Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Na Hawa Mathias, Mbeya RAIS Jakaya Kikwete ameitaka serikali mkoani Mbeya kufanya uwezekano wa kuhamisha gereza la Songwe na kulibomoa ili kuanza uchimbaji wa madini ya alminium ambayo...
0 Reactions
52 Replies
12K Views
Aziza Athuman na Minael Msuya MSAJILI wa vyama vya siasa nchini , John Tendwa jana alisajili chama kipya cha siasa kinachojulikana kama Alliance for Tanzania Farmers Party (ATFP). Chama hicho...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
I have come to the conclusion that the main problem with our country is when it reaches the point where we actually have to do something. We are like an artist who can imagine the most beautiful...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Sote tunaelewa kuwa tangu mwanzo Hosea na TAKUKURU yake waliisafisha Richmond. Serikali nayo imekuwa inamshupalia kila anayehoji Richmond. Serikali iliweza hata kuficha kumbukumbu kuhusu Richmond...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wabunge katika nchi zote wanatakiwa kuwa mfano kwa jamii wanayoingoza na hasa kwa vijana. Jamii inategema kuwa sheria na kanuni zinazotungwa na wabunge kwanza kabisa zinatakiwa ziheshimiwe na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sahara Sun 'to help power Europe' Energy from the Sahara plants is expected to supply Europe by 2015 A sustainable energy initiative that will start with a huge solar project in the Sahara...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Wadau naomba mtu yeyote mwenye document za ukubwa wa vitongoji (wards) zetu anipatie au hata links. Nahitaji za wilaya tatu za Dar ( Ilala, Kinondoni na Temeke) nimejaribu kwenye sensa ripoti...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema inakusudia kupiga wimbo wa taifa katika kikao cha baraza la wawakilishi kijacho kutokana na marekebisho ya kanuni za baraza la wawakilishi zilizofanywa...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
2009-11-02 Govt's IPTL pledge fails to materialise Pedestrians work past the IPTL power plant in Dar es Salaam yesterday. The plant did not start producing power yesterday as promised by the...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kamati ya Mwinyi yaonywa Dodoma Monday, 02 November 2009 07:47 *Yatakiwa isilenge kuziba midomo wabunge *Wabunge waapa hatutaburuzwa na serikali Na John Daniel, Dodoma Majira BAADHI ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sasa apeleka suala lao kwa Mwanasheria Mkuu Asema huko ndiko uamuzi dhidi yao utatolewa Athibitisha vyuo walivyosoma havitambuliwi Spika wa Bunge, Samuel Sitta, amesema suala la mawaziri...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
leo tena majira ya saa sita na robo usiku mbunge wa RUANGWA mkoani LINDI MHE. SIGFRIDI N'GITU ameaga dunia katika hospitali ya moi kutokana na ugonjwa wa shinikizo la damu, mungu amlaze marehemu...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Liwalo liwe, kila mtu na lwake, ndiyo hatima ya Tanzania!
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Chiligati Watanzania siyo mabwege! Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Chiligati amesema kitendo cha Rais Jakaya Kikwete, kutoa ardhi kwa wawekezaji si kuiuza nchi badala yake ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jiji laanza kufaidi Mapato Kituo cha Mabasi Ubungo HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imeanza kazi ya kukusanya mapato katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Ni katika sakata la Richmond Kila mmoja apanga kujinasua Na Saed Kubenea MwanaHALISI HATMA ya Edward Lowassa kujinasua kwenye kashfa ya mkataba tata wa kampuni ya Richmond, ipo mikononi...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
In his 1957 memoirs, the Jewish politician, John Locke, wrote, “I have always thought the actions of men are the best interpreters of their thoughts.” In similar vein, the American politician...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanandugu, Katika vyombo vya habari (magazeti ya Kiswahili; MwanaHalisi, Majira, Nipashe) kuna msamiati mpya kuhusiana na Lowasa. Kuna watu ndani ya serikali wanaitwa 'Lowasa Masalia'. Tunaomba...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna baadhi ya kauli za viongozi wetu huwa zinatia wasiwasi kama kweli wana nia ya dhati ya kupambana na uovu ukiwemo ufisadi! Kauli ya Ole Sendeka kwamba atamharibia Rais Kikwete kwa kuanika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tafuta: Maskani Habari za Kitaifa Tahariri Makala Wazo Langu Michezo na Burudani Safu Majarida Ulingo wa Siasa Urithi wetu Jamii Sayansi na Teknolojia Biashara na Uchumi Nyota Burudani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom