Kabla ya kupanda hapa jukwaani kuzungumza nanyi, mliniona nazungumza na simu alikuwa Balozi wa Marekani, ananiuliza kama nimesikia hotuba ya Rais Obama jana usiku kwenye Umoja wa Mataifa,...
Wakuu,
Leo chama cha Chadema walikuwa na mkutano wao wa kampeini katika kata ya BILELE katika eneo la nje ya Soko kuu ambapo watu walijaa sana na kulazimika kuifunga barabara ya Jamhuri kwa masaa...
WAGOMBEA urais kwa tiketi ya vyama vya Chadema na CUF jana waliendelea na kampeni zao wakitumia mbinu tofauti za kujenga hoja, huku Willibrod Slaa akimtaka mkuu wa wilaya kupanda jukwaani na...
Ndugu zangu!
Naomba tuchambue sera hizi za vyama objectively kutoka kwenye ilani zenyewe za vyama.
CCM: Ilani ya uchaguzi 2010-2015
9:Majukumu ya Msingi
(a) Kuimarisha na kuboresha elimu.
(b)...
Hali ya Kisiasa Tanzania Ni Ubabaishaji 60 29.4%
Inahitaji uongozi Mpya 54 26.5%
Katiba Irekebishwe 32 15.7%
Inaridhisha 26 12.7%
Inahitaji Kuboreshwa 23 11.3%
Hairidhishi kabisa 9 4.4%...
Mabere Marando atatuambia nini...
1.HUyu mtu alihusika moja moja na kama mnakumbuka ile ambush ya kumteka Comandoo Tamin na ndio inadaiwa alifyatua risasi iliyomuua Comandoo Tamin pale...
Huyu mama ana matatizo sana, hivi toka lini vyama vya upinzani vikawa adui wa chama tawala? Maneno haya ni ya kuvuruga amani na kuleta uchochezi baina ya wanachama na wafuasi wa vyama vya siasa...
Amri kuu za uchaguzi Tanzania 2010
Dr. Slaa ndiye chaguo lako usichague Rais mwingine.
Usimpe bure Kikwete kura yako.
Shika Jina la Dr Slaa hata baada 31.10.2010.
Wachague rais,wabunge,ma diwani...
Nimetooa methali hii kutoka lugha ya Kihaya. Wao husema: Olutega Mu-Kasho lwija na Nyoko
Na nimeikumbuka methali hii baada ya kutathmini nini kimetokea mpaka Babu, Shangazi, Wajomba na...
anajatambulisha kwa title ya dr,hivi ni dr wa nini?mbona anachozungumza ni tofauti na utambulisho wake?twaomba data zake kwa wale wanamfahamu maana ile siku anaongea na wana habari alisahau hat...
Wandugu:
Hebu fikiria iwapo Chadema wangekuwa na robo tu ya pesa ambazo wanazo CCM! CCM ingezidi kutishika na ingecheza faulo nyingi zaidi kuliko hivi sasa!
Ukiangalia walioitishwa kuwania ubunge
na wengine watakao kuwa mawaziri
kuna watu wawili kwenye masuala ya uchumi na fedha nchini
nikama zidane na ronaldinho but ccm kama kawaida yao wamewaacha...
M. M. Mwanakijiji (Tanzania Daima Jumatano)
SIPENDI kweli watu wenye kuamini kuwa hawawezi. Na sipendi zaidi viongozi ambao wanatumia lugha ya kutokuweza. Leo hii tumeanza kutukuza...
wakuu,
je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko...
Wakati CCM imetoa mabango (billboards) zikimuonyesha Rais aliyemaliza muda wake, Jakaya Kikwete, akikumbatia watoto na kina mama huku kukiwa na maneno kama "Watoto Wote ni Wetu," ripoti mpya ya...
Monday, 13 September 2010
NA PETER KATULANDA, MWANZA
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dk. Willibrod Slaa, ameonyesha kuikubali CCM, baada ya kusifia baadhi ya mipango, ikiwemo ya ujenzi wa...
Mama Salma amesema anampigia debe mumewe kwa sababu ndiye msaidizi wake wa karibu kwenye masuala ya maendeleo ya jamii nchini kwa sababu anamiliki WAMA Foundation(Majira 23/09/2010). Hivi...