Tunasubiri ututhibitishie
Mtikila keshakuwa ze comedi sasa! Na sirikali hata haichoki kuhangaika nae. nafikiri in all these there is something going on...Either yeye ananufaika, or Sirikali inanufaika kiaina. LAkini sisi kama watanzania,...I doubt!
Mtikila is a fine guy, ni mkombozi wa taifa hili katika utetezi wa demokrasia, lakini pia he is not normal, there is something wrong with him, ukimsikiliza tuu, utaelewa, mimi namkubali sana japo pia natambua he is insane.
huyo ni msanii tu analolote lile yy na ccm damudamu