Waziri aliyepewa dhamana na rais kupitia kwa wananchi wa jimbo la kilosa alimtukana mtangazaji wa wako redio wakati alimpomhoji maswala ya DECI. Alimtukana stupid na shenzi live redioni wakati anasikilizwa na watanzania wote.
Huyo ndiye Waziri wa Fedha, nani kampa jeuri hiyo?
Historia inaonyesha kuwa ndio kiburi yake hasa anapokuwa na madaraka. Wafanyakazi waliofanya nae kazi kote alikopita wanasema ndo hulka yake na kiburi
Je nani kampa hiyo jeuri ya kutukana!?
Ni rais au pesa?
Huyo ndiye Waziri wa Fedha, nani kampa jeuri hiyo?
Historia inaonyesha kuwa ndio kiburi yake hasa anapokuwa na madaraka. Wafanyakazi waliofanya nae kazi kote alikopita wanasema ndo hulka yake na kiburi
Je nani kampa hiyo jeuri ya kutukana!?
Ni rais au pesa?