leo tena majira ya saa sita na robo usiku mbunge wa RUANGWA mkoani LINDI MHE. SIGFRIDI N'GITU ameaga dunia katika hospitali ya moi kutokana na ugonjwa wa shinikizo la damu, mungu amlaze marehemu mahali pema peponi amina.
bunge limeharisha kikao chake leo asubuhi kwa mujibu wa kanuni
bunge limeharisha kikao chake leo asubuhi kwa mujibu wa kanuni