Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Pinda katangaza hivi punde mjini Dodoma kuwa baada ya kelele nyingi za wananchi, viongozi wa dini na wabunge, serikali imeamua kugeuza uamuzi wake wa kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za dini. Amesema Mkulo atatangaza kesho jinsi serikali itakavyopfidia pengo la fedha linalotokana na uamuzi huo