Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri aliyepewa dhamana na rais kupitia kwa wananchi wa jimbo la kilosa alimtukana mtangazaji wa wako redio wakati alimpomhoji maswala ya DECI. Alimtukana stupid na shenzi live redioni wakati...
0 Reactions
66 Replies
9K Views
Opposition needs money to reorganise - Chipaka By Nasser Kigwangallah 18th June 2009 The Tanzania Democratic Alliance (TADEA) national chairman, John Lifa Chipaka, has...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za hapa Jamvini wanzengu nimekuwa mgeni kwa mara ya kwanza leo nimeingia hapa na nimejikuta naingia baada ya kupewa ushauri na jamaa zangu hapa mjini kuwa kama unataka taarifa za uhakika...
0 Reactions
54 Replies
10K Views
In marketing branding reigns supreme. Branding is one of the most effective marketing tool (not the only one) used in business for marketing and selling products. Branding is first and foremost...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ONE of the greatest puzzles in my life is the Nobel Committee pretending that the late Julius K. Nyerere, founding President of the United Republic of Tanzania, never existed. I do not have...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Katoto ka nzi kaliko huko Busanda kametupenyezea taarifa ifuatayo:
0 Reactions
74 Replies
15K Views
Asubuhi hii mjini Dodoma, Mkulo amekutana na waandishi wa habari na kutokana na yale aliyoyaeleza kuna uwezekano mdogo wa waliopanda Deci kulipwa fedha zai zote. Kwa mujibu wa maelezo ya Mkulo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Twelve political parties operating in Zanzibar yesterday revived their ‘alliance’ vowing to win the next Zanzibar general elections by strengthening the partnership including placing one candidate...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI NA MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI MHESHIMIWA HAMAD RASHID MOHAMED (MB) WIZARA YA FEDHA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2008/2009...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi, Heshima mbele. Naomba niulize na ninaomba majibu maridhawa ili mimi na watanzania wengine tujifunze kupitia JF. Swali langu ni "nini hasa maana ya rais kuhutumia/kuongea na wazee wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wana jf nimeamua kupost hili jambo baada ya kuona mpiganaji anataka kua soko la mkonge kwa kulinda biashara ya mpiganaji mwenzie. "Mh kimaro amemuuliza swali PM Pinda kuwa serekali imelazimisha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
By John Blake CNN (CNN) -- At first, the children's eyes light up with anticipation. Christmas comes early. Tanzanian students celebrate receiving Books for Africa textbooks. Then...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tupande mbegu za uzalendo Na Padri Privatus Karugendo Mnamo mwaka 1976, Kule Soweto, Afrika ya kusini, maelfu ya watoto weusi wa shule waliingia mitaani na kufanya maandamano ya zaidi ya nusu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Pinda katangaza hivi punde mjini Dodoma kuwa baada ya kelele nyingi za wananchi, viongozi wa dini na wabunge, serikali imeamua kugeuza uamuzi wake wa kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za dini...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Jk yuko Ruaha National Park siku ya tatu sasa. Sijui anataka kuja na lipi.
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Kushughulikia mafisadi ni kazi ngumu - Pinda 2008-04-10 10:35:14 Na Joseph Mwendapole na John Ngunge, Dodoma Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, amesema kuwashughulikia mafisadi ni kazi...
0 Reactions
71 Replies
10K Views
Sharon Sauwa Jumla ya shilingi bilioni 67 zinatarajiwa kutumika katika kufanikisha maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwakani kwa ajili ya kuwapata madiwani, wabunge na rais...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwinyi Sadallah Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inatarajia kutumia Sh. bilioni 412.6 katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2009/2010. Akitangaza mwelekeo wa bajeti, Waziri wa Nchi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nasikitika kwa kusema nchi yetu haina uongozi coz umejaa rushwa na ubinafsi, Kwa nini nasema hivyo: 1. Hivi uliona nchi gani shirika limebinafishwa lakini linapewa pesa na serikali, Mfano...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
2009-06-17 08:18:00 MP protests Sh35bn for top officials' trip By Damas Kanyabwoya, Dodoma THE CITIZEN An MP yesterday challenged the allocation of a whopping Sh34.6 billion in the...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…