Juhudi za Tanzania Association UK (TA UK) na zile za Zanzibar Walfare Association (ZAWA) Za kujaribu kumpata Rais wa Zanzibar ambae pia ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ili...
Na Frederick Katulanda
Gazeti la Mwananchi
SPIKA Samuel Sitta jana alimshauri Zitto Kabwe kuachana na ndoto za kuwania ubunge wa jimbo la Geita, lakini muda mfupi baadaye kiongozi huyo wa...
Jamani mimi naamini na wengine pia tungependa kuona wenyewe badala ya kusimuliwa. Kama **** mtu anaweza kutumegea yale muhimu bila shaka tutashukuru. Pia kwenye uchangiaji itakuwa 15mins per MP...
Mh waziri wa afya
nimewiwa kusema haya baada ya muhimbili kutumia mamilion ya fedha
katika kusherekea kutimiza miaka yake kumi ama a kuzaliwa kuanzishwa nimejiuliza siku zote mh waziri wanakuita...
Tanzania leads region in illegal money outflows
Tanzania has lost $8.9 billion over the past four decades through the illicit means--meaning that it leads the list of East African states that...
Ile Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali, CAG, Ludovic Utouh, ijulikanayo kwa jina maarufu la Ripoti ya Ukaguzi, itawasilishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma siku ya Jumanne Ijayo...
Govt admits poverty rampant in rural areas
By Polycarp Machira
18th April 2010
Minister for Finance and Economic Affairs, Mustapha Mkullo
The government has failed to...
KUNA taarifa ambazo tunazifanyia kazi kwamba Mtikila yuko mikononi mwa polisi Central amekutwa na vipeperushi vinavyodaiwa kumshughulikia KIKWETE lakini kwa kutumia udini. Amekatwa leo asubuhi...
Wadau
naomba niulize muda wa kupiga kura unakaribia, tangu nifike korea nilipewa taarifa kuwa hakuna ubalozi wa chancelor muwakilishi wa korea. Nikataarifiwa na wwenyeji wangu kuwa nikiwa na...
Tumeona wenzetu mara nyingi mmekuwa mkionekana mkifungua mjadala ama
kuona marafiki zenu hospit za serikali..nahisi hili ndilolinachangia kutothamini hosp za serikali na kuzifanya zikiwa kama...
Uki zingatia kuna wanaJF wengi tu ambao ni diaspora nadhani thread hii itagusa wengi. Swala linalo endelea sasa la dual citizenship(uraia wa nchi mbili) imenifanya nikae nitafakari jinsi haswa...
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Waislamu nchini na wapenda amani kususia bidhaa na huduma zote kutoka Uswisi.
Tamko hilo limetokana na hatua iliyochukuliwa mwaka jana na...
Kuna baadhi ya watanzania wanatamani bora tupigane vita ya wenyewe kwa wenyewe ili tuweze kuondokana na hili wimbi la viongozi warafi(mafisadi) ambao kila kukicha wanazidi kuongezeka.pia kuna...
JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za wizi wa Sh3 bilioni za posho za askari kwa mwezi Februari mwaka huu.
Ufafanuzi huo, uliotolewa jana na msemaji wa jeshi hilo, Abdallah Mssika...
MFANYABIASHARA maarufu ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajabu Maranda, anayedaiwa kuiibia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Sh bilioni 1.8 za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), amekiri...
Nilikuwa ninasikia kwa juu juu tu juu ya kuwepo kwa wapangaji wa Shirika la Taifa la nyumba ambao wanajihusisha na uuzaji au upangishaji wa Nyumba za Shirika hilo kwa njia za Panya.Lakini majuzi...
Nimekuwa nikitafakari jinsi Marais wanapokuwa madarakani katika ungwe ya awamu ya miaka mitano ya mwisho ya uongozi wao, mara kadhaa Marais hao kwa kuwa hawana tena cha kupoteza hubadilika sana...
Ukiwa na ndugu yako au mtu wako wa karibu ana nia ya kugombea uheshimiwa andika maumivu. Jana mamsap alipokea simu toka kwa kaka yake wa baba mkubwa akamwambia ana kadi yake. alipoulizwa kadi ya...
Watanzania kwa ujumla wetu tunasubiri kwa hamu kubwa hukumu ya rufaa iliyokatwa na serikali kuhusu mgombea binafsi. Nampongeza sana mhe jaji mkuu Augustino Ramadhani kwa namna alivyoshtukia janja...
Ndugu Zangu,
Serikali imetoa rasimu ya MKUKUTA kwaajili ya kupata maoni ya wadau. Tumia link ifuatayo uweze kupata nakala yako kama ungependa kuchangia mawazo...