Burian accuses CHADEMA rival of mudslinging in poll campaigns

Burian accuses CHADEMA rival of mudslinging in poll campaigns

Msharika

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2009
Posts
947
Reaction score
71
Arusha sasa hapakaliki, Lema anakata Anga na kuwa tishio kwa Buriani, Cha ajabu buriani badala apambane kiwachani anatafuta ushindi wa mezani kwenye tume ya uchaguzi. Analalama nini? si aendeleze libeneke.

Source: Home
 
kazoea kubebwa kwa kutegemea kilichofichwa ndani ya sketi ..analo sasaa
 
Kipi??? Una uhakika?????!!!!!!
Kama kweli ungekuwa hujui ni kipi, usingeuliza tena "Una uhakika?" Sina nia ya kuunga mkono kauli ya Kigogo, ila nataka nikukumbushe tu kwamba wakati mwingine sentensi zetu huwa zinapingana!
 
ccm inabebwa na makada wao waliotapakaa nchi nzima katika nyanja zoote, kuwang'oa inahitaji juhudi ya ziada, massive win, ama katiba ibadilike, msajili ni kada, wakuu wa tume ya uchaguzi ni makada, Mwema ni kada, Mkuu wa UWT ni kada.
 
"According to the agreed election ethics, candidates should carry out fair campaigns without uttering words that might harm their counterparts in the elections stated for October 31, this year."


Huu nao ni upuuzi, unawezaje kushindana na mtu kwenye uchaguzi bila kuwaambia wapiga kura udhaifu wa mpinzani wako?

Nadhani hili limewekwa kusudi kuwalinda wagombea wa CCM wasiandamwe kutokana na skendo zao kiungozi.
 
kazoea kubebwa kwa kutegemea kilichofichwa ndani ya sketi ..analo sasaa
Haya ni matusi na wala hayastahili. Hawa watu wachache watatufanya soote tuonekane wahuni.
 
ccm inabebwa na makada wao waliotapakaa nchi nzima katika nyanja zoote, kuwang'oa inahitaji juhudi ya ziada, massive win, ama katiba ibadilike, msajili ni kada, wakuu wa tume ya uchaguzi ni makada, Mwema ni kada, Mkuu wa UWT ni kada.

Katika hao wote anayenisikitisha ni huyo aitwaye Tendwa. Huyu mtu ukimuangalia anavyoongea, gestures mbele ya TV, kweli zinamtosha?

Angekuwa ndo amevunja ungo ningemuelewa kwamba labda rika linasumbua, lakini umri huo? Hivi kweli huyu ndo the best we could get? Au ana sifa gani tusiyoiona?
 
Nime pata habari to A town kuhusu Burian- kuwa wanao jifanya kuwa ni ma bouncer wake au kwa msemomwingine bodyguards ni wana mafile machafu. na wanajulikana hapo A town sasa sijui mwatuingizia watu gani ndani ya serikali, itabidi tuanze kuchunguza wapambe wa wagombea ni watu wa aina gani katika jamii
 
Ni LINI Chama Cha Mapinduzi ilifanya kampeni ambayo haikuwa na rafu kwa upinzani?

Wamewafanyia rafu wagombea wa upinzani ili wabaki na majimbo bila upinzani. Sasa anacholalama Burian ni kitu gani?

Hajawahi kuingia kwenye kampeni ya kuchaguliwa. Asimame kidete, akafanye kampeni. Kulalama hakumsaidii.

Binafsi simwonei huruma, na simwonei huruma mgombea yeyote wa CCM, isipokuwa MWAKYEMBE peke yake! BASI! Angekuwa upande wa CHADEMA angetufaa sana!
 
buriani ,shakula ya lowassa...na ana ule ugonjwa wa surua[yaani kupenda vijana]...waulizeni majirani zake wa pale bimas qouters kabla hajahama...hadi yule mume wake mzazibar yakamshinda....
 
kazoea kubebwa kwa kutegemea kilichofichwa ndani ya sketi ..analo sasaa

Kipi??? Una uhakika?????!!!!!!

Kama kweli ungekuwa hujui ni kipi, usingeuliza tena "Una uhakika?" Sina nia ya kuunga mkono kauli ya Kigogo, ila nataka nikukumbushe tu kwamba wakati mwingine sentensi zetu huwa zinapingana!

Haya ni matusi na wala hayastahili. Hawa watu wachache watatufanya soote tuonekane wahuni.

yaelekea wewe unafikiria ndani ya sketi tu muda wote. Aibu, jitu kubwa kumbe K J

nadhani ni kipochi manyoya...! :becky::becky:

Kuna kitu ambacho baadhi ya watu wanapenda kujidanganya kuwa hakina athari katika siasa za nchi na harakati za ukombozi wa wanawake. The motive behind some of pertinent political decisions is at the center! The center of humanbeing! Tukishakubali hilo ndo safari ya mabadiliko inaanza. Hii ya kukaa kufikiri kusema wanawake wanatumika ni udhalilishaji ni kujidanganya, wanatumika tena sana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom