Elections 2010 Amri kuu za uchaguzi Tanzania 2010

MartinDavid

JF-Expert Member
May 22, 2009
874
144
Amri kuu za uchaguzi Tanzania 2010
  1. Dr. Slaa ndiye chaguo lako usichague Rais mwingine.
  2. Usimpe bure Kikwete kura yako.
  3. Shika Jina la Dr Slaa hata baada 31.10.2010.
  4. Wachague rais,wabunge,ma diwani wa CHADEMA upate miaka mingi na heri Tanzania.
  5. Waogope ccm kama ukoma.
  6. Usiuze kura.
  7. Usiibiwe kura.
  8. Usisikilize uongo wa CCM.
  9. Usitamani pesa za CCM.
  10. Usimtamani Kikwete asiye Rais wako.
Tukizishika hizi nchi yetu itapata Maendeleo,

Kumbukeni Kupiga Kura Ni Haki Yetu Ya Msingi!!!
 
amri kuu za uchaguzi tanzania 2010
  1. dr. Slaa ndiye chaguo lako usichague rais mwingine.
  2. usimpe bure kikwete kura yako.
  3. shika jina la dr slaa hata baada 31.10.2010.
  4. wachague rais,wabunge,ma diwani wa chadema upate miaka mingi na heri tanzania.
  5. waogope ccm kama ukoma.
  6. usiuze kura.
  7. usiibiwe kura.
  8. usisikilize uongo wa ccm.
  9. usitamani pesa za ccm.
  10. usimtamani kikwete asiye rais wako.
tukizishika hizi nchi yetu itapata maendeleo,

kumbukeni kupiga kura ni haki yetu ya msingi!!!

chadema vema
 
YEEEES DK SLAA.

Hizo Amri zimekaa vizuri sana.

Pia ile sala imekaa vizuri.

Sasa tuunganishe Nguvu, Tuzisambaze kwa simu. Hasa watu wa vijijini.

Pia tuwaambie Sera Kali za CHADEMA:

-Elimu Bureeeee

- Afya Bureeeeee

-Vifaaa vya ujenzi kushushwa bei mfano Cement, mabati, n.k

- Maisha yatakuwa nafuu. Kwa mfano bidhaa muhimu kwa mwananchi wa kawaida masikini wa kule kijijini zitapunguzwa kodi. Kwa maana hiyo zitashuka Bei. Mf Sukari, Mafuta ya kupikia, mkate, soda and what have you.

Jazia na mengine.
 
Back
Top Bottom