she is a fighter not a quitter.

Sonara

JF-Expert Member
Oct 2, 2008
726
68
1259218730_sophia_simbakuteuliwa.jpg

Mh, Sophia Simba



Sophia Simba, kaelezwa kuwa ni tishio, ndiyo maana amekuwa akipigwa vita na baadhi ya wanasiasa tangu kushika nafasi hiyo....
 
Kila mchuma janga hula na wakwao. Janga la mama huyu atalitafuna na aliye mteua.
 
Yes she is a fighter but on what side is she? Hata katika vita kati ya Mungu na shetani kila mmoja ana majeshi yake. yeye mwanajeshi wa nani?
 
Atakuwa anapigania sana tumbo lake sijawahi msikia akiongea cha maana zaidi ya kutapika huyu mama.
 
Sonara fafanua zaidi...mbona hana mvuto huyo mama

wapi???????????????????

Atakuwa anapigania sana tumbo lake sijawahi msikia akiongea cha maana zaidi ya kutapika huyu mama.

Kila siku anaongea cha maana(CCM wanamtuma aseme hayo), alikuwa anayaongea Kingunge hapo mwanzo, Hii ndiyo propaganda, siyo kuwa hana akili.

cha kufanya ni kusuka mpango CCM waondoke.period!

baraza lijalo yumo tena!! Tanzania hii hii

Kesho atasema lingine baya, tutabaki ajiuzulu! kana kwamba CCM wengine wasafi..
 
Huyu naye katoka wapi? I guess kila mbuyu na shetani wake, eh?

- Mkuu Jasusi, ukiona moshi ujue chini kuna mtu anaungua au ameungua tayari, Bwa! ha! ha! na huwezi jua moto wako umechoma kiasi gani mpaka uone moshi unafoka,

- kuna mtu amenyewa na mvua Bwa! ha! ha! ndio maana unaona moshi mwingi sana, kuna mtu anaungua! Bwa! ha! ha!

Respect.


FMEs!
 
Dawasco likely to sue Minister Sophia Simba

2009-24-09:11:48



By Njonanje Samwel



1. The Dar es Salaam Water and Sewerage Corporation (Dawasco) has said it will take to court the Minister Sophia Simba, for an alleged illegal water connection into her Kunduchi Bahari Beach residence in Dar es Salaam.

2. This was said by Dawasco Public Relations Manager Badra Masoud yesterday, shortly after workers of the water utility firm had dug out pipes from erring customers as part of an on-going campaign.

3. The digging up of illegally connected water conduits was carried out in the city suburbs of Kawe, Mwenge Mlalakuwa, Kunduchi Beach and Boko, all being served by Kawe and Boko Dawasco offices.

4. According to Masoud, water supply to the minister�s house was first disconnected some few weeks ago, after she had failed to settle outstanding water bills. However, the supply was restored contrary to regulations.

5. She said Dawasco intended to prosecute the minister ``for stealing water and tempering with water utility`s infrastructure.``

6. ``Early this month we (Dawasco) cut off water supplies to the minister`s house. We expected that the minister would turn up to settle the bill, but she instead illegally restored the service.

7. As you can see now, the house is enjoying the service cost free,`` Masoud told journalists at the scene of incident, while showing a re-connected part of the water system.

Early this year, Dawasco embarked on a special operation to penalize customers with outstanding bills by uprooting water distribution pipes.


  • SOURCE: Guardian

1259218730_sophia_simbakuteuliwa.jpg

Mh, Sophia Simba



Sophia Simba, kaelezwa kuwa ni tishio, ndiyo maana amekuwa akipigwa vita na baadhi ya wanasiasa tangu kushika nafasi hiyo....
 
Back
Top Bottom