Slaa`s Top Six Agenda
"The Guardian," Dar es Salaam, Tanzania
By Polycarp Machira
29th August 2010
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) launched its election campaign yesterday, by...
Kumekuwa na habari kuwa mgombea wa CHADEMA alikumbushwa kuongelea masuala ya Uchumi. Wapo wanaotumia hii kama silaha ya mashambulizi.
Lakini kwa miaka mitano mambo mbalimbali ya kitaifa yameenda...
Mgombea urais kwa tiketi ya NCCR Mageuzi Mh. Hashim Rungwe akionyesha ilani ya uchaguzi ya chama hicho. NCCR itaanza kampeni zake baada ya mfungo wa ramadhani.
Kama umaangalia kipindi kilichooneshwa na TBC1 mdahalo wa wagombea wote wa ubungo
Mnyika, Julius na wa CCM na wengine
Mama wa CCM alipoamka kuhitimisha alianza kuzomewa wa wasikilizaji waliokuwa...
Sipati picha imekuwaje leo Mtanzania linawafagilia Chadema kiasi hiki ambacho si cha kawaida?
Pata udondozi wa Kichwa Kikuu Cha Habari:
KAMPENI SI MCHEZO
Dk. Slaa Naye "Afunika"
- Ataanza...
Bwana Issa Michuzi alitoa maelezo marefu kuwa yeye hafungamani na upande wowote ingawa asilimia kubwa tunamjua ni kibaraka wa CCM ,informer fulani wa usalama .
Sasa hivi iko dhahiri kuwa...
Nina tumai kwamba Jamiiforums inatekeleza dhana yake ya WE DARE TO TALK OPENLY, kwa vitendio, na kwahiyo basi waratibu wake hawatafuta maswali yangu kwa wagombea Urais wa Chadema, CUF, na CCM...
TBC wanaoendeshwa kwa kodi yako wewe na mimi. Hawa ndio waliotumiwa na Rostam Aziz kuihusisha kwa nguvu zote CHADEMA na Kifo cha Wangwe.
Mnaweza kukumbuka mtiririko wa mambo waliyoyafanya. Hawa...
KATIKA MOJA YA KAMPENI ZAKE KIKWETE ALIDAI KUWA KTK UTAWALA WAKE HAJAWAHI KUTOA RUHUSA YA KUNYONGWA KWA MTU YEYOTE KAMA SEHEMU YA KUJINASIBU KWENYE KAMPENI ZAKE,KIKWETE KWANGU NI MNYONGAJI MKUBWA...
Arusha sasa hapakaliki, Lema anakata Anga na kuwa tishio kwa Buriani, Cha ajabu buriani badala apambane kiwachani anatafuta ushindi wa mezani kwenye tume ya uchaguzi. Analalama nini? si aendeleze...
Inanitatiza hapa. Inakuaje - katika vyama vikuu vya upinzani – CUF inaonekana kulala usingizi?
Hivi hili pingamizi Dr Slaa alilomuwekea JK kuhusu "hongo" kwa wafanyakazi CUF wao...
Waungwana ni nini kinaendelea? magazeti yote yaliyo mrengo wa kushoto kwa serikali website zake hazipatikani
www.freemedia.co.tz/daima
www.raiamwema.co.tz
www.mwanahalisi.co.tz
zote zina kama...
Wachambuzi wa mambo wanafahamu dalili zote za mataifa yanayoelekea kwenye anguko. Bahati mbaya zimeanza kuonekana hapa kwetu kwa miaka sasa na viongozi wetu hakika hawajaweza kuliuona hili ama...
Kwa muda mrefu elimu ya chuo kikuu imeendelea kudhalilishwa huku serikali ikifumbia macho jambo hili. Majoho tuliyozoea kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakivaa miaka ya hivi karibuni yamekuwa mavazi...
Wapendwa wanaJF, ni yamkini tulifuatilia kwa makini tangu mbio za uraisi zilipoanza rasmi 20/08/2010 pale ambapo wagombea wote wa viti vya urais na wabunge walipotakikana kwa utaratibu, kurudisha...
CCM ni chama cha fitna na kimekuwa reduced such that everyting in CCM kina bei yake, hata uraisi. Ni chama kilichofilisika kisera na ndiyo maana kiko bize kununua affection. CCM na wapambe wake...
mkuu wa kaya ame ahidi kwenye kampeni kanda ya ziwa kuwa kuna barabara itajengwa
kwa msaada wa serikaili ya marekani, ziko wapi tsh 300 kwa lt ya mafuta zilizoingizwa kwenye bajeti ya zakia...
Kuna taarifa kuwa msafara wa mgombea kwa ticket ya CCM umepata ajali baada ya gari la ulinzi kupinduka.
Taarifa zaidi zinasema hakuna majeruhi makubwa ingawa imesababisha usumbufu mkubwa katika...