Du poleni,
Nilidhani wote tunafuatilia ya Jangwani tuu kumbe taarifa za chama 'chetu' pia zinaendelea kutufikia!.
Asante.
Was just jocking, naujua impartiality yako.Mkuu,
Kutotoa taarifa SI UUNGWANA! Uungwana ni vitendo; waandishi wanapotufahamisha lolote hatuna budi kuwafahamisha.
Kwa kweli ni mkosi wa aina yake. Maana kila wakati ni matatizo tu: mara kukanyaga mtu, mara kupinduka. Duh!mmmhh....Sijui ni mkosi gani wameanza nao hawa ndugu zetu??!!
Kwa kweli ni mkosi wa aina yake. Maana kila wakati ni matatizo tu: mara kukanyaga mtu, mara kupinduka. Duh!
Wamechanganyikiwa na madongo ya Jangwani!!!
:becky::smile-big:Wamechanganyikiwa na madongo ya Jangwani!!!