Mabere Marando mpinzani?

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Mabere Marando atatuambia nini...

1.HUyu mtu alihusika moja moja na kama mnakumbuka ile ambush ya kumteka Comandoo Tamin na ndio inadaiwa alifyatua risasi iliyomuua Comandoo Tamin pale kinondoni


2 Huyu ndio alikuwa anahusika na utesaji watu kule kisiwa mafia.....moja ya watu waliteswa ni wakina Yasin memba …..


3.Si ndio huyu huyu marando aliekuwa anawatesa wakina Hatibu Gandi na wenzake kwenye ile kesi ya uhaini? Kama mnakumbuka walikuwa wakimtumia Yule drive teksi(mnamjua derive teksi alikuwa nani?)

Huyu Marando ni mpinzani wa kweli???? Marando najua upo kazini TISS na yeye ndie mwalimu wa wakina Mrema......Mrema alikuwa na torture house kule Mugumu alipokuwa District Security Officer
Wapinzani walikuwa wakina Cristopher Kasanga Tumbo ambae mwalimu alimpa kifungo kibaya maishani cha kummweka chini ya ulinzi kijijini kwao Tabora...
 
Mabere Marando atatuambia nini...

1.HUyu mtu alihusika moja moja na kama mnakumbuka ile ambush ya kumteka Comandoo Tamin na ndio inadaiwa alifyatua risasi iliyomuua Comandoo Tamin pale kinondoni


2 Huyu ndio alikuwa anahusika na utesaji watu kule kisiwa mafia.....moja ya watu waliteswa ni wakina Yasin memba …..


3.Si ndio huyu huyu marando aliekuwa anawatesa wakina Hatibu Gandi na wenzake kwenye ile kesi ya uhaini? Kama mnakumbuka walikuwa wakimtumia Yule drive teksi(mnamjua derive teksi alikuwa nani?)

Huyu Marando ni mpinzani wa kweli???? Marando najua upo kazini TISS na yeye ndie mwalimu wa wakina Mrema......Mrema alikuwa na torture house kule Mugumu alipokuwa District Security Officer
Wapinzani walikuwa wakina Cristopher Kasanga Tumbo ambae mwalimu alimpa kifungo kibaya maishani cha kummweka chini ya ulinzi kijijini kwao Tabora...

.... usijiridhishe na hisia zako kwamba kila afisa usalama amebariki UPUUZI. Watanzania wote kwa ujumla wetu tunawajibika kulinda maslahi ya nci yetu. Hii si lazima kutumikia matakwa ya CCM PEKEE!! Wapinzani sio lazima ni wahaini
 
So what? Naona umeishiwa hoja dhidi ya Mabere Marando. This has nothing to do with Mabere Marando being a mpinzani or not! Kama Mabere Marando aliyafanya yote hayo akiwa afisa wa TISS alikuwa anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa maagizo ama utaratibu wa kazi wakati huo kulingana na makosa ya uhaini yaliyofanywa na wahaini hao. Makosa ya uhaini ya wakati huo yanaweza yasichukuliwe kuwa ya uhaini kwa wakati huu maana haturudi nyuma tunakwenda mbele ama kwa kiswahili kingine; 'tunakwenda na wakati'!

Kama watu wanabadili hata dini zao na kuwa wafuasi na waumini wa dhati wa dini nyingine, vyama vya siasa ni nini? Afterall, sooner or later wapinzani hawatakuwa tena wapinzani kwa sababu huenda vyama vyao vinaweza kushika hatamu na kuongoza Serikali. If that happens, Mabere Marando anaweza akawa si mpinzani tena bali Waziri Mkuu wa nchi ama Waziri wa Sheria for that matter!
 
:shocked:

he; alikwishakili alikuwa TISS; sasa kazi yake ilikuwa Ipi au ulitaka asifanye kazi yake au kwa kufanya kazi yake si mpinzani; too personal and very low (yale yale ya kumsakama Dr Slaa) kwa kudhani mnapunguza umaarufu wake kumbe hakuna kitu hicho
 
Mimi nikisikia Marando yupo upinzani huwa tumbo linanikoroga...huyu mtu kala kiapo na wanasema viapo vya UWT havifutiki mpaka ufe..ananishughulisha sana...kule nyumbani watu hawa tuliwafukuza upinzani kwa kuwa walituharibia sana mikakati yetu...hawaaminiki kama wateja wa unga...wakiwa arosto tu wanaharibu!
 
Ama kweli JF imeingiliwa....Na hakika tunahitaji sana ukombozi wa fikra na ELIMU..
Hivi inatakiwa mtu awe mhaini ndio anakuwa Mpinzani?..
 
ndio maana mi naangaliaga weee hawa wanojiita wapinzania nacheka mwenyewe......afu sasa mitanzania ndio mijinga.....

JE KUNA MTU ANAZALIWA MPINZANI? Mpinzani ni mtu yeyote mwenye mawazo mbadala. Kama hukubaliani na kitu au hoja fulani basi utakuwa mpinzani.
Ndani ya CCM kuna upinzani tena mkubwa sana, ndio mana Mlinzi wa Kikwete-Sheikh Yahaya akatumika kutishia watu kuwa atakayempinga Kikwete atakufa!
Hivyo nyie mliokubali Kutumiwa kuwapotosha watu ndio sio wapinzani wa waliowatuma, ila wale wanaochangia humu kwa hiari yao pasipo kusukumwa na mtu yeyote yule watakuwa wapinzani kwenu mana wao wanatoa Mawao YAO na nyie mnaokuja na topic za propaganda mnatoa maoni ya KUPANDIKIZWA. Hivyo hata nyie mnaonekana ni wapinzani, ila SIO WAPINZANI WA KWELI mana mmetumwa!
 
Mabere Marando atatuambia nini...

1.HUyu mtu alihusika moja moja na kama mnakumbuka ile ambush ya kumteka Comandoo Tamin na ndio inadaiwa alifyatua risasi iliyomuua Comandoo Tamin pale kinondoni


2 Huyu ndio alikuwa anahusika na utesaji watu kule kisiwa mafia.....moja ya watu waliteswa ni wakina Yasin memba …..


3.Si ndio huyu huyu marando aliekuwa anawatesa wakina Hatibu Gandi na wenzake kwenye ile kesi ya uhaini? Kama mnakumbuka walikuwa wakimtumia Yule drive teksi(mnamjua derive teksi alikuwa nani?)

Huyu Marando ni mpinzani wa kweli???? Marando najua upo kazini TISS na yeye ndie mwalimu wa wakina Mrema......Mrema alikuwa na torture house kule Mugumu alipokuwa District Security Officer
Wapinzani walikuwa wakina Cristopher Kasanga Tumbo ambae mwalimu alimpa kifungo kibaya maishani cha kummweka chini ya ulinzi kijijini kwao Tabora...
filth
 
Ama kweli JF imeingiliwa....Na hakika tunahitaji sana ukombozi wa fikra na ELIMU..
Hivi inatakiwa mtu awe mhaini ndio anakuwa Mpinzani?..
Mkuu MKANDARA, hawa watanzania wenzetu wametumwa kununua misukule zaidi kwa longolongo zao.
Wanatumia mbinu zilizosalia kujaribu kuirejesha ccm kwenye chati
 
CCM bwana, wanaona jinsi Marando anavyowatibulia kitumbua chao kwa kukitia mchanga mchana kweupee ! Wamegundua mbinu zote za kumchafua mpiganaji wa kweli, Dr. Slaa zinagonga mwamba kama si kumwongezea umaarufu na sasa kama mfa maji wamebaki wanalalama. Watatumia kila silaha waliyo nayo lakini siku ya kufa nyani, mti gani hautelezi ? Hiyo ya Marando wamefulia labda wafanye kile wanachokijua best - ujambazi, vitisho na ikiwezekana kutoa roho, ndio kwani mikono ya CCM imejaa damu ya Watanzania wasio na hatia. Wamezoea kuwatoa wananchi roho huku wakitabasamu lakini iko siku !
 
Mabere Marando atatuambia nini...

1.HUyu mtu alihusika moja moja na kama mnakumbuka ile ambush ya kumteka Comandoo Tamin na ndio inadaiwa alifyatua risasi iliyomuua Comandoo Tamin pale kinondoni


2 Huyu ndio alikuwa anahusika na utesaji watu kule kisiwa mafia.....moja ya watu waliteswa ni wakina Yasin memba …..


3.Si ndio huyu huyu marando aliekuwa anawatesa wakina Hatibu Gandi na wenzake kwenye ile kesi ya uhaini? Kama mnakumbuka walikuwa wakimtumia Yule drive teksi(mnamjua derive teksi alikuwa nani?)

Huyu Marando ni mpinzani wa kweli???? Marando najua upo kazini TISS na yeye ndie mwalimu wa wakina Mrema......Mrema alikuwa na torture house kule Mugumu alipokuwa District Security Officer
Wapinzani walikuwa wakina Cristopher Kasanga Tumbo ambae mwalimu alimpa kifungo kibaya maishani cha kummweka chini ya ulinzi kijijini kwao Tabora...
YO YO
Hayo ndo matokeo ya kufanya kazi isiyokufiti.
Ona sasa unashindwa kutushawishi kwa kushindwa kujenga hoja
 
Back
Top Bottom