PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 57
Siku ya jumanne tarehe, 21/9/2010, DR SLAA, anatarajia kuhutubia wakazi wa tarakea, na kutumia uwanja wa shule ya secondary Tarakea, ambao uko zaid ya kilomita 3, kutoka tarakea mjini, tangazo hilo kuhusu mkutanao limetolewa na mgombea ubunge wa chadema , jimbo la ROMBO, JOSEPH SELASINI wakati akiwahutubia wakazi wa tarakea, leo saa kumi jioni.
Ushauri wa wapenda mabadiliko wilaya ya ROMBO wanawaomba chadema mtumie viwanja kati ya hivi viwili , cha kwanza ni stand ya bus tarakea, au cha shule ya msingi mbomai kati , ambacho kikokaribu na makazi ya watu na pia ndicho kilichotumiwa na jk, siku aliopokuja TARAKEA. Hivi viwanja viwili ni vizuri kwa sababu viko centre ya Tarakea, na ni rahisi kufikika na watu wengi, ukilinganisha na cha shule ya SECONDARY TARAKEA.
Natumaini viongozi wa chadema mtapata ujumbe , huu
Wapenda mabadiliko wilaya ya Rombo, mkoa wa Kilimanjaro
People power
Ushauri wa wapenda mabadiliko wilaya ya ROMBO wanawaomba chadema mtumie viwanja kati ya hivi viwili , cha kwanza ni stand ya bus tarakea, au cha shule ya msingi mbomai kati , ambacho kikokaribu na makazi ya watu na pia ndicho kilichotumiwa na jk, siku aliopokuja TARAKEA. Hivi viwanja viwili ni vizuri kwa sababu viko centre ya Tarakea, na ni rahisi kufikika na watu wengi, ukilinganisha na cha shule ya SECONDARY TARAKEA.
Natumaini viongozi wa chadema mtapata ujumbe , huu
Wapenda mabadiliko wilaya ya Rombo, mkoa wa Kilimanjaro
People power