Elections 2010 Dr Rafael Chegeni ni nani haswa?

urasa

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
434
2
anajatambulisha kwa title ya dr,hivi ni dr wa nini?mbona anachozungumza ni tofauti na utambulisho wake?twaomba data zake kwa wale wanamfahamu maana ile siku anaongea na wana habari alisahau hat kufunga kifungocha shati lake vizuri
 
Heshima kwako Urasa,

Dr Rafael Chegeni ni Mhasibu kwa taaluma.

[1] Advance Diploma in Accountancy

[2] Certified Public Accountant - NBAA

[3] Post Graduate Diploma Finance Management - Laiden Holland

[4] MSc Finance Management -
StrathclydeUniversity Uk

[5] PhD [Business Administration -
StrathclydeUniversity Uk.

[1] Wizara ya fedha - Accountant
[2] Cartas Mwanza - Chief Accountant.
[3] Tanganyika Gold Mine Ltd - Finance Manager
[4] Ashant Gold MineLtd - Finance & Administration Manager.

Mkuu nadhani nitakuwa nimekusaidia kidogo.



 
Nadhani ni mmoja wa wale PhD holders fake. Argument za kwenye lunika akitetea CCM ziliniacha hoi. Lakini kahidiwa uDC au uRC katika moja ya mikoa mipya.
 
  • Mtu professionally ni mhasibu, then unamweka awe mwanasiasa, na unategemea awaadress waandishi wa habari na wananchi kwa ufanisi, wapi na wapi, lazima atakosa mashiko!
  • Lakini ndo hivyo, maji yakiwa shingoni mtu anashikilia hadi mmea wa bangi!
 
Nadhani ni mmoja wa wale PhD holders fake. Argument za kwenye lunika akitetea CCM ziliniacha hoi. Lakini kahidiwa uDC au uRC katika moja ya mikoa mipya.

Heshima kwako Wasp,

Mkuu hata kama utakuwa umesoma mpaka ukamaliza vyuo vyote ikiwa utajichanganya katika chama/kikundi kisicho na maadili lazima usomi wako utatiliwa shaka na watu wenye kufikiri.Dr Chegeni anaangukia kwenye kundi kubwa la wasomi ndani ya CCM walioshindwa kutumia usomi wao kuisaidia jamii kuondokana na matatizo.
 


this is a big lie!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Heshima kwako Nyambala,

Nakubali kukosolewa kama kuna sehemu umegundua nimekosea tafadhali nisahihishe hatoshi kusema nimekosea bila kuonyesha ukweli unaoujua.
 
heshima kwako urasa,

dr rafael chegeni ni mhasibu kwa taaluma.

[1] advance diploma in accountancy

[2] certified public accountant - nbaa

[3] post graduate diploma finance management - laiden holland

[4] msc finance management - [font=&quot]strathclydeuniversity uk[/font]

[5] phd [business administration -
[font=&quot]strathclydeuniversity uk.

[font=&quot][1] wizara ya fedha - accountant[/font]
[font=&quot][2] cartas mwanza - chief accountant.[/font]
[font=&quot][3] tanganyika gold mine ltd - finance manager[/font]
[font=&quot][4] ashant gold mineltd - finance & administration manager.[/font]

[font=&quot]mkuu nadhani nitakuwa nimekusaidia kidogo.[/font]


[/font]

qualification zote hizi lakini ameshindwa kuzitumia kama mmoja wa wabunge wa knda ya ziwa inayoongoza kwa umaskini wa kutupa huku ikiwa na utajiri mkubwa na kuchangia kiwango kikubwa katika pato lataifa. He is useless, ndio maana akabwagwa kura za maoni maan wasukuma na wanyamwezi hawakuona mchango wake. Hata katika bunge la 2005 -2010 hakuwa na impact yoyote inyoweza kutudhihirishia kuwa ni msomi mwenye qulaification ulizotaja. Anaweza kuwa mmoja wa wateja wa msemakweli
 


this is a big lie!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu Nyambala heshima mbele,

Nimeitoa hii kwenye web site ya Bunge letu tukufu.


GENERAL Salutation Honourable Member picture
1142.jpg
First Name: Dr. Raphael Middle Name: Masunga Last Name: Chegeni Member Type: Constituency Member Constituent: Busega Political Party: CHAMA CHA MAPINDUZI Office Location: P.O. Box 10, Magu Office Phone: +255 754 520953 Ext.:
Office Fax: +255 28 2561294 Office E-mail: rchegeni@parliament.go.tz Member Status: Current Member Start Date: 28 December 2005 End Date: 30 August 2010 Date of Birth 25 May 1964 EDUCATIONS School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level University of Strathclyde, Glasgow UK MSc. In Finance 1996 1997 MASTERS DEGREE University of Strathclyde - UK PhD in Business Administration 1999 2002 PHD Laiden Holland Postgraduate Studies in Financial Managements 1995 1995 POSTGRADUATE National Board of Accountants and Auditors Advanced Diploma in Accountancy 1986 1989 ADV DIPLOMA Nyegezi Seminary, Mwanza A - Level Secondary Education 1983 1985 HIGH SCHOOL Nyegezi Seminary, Mwanza O- Level Secondary Education 1979 1982 SECONDARY Mkula Primary School, Magu, Mwanza Primary Education 1972 1978 PRIMARY CERTIFICATIONS Certification Name or Type Certification No. Issued Expires No items on list



EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From Date To Date Ashanti Goldfields Co Ltd Finance & Admin. Manager 1999 2000 Tanganyika Gold Ltd Finance Manager 1997 1998 Caritas Mwanza Chief Accountant 1991 1995 Ministry of Finance/Works Accountant 1989 1990 POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position From To Parliamentary Global for Action -PGA Member 2004 Todate Parliamentary Network of the World Bank East Africa Chapter Rep. 2003 Todate PNND Global Board Member 2002 Todate Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of Regional Executive Council 2001 Todate The Great Lakes Reg. Parliamentary Forum Secretary General � Amani Forum 2001 2005 Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of Parliament of Tanzania 2000 Todate PUBLICATIONS
 
Mkuu Nyambala heshima mbele,

Nimeitoa hii kwenye web site ya Bunge letu tukufu.

GENERAL Salutation Honourable Member picture
1142.jpg
First Name: Dr. Raphael Middle Name: Masunga Last Name: Chegeni Member Type: Constituency Member Constituent: Busega Political Party: CHAMA CHA MAPINDUZI Office Location: P.O. Box 10, Magu Office Phone: +255 754 520953 Ext.:
Office Fax: +255 28 2561294 Office E-mail: rchegeni@parliament.go.tz Member Status: Current Member Start Date: 28 December 2005 End Date: 30 August 2010 Date of Birth 25 May 1964 EDUCATIONS School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level University of Strathclyde, Glasgow UK MSc. In Finance 1996 1997 MASTERS DEGREE University of Strathclyde - UK PhD in Business Administration 1999 2002 PHD Laiden Holland Postgraduate Studies in Financial Managements 1995 1995 POSTGRADUATE National Board of Accountants and Auditors Advanced Diploma in Accountancy 1986 1989 ADV DIPLOMA Nyegezi Seminary, Mwanza A - Level Secondary Education 1983 1985 HIGH SCHOOL Nyegezi Seminary, Mwanza O- Level Secondary Education 1979 1982 SECONDARY Mkula Primary School, Magu, Mwanza Primary Education 1972 1978 PRIMARY CERTIFICATIONS Certification Name or Type Certification No. Issued Expires No items on list



EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From Date To Date Ashanti Goldfields Co Ltd Finance & Admin. Manager 1999 2000 Tanganyika Gold Ltd Finance Manager 1997 1998 Caritas Mwanza Chief Accountant 1991 1995 Ministry of Finance/Works Accountant 1989 1990 POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position From To Parliamentary Global for Action -PGA Member 2004 Todate Parliamentary Network of the World Bank East Africa Chapter Rep. 2003 Todate PNND Global Board Member 2002 Todate Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of Regional Executive Council 2001 Todate The Great Lakes Reg. Parliamentary Forum Secretary General � Amani Forum 2001 2005 Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of Parliament of Tanzania 2000 Todate PUBLICATIONS



Chegeni ana MSc, na PhD za akina Nchimbi, na akina Masaburo, Kamala, Nangale, Warioba wa Mzumbe na wengineo.

Raphael Masunga Chegeni

Ukikutana naye tena muulize Thesis yake ya MSc, na dissertation title ya PhD yake, vimekuwa published wapi, na wapi unaweza kupata nakala yake.

Better yet, muulize nani alikuwa PhD supervisor wake.

Niliwahi kumuuliza haya 2004, akanikimbia na hadi leo hatuwasiliani.
 
Heshima kwako Urasa,

Dr Rafael Chegeni ni Mhasibu kwa taaluma.

[1] Advance Diploma in Accountancy

[2] Certified Public Accountant - NBAA

[3] Post Graduate Diploma Finance Management - Laiden Holland

[4] MSc Finance Management -
StrathclydeUniversity Uk

[5] PhD [Business Administration -
StrathclydeUniversity Uk.

[1] Wizara ya fedha - Accountant
[2] Cartas Mwanza - Chief Accountant.
[3] Tanganyika Gold Mine Ltd - Finance Manager
[4] Ashant Gold MineLtd - Finance & Administration Manager.

Mkuu nadhani nitakuwa nimekusaidia kidogo.




Ngoja niendeleze kidogo mkuu.

1. Alipora na kuiba kule Ashanti Gold na fedha alizopata kwa wizi wa dhahabu zilimwezesha kujenga hoteli yake inayojulikana kama Isamilo Lodge.

2. Ni huyu huyu Chegeni ambaye aldhulumu nyumba ya kanisa ambayo anikalia hata sasa. Alikuwa anafanya katika shirika la misaada la kanisa katoliki na alifanya ufisadi mkubwa.

3. Kiwanja alichojenga hoteli yake ya Isamilo alikipata kwa njia ya udanganyifu na ni mali ya Kamanga Ferry, mpaka sasa Kamanga Ferry ndio wanaolipia kiwancja hicho.

4. Huyu jamaa kule Mwanza anamiliki nyumba zisipungua tatu anazopangisha watu. Ni fisadi mzoefu. Hata hapa Dar ana nyumba kadhaa anazomilki.

5. Inasemekana kuwa hata elimu aliyoipata aliipata kwa ghiliba, kwanza alitumia cheti cha sekondari cha kaka yake ambaye sasa ni marehemu.

6. Wadungu zangu wa sisiemu kule Busega waliamua kumbwaga kutokana na sababu hizo hapo juu. Alipobwaga akususa ccm, akatishia kwenda chadema. JK alipofika Mwanza akamtafuta na wakawa na mazungumzo ya faragha. Mara tukasikia yuko kwenye kamati ya kampeni ya ccm. Jambo ambalo ninafikri ni kuwa ameahidiwa cheo mara JK aingiapo madarakani.

KWA KUFUNGA TU NI KUWA JAMAA HAFAI, SI MWAMINIFU HATA KWENYE NDOA YAKE, KUNA MENGI WANA BUSANDA TUNAFAHAMU, KWANI PAMOJA NA KUJENGA VISIMA VYA MAJI BADO TUMEMKATAA.
 
Education
Washington International University – USA PhD (Business Administration) 1999-2003 PHD
University of Strathclyde – UK MSc. In Finance 1996-1997 MASTERS DEGREE
Laiden –Holland Post Graduate Studies In Fin. Management 1995-1995 POSTGRADUATE
UHDSM/National Board of Accountants & Auditors Professional Accountancy 1986-1990 ADV DIPLOMA
Nyegezi Seminary, Mwanza A – Level Secondary Education 1983-1985 HIGH SCHOOL
Nyegezi Seminary, Mwanza O- Level Secondary Education 1979-1982 SECONDARY
Mkula Primary School, Magu Primary Education 1972-1978 PRIMARY


Hapa kuna utata na elimu yake
Huyu ndugu inaelekea hana ya PhD ya University of Strathclyde, uki-google inaonekana ni Washington International University ambacho ni mojawapo ya vyuo fake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom