JF Exclusive: Ka-Nzi kwenye kikao cha kampeni ya CCM, Busanda!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,483
40,011
mzee-mwanakijiji-albums-news-worthy-picture465-kikaobusanda.jpg


Katoto ka nzi kaliko huko Busanda kametupenyezea taarifa ifuatayo:
 

Attachments

  • CCMBusandameeting.pdf
    1.7 MB · Views: 1,184
Kazi ipo, jamaa wanajua ushindi upo tayari 60-70% hakuna haja ya kampeni basi wasubirie kutangazwa mshindi wa CCM!
 
Utaona wanaainisha matatezo kadha wa kadha lakini kila mmoja anafikia hitimisho kuwa watashinda kwa zaidi ya asilimia 60.. msingi wa hitimisho hilo ni nini?
 
mzee mwanakijiji,

The common theme on these minutes of Vikao is Matatizo ya wananchi and false promises that are back dated to year 2005.

the question becomes, when will CCM and its government address the Wananchi's problems?
 
Hapa kuna mawili

1. ni ripoti ya watu wanaolipwa posho hivyo huwezi kusema kuwa tunashindwa kwenye wiki ya mwisho kwani posho ndiyo huwa nyingi na nje nje.

2. Au jamaa wanataka kuiba kura na wamelikisha hii makusudi wapate pa kujitetea itakuwa "si unaona tathmini yetu hata kabla ya uchaguzi ilionesha tunashinda?"
 
Yes Its true CCM itashinda Busanda kwa 40%. Fragmented opposition will scoop 60% majority with no victory.
 
Utaona wanaainisha matatezo kadha wa kadha lakini kila mmoja anafikia hitimisho kuwa watashinda kwa zaidi ya asilimia 60.. msingi wa hitimisho hilo ni nini?

Msingi wa hitimisho hilo ni shahada amabazo zimeshanunuliwa au zinauhakika kuingia kwenye ballot in favour ya CCM
 
Hivi kwa mfano ikitokea wameshindwa, wataelezaje kushindwa huko wakati tathmini yao haioneshi kuwa ni "too close to call"? Yaani angalau wangesema tutashinda kwa asilimia 51 au 50.2 sasa wakishindwa watasema uchaguzi ulikuwa "karibu sana"..
 
Mwana kijiji,

Ulipopata hii riport ulikumbuka KUWEKA MUHULI tarehe ya kupokea huu ujumbe? Maana kesho utaambiwa kuwa walikosea tarehe ila hiyo ilitakiwa iandikwe mwezi wa sita. Na kwa maana hiyo hayo matokeo unayoyaona, wewe si ya kweli na ukweli utakuwa wazi baada ya uchaguzi na hapo watakuuliza, kama kweli hii barua uliipata kabla ya uchaguzi.

Nina hamu ya kuona wazee wa KUPINDISHA MAMBO watakavyokuja na utetezi wao mpya juu ya hili swala.
 
Hawa jamaa ni kichekesho haswa, sijui ni nani aliyeandika hii report maana inaonyesha wazi ni mbabaishaji asiyejua jinsi ya kuandika report, alafu hebu angalia yaani kuna mabalozi wanadai fedha za mwaka 2005 mpaka leo hii bado hawajapewa kitu alafu wanasema wanataka kuleta masiha bora kwa kila mtanzania dah..... NYIE WADANGANYIKA MNAPASWA KUFAHAMU HAYO MAISHA BORA MTAYANUSA NUSA WAKATI WA KAMPENI KAMA HIZO TU ZA BUSANDA WAKISHASHINDA NDO IMETOKA HIYO MNABAKIZA HISTORIA TU KUWA WAKATI WA KAMPENI ANGALAU FAMILIA YANGU ILIKULA UBWABWA LAKINI KAMPENI ZIMEISHA TUMERUDI KWENYE UGALI WA MTAMA DAH... INAUMA KWELI
 
Hivi kwa mfano ikitokea wameshindwa, wataelezaje kushindwa huko wakati tathmini yao haioneshi kuwa ni "too close to call"? Yaani angalau wangesema tutashinda kwa asilimia 51 au 50.2 sasa wakishindwa watasema uchaguzi ulikuwa "karibu sana"..

Hiyo ndiyo sababu tosha ya kuhakikisha hawashindwi, come what may - mtindo ule ule wa Zanzibar. Wana nia (tume), wana uwezo (dola) na wana sababu (Chadema) za kucheza rafu.
 
Kwangu naona ni utaratibu mzuri wa kampeni kufanya tathmini ya kampeni zao. Naposoma katika taarifa hizi napata picha ya matatizo ya aina mbili. Matatizo kati ya uongozi wa ngazi ya chini wa ccm na uongozi wa juu, vile vile napata matatizo ya wananchi kwa serikali. Njia ambayo ccm imepanga kuhakikisha ushindi ni kujibu matatizo ya viongozi wa chini, na kuweka pembeni yale ya wananchi! Je ni haki viongozi wa kati kuuza wananchi wao kwa ajili ya viposho vya hapa na pale! Ama je ni haki kwa wananchi pia kumpigia kura mtu ambaye hajawahi hata kuwatembelea? Hakuna kilicho haki hapo!

Naposoma haya maandiko napigwa na butwaa na kujiuliza kwanini wananchi wanaomba hizo huduma? Kwanini hawawaweki wagombea kiti moto! Kwa upande wa ccm swali leo ni rahisi kabisa kwani ni kutadhimini uongozi wao! Mwaka nenda rudi ccm imefanya nini? kwa upande wa vyama vya upinzani huo mwaka uliobaki watafanya nini?

Nadhani ningependa kusikia wananchi wanasema nini zaidi ya watu wa kati hofu zao ni zipi.
 
Utaona wanaainisha matatezo kadha wa kadha lakini kila mmoja anafikia hitimisho kuwa watashinda kwa zaidi ya asilimia 60.. msingi wa hitimisho hilo ni nini?

Kwamba tayari wameshajiandaa kupandikiza kura bandia ambazo zitaingizwa kwenye hesabu na kuwapa ushindi huo wa 60%. Ama kweli CCM ni Chama Cha Mafisadi na wanazidi kujidhihirisha kama wao ni mafisadi kila kukicha.
 
Wana JF,

Namshukuru Mzee Mkjj na ka inzi kake kwa kutuletea hii habari. Lakini kwa mtizamo wangu wa haraka haraka kutokana na minute za kikao naona kuna mapungufu mengi sana sijui ni ya matatizo ya mwandishi au imefanyika makusudi ili kudanganya umma kwa kuisambaza kupitia kwa Mkjj ili kutudanganya (danganya toto waswahili wanasema). Kuna mambo ya msingi hayapo kwenye minute za hiki kikao,

1. Nani alikuwa mwenyekiti!!!
2. Nani alikuwa katibu wa kikao!!!
3. Nini yalikuwa maazimio ya kikao kwa ujumla? Yaani walipokea taarifa kutoka kwenye kata halafu mkutanio ukaisha?
4. Mbona kikao hakikuzungumzia mikakati ya jumla ya kuongeza % ya ushindi?

Unless I am missing something somewhere, lakini kama report hii sio fake, basi watawala wetu CCM wana matatizo makubwa!!!

Tiba
 
Wana JF,

Namshukuru Mzee Mkjj na ka inzi kake kwa kutuletea hii habari. Lakini kwa mtizamo wangu wa haraka haraka kutokana na minute za kikao naona kuna mapungufu mengi sana sijui ni ya matatizo ya mwandishi au imefanyika makusudi ili kudanganya umma kwa kuisambaza kupitia kwa Mkjj ili kutudanganya (danganya toto waswahili wanasema). Kuna mambo ya msingi hayapo kwenye minute za hiki kikao,

1. Nani alikuwa mwenyekiti!!!
2. Nani alikuwa katibu wa kikao!!!
3. Nini yalikuwa maazimio ya kikao kwa ujumla? Yaani walipokea taarifa kutoka kwenye kata halafu mkutanio ukaisha?
4. Mbona kikao hakikuzungumzia mikakati ya jumla ya kuongeza % ya ushindi?

Ndo maana mi nikasema aliyeandika hii report hajui alichokuwa anafanya, Wizi mtupu...........
 
Back
Top Bottom