MartinDavid
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 874
- 144
Amri kuu za uchaguzi Tanzania 2010
Kumbukeni Kupiga Kura Ni Haki Yetu Ya Msingi!!!
- Dr. Slaa ndiye chaguo lako usichague Rais mwingine.
- Usimpe bure Kikwete kura yako.
- Shika Jina la Dr Slaa hata baada 31.10.2010.
- Wachague rais,wabunge,ma diwani wa CHADEMA upate miaka mingi na heri Tanzania.
- Waogope ccm kama ukoma.
- Usiuze kura.
- Usiibiwe kura.
- Usisikilize uongo wa CCM.
- Usitamani pesa za CCM.
- Usimtamani Kikwete asiye Rais wako.
Kumbukeni Kupiga Kura Ni Haki Yetu Ya Msingi!!!