Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wadau.. Rwanda inakaribia kujiunga na Jumuiya ya Madola iwapo uamuzi wa kikao cha wakuu wa nchi za jumuiya ya madola kinachofanyika Trinidad & Tobago kitaridhia uanachama wake. Hisia za utawala...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu, Naombeni msaada kwani hli limekuwa likinitatiza. Nimeona watu wakipigania sana kuwa wenyeviti wa bodi mbalimbali hasa za mashirika ya umma.Na hivi karibuni nimesikia watu wakishauri...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kikwete akerwa mapinduzi ya kijeshi Afrika Na Mwandishi maalum NIPASHE 27th November 2009 Rais Jakaya Kikwete, ameutaka Umoja wa Mataifa (UN) na jumuia ya kimataifa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanesco yapinga kuvunja mkataba wa bimaNa Claud Mshana SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limefungua kesi Mahakama Kuu kupinga uamuzi uliotolewa na Mamlaka ya Rufaa ya Manunuzi ya Umma (PPAA) kuitaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Source: Nipashe 27 November 2009 na mwandishi maalumu: "Gavana Mkuu huyo alisema Jamaica imeamua kutoa nishani hiyo kwa kutambua uongozi imara na uliotukuka wa Rais Kikwete katika nyanja na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
2009-11-27 08:52:00 Tax waivers set to eat up Sh3 trillion Finance minister Mustafa MkuloThe sum is almost a third of the Sh9.5 trillion national Budget By Damas Kanyabwoya THE CITIZEN...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kinachoviponza vyama vya upinzani katika chaguzi Selemani Rehani Raia Mwema Novemba 25, 2009 MWAKA 1992 tuliamua kurejea katika mfumo wa vyama vingi vya siasa. Ni miaka 17 sasa toka tuingie...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni kama triad vile na inaonekana wananchi pamoja na members wengi humu mmekuwa duped kuwa watu hawaelewani kumbe usiku wana strategise je mnaweza kuwataja? clue: Yupi 'mpiganaji' mmoja
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wenye kutarajia kuwa VIONGOZI, kugombea Ubunge, Udiwani, Urais na hata katika ngazi ya familia nyumbani. Ushauri wa bure huu hapa chini ktk attachment. Mbarikiwe sana na Amani iwe nanyi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kila mara humu tukijadili habari za namna viongozi wanavyochaguliwa hasa ndani ya cmm,kuna kitu kimoja ambacho hatukijadili kwa mapana. nacho ni huu utaratibu usioandikwa popote lakini ni sehemu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
hii tabia ya watanzania kuwa wanyonge mbele ya viongozi wabovu huwa inanikera sana.... lakini siku hizi nimekuwa napata habari inayonifurahisha sana.. nayo ni hii ya kuwazomea wabunge wa ccm...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
UWT zibeni mpasuko wenu, malumbano hayana tija LISEMWALO lipo na kama halipo linakuja. Hivi karibuni, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umekuwa gumzo kutokana na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Serikali yetu ni inashangaza. Jana TBC1 imeripoti kuwa mkuu wa wilaya huko Kilombero anasimamia mchakato wa kutaka kuhamisha wanakijji wa kijiji cha Namawala huko Kilombero kinyume na matakwa yao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waziri apeleka udongo Israeli kuombea mvua na Rodrick Mushi, Siha MBUNGE wa Siha, Aggrey Mwanry, amechukua udongo wa Wilaya yake ya Hai na kuupeleka nchini Israel kwa ajili ya tambiko la kuombea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Gold miners oppose rules on overseas operations Bill called 'unnecessary and damaging to Canadian business' Last Updated: Thursday, November 26, 2009 | 11:40 AM ET Comments33Recommend11 Three...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mh, Sophia Simba Sophia Simba, kaelezwa kuwa ni tishio, ndiyo maana amekuwa akipigwa vita na baadhi ya wanasiasa tangu kushika nafasi hiyo....
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Re: Commonwealth: [SIZE="4"] The Commonwealth of Nations, often referred to as the Commonwealth and previously as the British Commonwealth, is an intergovernmental organisation of fifty-three...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wafanyakazi wa shirika la ndege la tanzania wapatao 181 wanatarajiwa kugawiwa barua zao za mkono wa ahsante leo hii....akionngea na mwandishi wetu katibu mkuu wa wizara ya miundo mbinu Bw omary...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Kuna msemo wa kiafrika unaosema, huwezi kuzuia masikio yako kusikia bali kuuzuia mdomo wako kuzungumza. Ndiyo siwezi kuzuia masikio yenu kusikia, lakini naweza kuziba...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
kwa hii serikali ya kichwa cha mwendawazimu sijui...la hasha ndio kwanza wamewapa machinga complex...wasubiri kuchunguza tena....Taarifa za mapato Kituo cha Mabasi Ubungo zifanyiwe kazi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…