Elections 2010 Dk. Slaa APONGEZA UTEKELEZAJI CCM

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Monday, 13 September 2010
NA PETER KATULANDA, MWANZA


dk_slaaa.jpg


Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dk. Willibrod Slaa, ameonyesha kuikubali CCM, baada ya kusifia baadhi ya mipango, ikiwemo ya ujenzi wa shule za msingi na sekondari.

Alitoa sifa hizo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mwanza, wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Mirongo, wilayani Nyamagana. Dk. Slaa pia alipongeza juhudi za serikali ya CCM katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya barabara.

Aliifagilia Dira ya Maendeleo ya Taifa, Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUKUTA) na Mpango wa Kurasimisha Mali za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), iliyotekelezwa chini ya usimamizi wa serikali ya CCM. Kwa mujibu wa Dk. Slaa, kwa kiwango kikubwa miradi hiyo imefanikiwa.

Katika mkutano huo, watu wengi walikwenda kuona helikopta, ambapo baada ya kuondoka walianza kutawanyika, huku mkutano wa Dk. Slaa ukiendelea. Hali kama hiyo pia ilijitokeza katika mkutano uliofanyika Septemba 10, mwaka huu, katika mikutano iliyofanya wilayani Kwimba.

Baadhi ya waliohudhuria mkutano huo walisema ahadi zake nyingi hazitekelezeki. “Kama anafagilia kazi zilizofanywa ana maana anaikubali na kuifagilia CCM imefanya kazi nzuri,” alisema mwananchi aliyejitambulisha kwa jina la Mustafa.

Alisema haoni jipya alilonalo Dk. Slaa, zaidi ya hotuba yake kujaa kashfa, badala ya kueleza sera za CHADEMA.


CHANZO: Gazeti la Uhuru
 
Monday, 13 September 2010
NA PETER KATULANDA, MWANZA


dk_slaaa.jpg


Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dk. Willibrod Slaa, ameonyesha kuikubali CCM, baada ya kusifia baadhi ya mipango, ikiwemo ya ujenzi wa shule za msingi na sekondari.

Alitoa sifa hizo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mwanza, wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Mirongo, wilayani Nyamagana. Dk. Slaa pia alipongeza juhudi za serikali ya CCM katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya barabara.

Aliifagilia Dira ya Maendeleo ya Taifa, Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUKUTA) na Mpango wa Kurasimisha Mali za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), iliyotekelezwa chini ya usimamizi wa serikali ya CCM. Kwa mujibu wa Dk. Slaa, kwa kiwango kikubwa miradi hiyo imefanikiwa.

Katika mkutano huo, watu wengi walikwenda kuona helikopta, ambapo baada ya kuondoka walianza kutawanyika, huku mkutano wa Dk. Slaa ukiendelea. Hali kama hiyo pia ilijitokeza katika mkutano uliofanyika Septemba 10, mwaka huu, katika mikutano iliyofanya wilayani Kwimba.

Baadhi ya waliohudhuria mkutano huo walisema ahadi zake nyingi hazitekelezeki. “Kama anafagilia kazi zilizofanywa ana maana anaikubali na kuifagilia CCM imefanya kazi nzuri,” alisema mwananchi aliyejitambulisha kwa jina la Mustafa.

Alisema haoni jipya alilonalo Dk. Slaa, zaidi ya hotuba yake kujaa kashfa, badala ya kueleza sera za CHADEMA.


CHANZO: Gazeti la Uhuru


Chanzo gazeti la Uhuru??? Una maana ni mwandishi wa Uhuru pekee ndiye selectively alisikia hayo maneno au??? Ndugu JEYKEYWAUKWELI, tunaomba basi ulete ushahidi, aidha kutokana na article iliyoandikwa na Jounalist Mahiri au ubandioke Audio clip ya hiyo hotuba. Tusiposikia chochote kutoka kwako kuhusu hayo usemayo, tutaelewa maana yake!!!
 
Chanzo gazeti la Uhuru??? Una maana ni mwandishi wa Uhuru pekee ndiye selectively alisikia hayo maneno au??? Ndugu JEYKEYWAUKWELI, tunaomba basi ulete ushahidi, aidha kutokana na article iliyoandikwa na Jounalist Mahiri au ubandioke Audio clip ya hiyo hotuba. Tusiposikia chochote kutoka kwako kuhusu hayo usemayo, tutaelewa maana yake!!!


kWANI Mhariri wa UHURU hajui kuandika?
 
monday, 13 september 2010
na peter katulanda, mwanza


dk_slaaa.jpg


mgombea urais kwa tiketi ya chadema dk. Willibrod slaa, ameonyesha kuikubali ccm, baada ya kusifia baadhi ya mipango, ikiwemo ya ujenzi wa shule za msingi na sekondari.

Alitoa sifa hizo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini mwanza, wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa mirongo, wilayani nyamagana. Dk. Slaa pia alipongeza juhudi za serikali ya ccm katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya barabara.

Aliifagilia dira ya maendeleo ya taifa, mpango wa kukuza uchumi na kupunguza umasikini (mkukuta) na mpango wa kurasimisha mali za wanyonge tanzania (mkurabita), iliyotekelezwa chini ya usimamizi wa serikali ya ccm. Kwa mujibu wa dk. Slaa, kwa kiwango kikubwa miradi hiyo imefanikiwa.

Katika mkutano huo, watu wengi walikwenda kuona helikopta, ambapo baada ya kuondoka walianza kutawanyika, huku mkutano wa dk. Slaa ukiendelea. Hali kama hiyo pia ilijitokeza katika mkutano uliofanyika septemba 10, mwaka huu, katika mikutano iliyofanya wilayani kwimba.

Baadhi ya waliohudhuria mkutano huo walisema ahadi zake nyingi hazitekelezeki. "kama anafagilia kazi zilizofanywa ana maana anaikubali na kuifagilia ccm imefanya kazi nzuri," alisema mwananchi aliyejitambulisha kwa jina la mustafa.

Alisema haoni jipya alilonalo dk. Slaa, zaidi ya hotuba yake kujaa kashfa, badala ya kueleza sera za chadema.


chanzo: gazeti la uhuru

anza upya hamna kitu hapa. Yaani umeyasikia haya wewe pekee yako na unataka tushiri uzandiki. Si kweli kasome au kaandike upya
 
Monday, 13 September 2010
NA PETER KATULANDA, MWANZA

dk_slaaa.jpg


Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dk. Willibrod Slaa, ameonyesha kuikubali CCM, baada ya kusifia baadhi ya mipango, ikiwemo ya ujenzi wa shule za msingi na sekondari.

Alitoa sifa hizo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mwanza, wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Mirongo, wilayani Nyamagana. Dk. Slaa pia alipongeza juhudi za serikali ya CCM katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya barabara.

Aliifagilia Dira ya Maendeleo ya Taifa, Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUKUTA) na Mpango wa Kurasimisha Mali za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), iliyotekelezwa chini ya usimamizi wa serikali ya CCM. Kwa mujibu wa Dk. Slaa, kwa kiwango kikubwa miradi hiyo imefanikiwa.

Katika mkutano huo, watu wengi walikwenda kuona helikopta, ambapo baada ya kuondoka walianza kutawanyika, huku mkutano wa Dk. Slaa ukiendelea. Hali kama hiyo pia ilijitokeza katika mkutano uliofanyika Septemba 10, mwaka huu, katika mikutano iliyofanya wilayani Kwimba.

Baadhi ya waliohudhuria mkutano huo walisema ahadi zake nyingi hazitekelezeki. “Kama anafagilia kazi zilizofanywa ana maana anaikubali na kuifagilia CCM imefanya kazi nzuri,” alisema mwananchi aliyejitambulisha kwa jina la Mustafa.

Alisema haoni jipya alilonalo Dk. Slaa, zaidi ya hotuba yake kujaa kashfa, badala ya kueleza sera za CHADEMA.

CHANZO: Gazeti la Uhuru

Hapo mwandishi ndo kachemka kabisa.Yaani anaandika kwa uhakika,kwa alihoji wangapi na kumbiwa walikwenda kuona helkopta?Je kwa kwenye mikutano ya kikwete pia wanaenda kuona helcopta? Hebu mwandishi ingia humu uone watu walivyo na machungu sasa...Tumechoka!!!http://chahali.blogspot.com/2010/09/chaguo-la-mungu-mafanikio-ya-kikwete.html
 
JEYKEYWAUKWELI,
Mkuu wangu tafadhali, kama ni kampeni za CCM basi usiseme uongo hata siku moja. Unachojaribu kufanya hapa hakiwezi kabisa kuharibu janvi letu hasa unapoyaweka maneno mdomoni mwa watu. Sii Zitto wala Dr.Slaa wamesema lolote uloandika na hakika nawaomba wakuu wa JF kufuta mada hizi za uongo ambazo zinakuja haribu credibility ya kijiwe hiki..
 
kumbe uwa watu vijijini wanakwenda kushangaa helcopta ikiondoka na wao wanarawanyika.... tehehehe:becky:
 
nasikia huyu jamaa JEYKEYWAUKWELI ni makamba...!

u can tell kwa anavyoongea pumba!
MWL MKUU..! :confused2::confused2::confused2:
 
Bw. JEYKEYWAUKWELI, this is the home of great thinkers. so bring thoroughly thought ideas, not rubbish
 
Somethin shud definately be done about this gazeti, coz style wanayotumia ku-report is ethically not acceptable,
Am not of any political side but I doubt a leader like Slaa would say such,
Kuna ukweli unapotoshwa hapa
 
Back
Top Bottom