Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,496
- 37,789
Kila mara wapambe, mawaziri, Makatibu na hata wakuu wa mikoa na wilaya wanaposimama kuhutubia tunaambiwa Kwa miaka 2 (2021-2023) ya Rais Samia Mambo mengi yefanywa Kwa ufanisi na maendeleo Makubwa kuliko miaka 5 ya Magufuli. Tunaojua Uchawa ulianzishwa enzi za Magufuli na Samia kaona wanafaa akaruhusu wasajiliwe rasmi. Kwa hiyo haya nayo ni sehemu ya Maendeleo Kwa miaka hii 2 zaidi ya miaka 5 ya nyuma.
Kwa hiyo tunaomba mnapotoa takwimu za Mambo ya kujibunia toeni na Idadi kubwa ya Machawa wiozalishwa awamu ya sita Hadi kufikia hatua ya kuunda NGO (Chawa wa Mama).
Kwa hiyo tunaomba mnapotoa takwimu za Mambo ya kujibunia toeni na Idadi kubwa ya Machawa wiozalishwa awamu ya sita Hadi kufikia hatua ya kuunda NGO (Chawa wa Mama).