johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,073
Huu Ndio Ukweli' kwamba Chadema ni Chama Cha Vijana ambayo Ndio Wengi kwenye population ya Tanzania
Hata CCM wanafeli sana kwenye mambo ya Vijana kwa sababu huwa hawaishirikishi Chadema Ndio unaona inaamua kuwachukua akina Lulandala na Katambi
Wananchi Wana Imani sana na Dr Slaa na Mwabukusi Lakini Peke yao bila Chadema hawatafanya chochote
Mwalimu Nyerere alifanya Uwekezaji mkubwa sana wa malezi ya Vijana wa Kizazi Kipya kwenye ubongo wa Freeman Mbowe Lakini yule Shujaa Magufuli akaivunja Club Billicanas bila kujua ilikuwa pale kwa manufaa ya taifa
Najua akina Dr Slaa, Mdude, Mbatia, Askofu Mwamakula, Dr BAK na wengine Wengi mnapita humu huu ni Ujumbe wa Kuwatakia Sabato Njema
Mungu akamwambia Mussa akasema " Mimi ndimi Bwana Mungu Wako Usiwe na miungu mingine ila mimi"
Nawatakia Sabato Njema 😀
Hata CCM wanafeli sana kwenye mambo ya Vijana kwa sababu huwa hawaishirikishi Chadema Ndio unaona inaamua kuwachukua akina Lulandala na Katambi
Wananchi Wana Imani sana na Dr Slaa na Mwabukusi Lakini Peke yao bila Chadema hawatafanya chochote
Mwalimu Nyerere alifanya Uwekezaji mkubwa sana wa malezi ya Vijana wa Kizazi Kipya kwenye ubongo wa Freeman Mbowe Lakini yule Shujaa Magufuli akaivunja Club Billicanas bila kujua ilikuwa pale kwa manufaa ya taifa
Najua akina Dr Slaa, Mdude, Mbatia, Askofu Mwamakula, Dr BAK na wengine Wengi mnapita humu huu ni Ujumbe wa Kuwatakia Sabato Njema
Mungu akamwambia Mussa akasema " Mimi ndimi Bwana Mungu Wako Usiwe na miungu mingine ila mimi"
Nawatakia Sabato Njema 😀