Kwa muda mrefu elimu ya chuo kikuu imeendelea kudhalilishwa huku serikali ikifumbia macho jambo hili. Majoho tuliyozoea kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakivaa miaka ya hivi karibuni yamekuwa mavazi ya chekechea, what a shame! haikuishia hapo, shule za msingi na sekondari nazo hazipo mbali.
Pia siku za karibuni tumeona watu wakijipachika degree za Falsafa (PhD) za kununua serikali imeuchuna. Imeendelea viongozi wanatunukiwa PhD za heshima kiholela tu, ati wanaitwa Dr.xxxx, Dr.yyyyy na vyuo ambavyo havina hata merits. Waandishi wa habari nao bila hata aibu wanapublicize huu uozo na uzandiki.
Serikali gani isiyoweza kusimamia elimu jamani, ikaiacha ichezewe ka uganga wa kienyeji?
mmhhhh, ishi Tanzania uone kila aina ya vituko.
Pia siku za karibuni tumeona watu wakijipachika degree za Falsafa (PhD) za kununua serikali imeuchuna. Imeendelea viongozi wanatunukiwa PhD za heshima kiholela tu, ati wanaitwa Dr.xxxx, Dr.yyyyy na vyuo ambavyo havina hata merits. Waandishi wa habari nao bila hata aibu wanapublicize huu uozo na uzandiki.
Serikali gani isiyoweza kusimamia elimu jamani, ikaiacha ichezewe ka uganga wa kienyeji?
mmhhhh, ishi Tanzania uone kila aina ya vituko.