Mwanamalunde
New Member
- Jun 17, 2009
- 1
- 0
Habari za hapa Jamvini wanzengu nimekuwa mgeni kwa mara ya kwanza leo nimeingia hapa na nimejikuta naingia baada ya kupewa ushauri na jamaa zangu hapa mjini kuwa kama unataka taarifa za uhakika angalau kwa asilimia 70 basi jiunge na mtandao unaoitwa jamii forums.
Ushauri huu nimepewa baada ya mimi kutoka ktk mkoa wa Tabora kikazi na katika pitapita yangu nilifika wilaya inayoitwa Nzega na katika shughuli nikauliza maswala ya kisiasa na kumuongelea Mbunge Lucas Selelii, hapo nilistuka nilipoambiwa 2010 ana nafasi ndogo sana ya ushindi kwani kuna kijana anaitwa Huseni Bashe wa UVCCM ambaye anapewa nafasi kubwa na amembana sana kamanda wetu.
Namevutiwa/nimestuka na jambo hilo nikona nije hapa niweze kumfahamu kama kuna watu wanamfahamu wanieleimishe na kufahamu huyu mtu anatoa wapi hizo nguvu za kuweza kufikia hapo.
Ushauri huu nimepewa baada ya mimi kutoka ktk mkoa wa Tabora kikazi na katika pitapita yangu nilifika wilaya inayoitwa Nzega na katika shughuli nikauliza maswala ya kisiasa na kumuongelea Mbunge Lucas Selelii, hapo nilistuka nilipoambiwa 2010 ana nafasi ndogo sana ya ushindi kwani kuna kijana anaitwa Huseni Bashe wa UVCCM ambaye anapewa nafasi kubwa na amembana sana kamanda wetu.
Namevutiwa/nimestuka na jambo hilo nikona nije hapa niweze kumfahamu kama kuna watu wanamfahamu wanieleimishe na kufahamu huyu mtu anatoa wapi hizo nguvu za kuweza kufikia hapo.