Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wana JF nisaidie kwa hili; Inasemekana idadi ya viti maalum hutolewa na NEC kwa chama cha siasi, kulingana na uwiano wa jumla ya kura za urais na wabunge walizopigiwa wagombea wa chama husika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
yadaiwa mgombea wa chadema alitakiwa kupewa mil. 270 alikataa. baadaye inasemekana ujumbe kutoka kwa jk ulikutana na mgombea wa chadema na kumuahidi kumpa bil. 1.2 aachie jimbo akakataa
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwanza napenda Kuwashukuru watu wote waliokuja na Wazo la Kuanzisha Chama cha CHADEMA. Nasema hivyo kwa sababu katika Historia ya siasa za Tanzania,Ni Chadema pekee iliyoleta Mapinduzi Makubwa ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Taarifa kutoka karatu ni kwamba pastor israel ameshinda jimbo la karatu mjini chadema - 46 000+ ccm - 20 000 +
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Wapendwa, nimekuwa napata kichefuchefu naposikiliza watangazaji wanavyojikomba kwa ccm na wagombea wake na wanafikia hata kuwanyanyapaa wagombea wa vyama pinzani kiwazi wazi. Yaani ni aibu, mpaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
will be the first Tanzanian to receive the Mo Ibrahim Award~ Prof Ibrahim Lipumba
0 Reactions
0 Replies
968 Views
inadaiwa masanduku kadhaa ya kura yaliingizwa katika ofisi ya msimamizi wa jimbo na form fake za kutangazia matokeo. hali iliyosababisha wasimamizi wanne wa vituo fulan fulani kuitwa kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau tunaomba mtupe details za mzee wa vijisenti, ana hali gani jimboni kwake??
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Any update kuhusu ubunge kule kwa Mary Nagu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
People some of us are on and of we depend on this forum for updates. Any one with the current status of the presida...countings?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza serikali ya chama tawala imetikiswa na vyama vya upinza, hasa hasa Dr Slaa. Katika hali ya kutatanisha kumekuwepo na ucheleweshwaji wa hali ya juu katika majimbo ambayo CCM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu mtabiri bado hajasema neno......
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Agustine Lyatonga Mrema amefanya "booking" kwa Rais yeyote ajaye ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani ambayo anaamini aliimudu sana. Anasema hajazeeka kwani hata akina Papa Benedict wa 16 bado yuko kazini...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika yote yakiyotokea kiteto n aibu. Msimamizi wa uchaguzi hakuutangazia umma matokeo badala yake alitoka ofisini akawapatia wagombea matokeo na kumpatia mshindi cheti bila kuwatangazia wananchi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
JAMANI KWA IDADI HII KUBWA YA WABUNGE NAJARIBU KUVUTA PICHA SIJUI SPIKA ATABADILISHWA MAANA ATAKUWA ANAKAZI NGUMU YA KUZIMA HOJA ZA WAPINZANI:israel:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nani anabeza mguvu ya umma?niwapongeze mmepiga kura kwa fujo,na mmedai matokeo yenu na walipochelewesha ili wachakachue mkawaonyesha jinsi nguvu ya umma ilivyo,next time hawatarudia.....vijana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ukweli lazima ni uweke bayana ya kuwa matokeo ya jimbo la Babati Mjini yalyompa JK kura zaidi ya 5, 000 dhidi ya Dr. Slaa, Jimbo la Siha yaliyompa JK takribani asilimia themanini na Dr. Slaa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wale vibaraka waliotumwa na sisiemu kuja kuchafua hali ya hewa hapa JF muda wao wa kazi umeisha na sasa wanarudi rasmi kwenye shughuli zao nyingine. Ninaamini JF itarudui kwenye status yake ya...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mnyika atangazwa jimbo la ubungo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbinu inayotumiwa na CCM katika kuchakachua matokeo ya urais, haikabiliwi vilivyo na wagombea ubunge wa CHADEMA. Mathalani, kwa uwezo wangu wa kuona mambo, sehemu nyingi ambapo CHADEMA wameshinda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom