama nchi:
"Kupambana na maadui zetu kwa vitendo."
Haipo siri kuwa hii itatuvusha, na...
Huu Ndio Ukweli' kwamba Chadema ni Chama Cha Vijana ambayo Ndio Wengi kwenye population ya Tanzania
Hata CCM wanafeli sana kwenye mambo ya Vijana kwa sababu huwa hawaishirikishi Chadema Ndio...
Uligonga penyewe na ndipo ulipostahili kufutiwa dhambi zako, lakini ulifanya kitendo cha kizembe na cha woga kuomba radhi eti "nimekosa mimi nimekosa sana".
Umeishia kuonekana mtu wa hovyo na...
Kauli Mbiu Kuu Ya Kongamano Hilo.
Wanawake Wanaweza,Waliweza Na Wanaendelea Kuweza.
Mwezeshaji:Ndg.Humphrey Polepole
Hakika Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimepata...
Mama, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wewe ni alama ya uongozi kwa vitendo ndani ya Taifa letu, wengi sana watakubaliana nami katika hili akiwemo ndugu yangu Jumbe Brown...
Wamejitokeza WENGINE kuipinga serikali ya awamu ya 6 kwa kuchukua uamuzi wa kukaa mezani na DP WORLD wa Dubai.
Imekuwa ni "bandika bandua"....wakitoka hawa ,wanaingia wengine.
Tujiandae kuwaona...
Upi mtazamo wako kwa yale yanayoendelea hapa nchini? Je, endapo itamlazimu kiongozi wa serikali kuondoka ipi itakuwa njia sahihi?
Ndani ya miaka hii miwili watanzania wameshuhudia na kupitia...
Idiot - asiyependa kufikiri, mbinafsi na asiyetamani wengine wafanikiwe bali kila kitu anatamani ajilimbikizie yeye tu.
Tribalistic- asiyefikiri nje ya box, anayeamini kwenye kundi dogo mawazo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kushughulikia changamoto za Walimu nchini hatua kwa hatua ikiwa ni pamoja na kuwapandisha Madaraja na...
Kila mara wapambe, mawaziri, Makatibu na hata wakuu wa mikoa na wilaya wanaposimama kuhutubia tunaambiwa Kwa miaka 2 (2021-2023) ya Rais Samia Mambo mengi yefanywa Kwa ufanisi na maendeleo Makubwa...
Nimeshuhudia jamaa waki-bet kuwa ndani ya siku 100 kutoka Mosi Oktoba, yatafanyika mabadiliko ya viongozi kutoka Wizara moja kwenda nyingine, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya.
Endapo atafanya...
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Mimi pia ni mdau wa Ile Kanuni isemayo kuwa Watu wote ni Sawa Mbele ya sheria, ikiwa ni nguzo muhimu kwenye Rule of law. Yaani kila mtu anapaswa kuwajibika Mbele...
#MdudeNyagali anaripoti kwamba Kongamano lao kule Mwanza limezuiwa na Polisi, CCM wameshindwa kila idara ndio sababu ya kutotoa pumzi kwa yeyote mpenda mabadiliko azungumze.
Nina hakika hata...
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi Bwawa la Kidunda litakalojengwa mkoani Morogoro na kugharimu sh bilioni...
Dk Rioba ataja fursa kongamano la mashirika ya utangazaji ya umma
Dhima la kongamano ni vyombo vya utangazaji vya umma kwenda na mabadiliko ya kidijitali na TEHAMA ili viende na wakati au la...
1. Mzee Kassim Majaliwa ni kiongozi ambaye hana tuhuma za rushwa ndani ya chama cha mapinduzi.
2. Ni kiongozi anayetambua Tanzania ina wimbi la ufukara jambo linalopelekea yeye kuogopa...
Rais Samia amefungulia mikutano ya hadhara, na katika majiji ambayo Chadema wanajiwinda kuyadhibiti ni Mwanza, Arusha, Mbeya na Dar es salaam. Wanatafuta ajenda nzito za kutikisa na kuwashika...
Pengine labda ni ujinga wangu. Labda ni mimi tu ambaye sijui. Kama ni hivyo, basi natumaini mtakuwepo mnaojua na hamtosita kunijuza.
Hivi viongozi wa Tanzania wanaruhusiwa kukiuka sheria za...