Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Juhudi za Tanzania Association UK (TA UK) na zile za Zanzibar Walfare Association (ZAWA) Za kujaribu kumpata Rais wa Zanzibar ambae pia ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ili...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Na Frederick Katulanda Gazeti la Mwananchi SPIKA Samuel Sitta jana alimshauri Zitto Kabwe kuachana na ndoto za kuwania ubunge wa jimbo la Geita, lakini muda mfupi baadaye kiongozi huyo wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani mimi naamini na wengine pia tungependa kuona wenyewe badala ya kusimuliwa. Kama **** mtu anaweza kutumegea yale muhimu bila shaka tutashukuru. Pia kwenye uchangiaji itakuwa 15mins per MP...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mh waziri wa afya nimewiwa kusema haya baada ya muhimbili kutumia mamilion ya fedha katika kusherekea kutimiza miaka yake kumi ama a kuzaliwa kuanzishwa nimejiuliza siku zote mh waziri wanakuita...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tanzania leads region in illegal money outflows Tanzania has lost $8.9 billion over the past four decades through the illicit means--meaning that it leads the list of East African states that...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ile Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali, CAG, Ludovic Utouh, ijulikanayo kwa jina maarufu la Ripoti ya Ukaguzi, itawasilishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma siku ya Jumanne Ijayo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Govt admits poverty rampant in rural areas By Polycarp Machira 18th April 2010 Minister for Finance and Economic Affairs, Mustapha Mkullo The government has failed to...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
KUNA taarifa ambazo tunazifanyia kazi kwamba Mtikila yuko mikononi mwa polisi Central amekutwa na vipeperushi vinavyodaiwa kumshughulikia KIKWETE lakini kwa kutumia udini. Amekatwa leo asubuhi...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Wadau naomba niulize muda wa kupiga kura unakaribia, tangu nifike korea nilipewa taarifa kuwa hakuna ubalozi wa chancelor muwakilishi wa korea. Nikataarifiwa na wwenyeji wangu kuwa nikiwa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tumeona wenzetu mara nyingi mmekuwa mkionekana mkifungua mjadala ama kuona marafiki zenu hospit za serikali..nahisi hili ndilolinachangia kutothamini hosp za serikali na kuzifanya zikiwa kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uki zingatia kuna wanaJF wengi tu ambao ni diaspora nadhani thread hii itagusa wengi. Swala linalo endelea sasa la dual citizenship(uraia wa nchi mbili) imenifanya nikae nitafakari jinsi haswa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Waislamu nchini na wapenda amani kususia bidhaa na huduma zote kutoka Uswisi. Tamko hilo limetokana na hatua iliyochukuliwa mwaka jana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya watanzania wanatamani bora tupigane vita ya wenyewe kwa wenyewe ili tuweze kuondokana na hili wimbi la viongozi warafi(mafisadi) ambao kila kukicha wanazidi kuongezeka.pia kuna...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za wizi wa Sh3 bilioni za posho za askari kwa mwezi Februari mwaka huu. Ufafanuzi huo, uliotolewa jana na msemaji wa jeshi hilo, Abdallah Mssika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MFANYABIASHARA maarufu ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajabu Maranda, anayedaiwa kuiibia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Sh bilioni 1.8 za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), amekiri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikuwa ninasikia kwa juu juu tu juu ya kuwepo kwa wapangaji wa Shirika la Taifa la nyumba ambao wanajihusisha na uuzaji au upangishaji wa Nyumba za Shirika hilo kwa njia za Panya.Lakini majuzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa nikitafakari jinsi Marais wanapokuwa madarakani katika ungwe ya awamu ya miaka mitano ya mwisho ya uongozi wao, mara kadhaa Marais hao kwa kuwa hawana tena cha kupoteza hubadilika sana...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Ukiwa na ndugu yako au mtu wako wa karibu ana nia ya kugombea uheshimiwa andika maumivu. Jana mamsap alipokea simu toka kwa kaka yake wa baba mkubwa akamwambia ana kadi yake. alipoulizwa kadi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watanzania kwa ujumla wetu tunasubiri kwa hamu kubwa hukumu ya rufaa iliyokatwa na serikali kuhusu mgombea binafsi. Nampongeza sana mhe jaji mkuu Augustino Ramadhani kwa namna alivyoshtukia janja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Ndugu Zangu, Serikali imetoa rasimu ya MKUKUTA kwaajili ya kupata maoni ya wadau. Tumia link ifuatayo uweze kupata nakala yako kama ungependa kuchangia mawazo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…